Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo

Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo

===
Akihojiwa na kituo Cha runinga Cha Clouds Media Group Mkurugenzi wa PPP -Centre Bw David Kafulila alikuwa na haya ya kusema "Tafiti zilionesha mwaka 2015 mahitaji ya miundombinu yaliyokuwepo mwaka 2015 yalijitosheleza kwa asilimia 30% tu ya mahitaji ya mwaka 2050.

Ukitazama mwenendo wa uchumi unaona kwamba Tanzania itahitaji kujenga uchumi mkubwa zaidi ya Afrika kusini ya leo ndani ya miaka 25. Hii inaokuonesha umuhimu wa kutumia PPP kufikia matarajio makubwa.

Tunachakata kupata mwekezaji kujenga barabara ya kisasa ya kulipia Kibaha - Chalinze mpaka Morogoro, wawekezaji wanajua pamoja na uwepo wa SGR ya kisasa bado mahitaji ya usafiri yataendelea kuwa makubwa kutokana na ukubwa wa uchumi unaojengwa "


===
View attachment 3074274
Huyu ni yeye tunayemtarajia?
 
Aseme wakati huo Afrika kusini ikiwa wapi. Inashangaza kwenye mashindano kushangilia uwezekano wa kufika alipo mshindani ambaye atakuwa mbali zaidi yako wakati huo
 
Aseme wakati huo Afrika kusini ikiwa wapi. Inashangaza kwenye mashindano kushangilia uwezekano wa kufika alipo mshindani ambaye atakuwa mbali zaidi yako wakati huo
Kama umesikiliza vizuri, ametoa mfano tuu.
Hakuna mashindano wala nini.
 
Ubunge lazima apate hata hivyo kwani Wananchi wanamkubali sana
Akaanzie huko kwao..sijui kwa nini he feels very insecure, hata kamradi kadogo tu kusaidia watu wa huko kwao hana, kila siku maneno yale yale..! Mtu mbunifu na kwa platform aliyo nayo vitendo ndio vingeongea zaidi!
 
===
Akihojiwa na kituo Cha runinga Cha Clouds Media Group Mkurugenzi wa PPP -Centre Bw David Kafulila alikuwa na haya ya kusema "Tafiti zilionesha mwaka 2015 mahitaji ya miundombinu yaliyokuwepo mwaka 2015 yalijitosheleza kwa asilimia 30% tu ya mahitaji ya mwaka 2050.

Ukitazama mwenendo wa uchumi unaona kwamba Tanzania itahitaji kujenga uchumi mkubwa zaidi ya Afrika kusini ya leo ndani ya miaka 25. Hii inaokuonesha umuhimu wa kutumia PPP kufikia matarajio makubwa.

Tunachakata kupata mwekezaji kujenga barabara ya kisasa ya kulipia Kibaha - Chalinze mpaka Morogoro, wawekezaji wanajua pamoja na uwepo wa SGR ya kisasa bado mahitaji ya usafiri yataendelea kuwa makubwa kutokana na ukubwa wa uchumi unaojengwa "


=====

View attachment 3074274
Tatizo Uraia tu
 
===
Akihojiwa na kituo Cha runinga Cha Clouds Media Group Mkurugenzi wa PPP -Centre Bw David Kafulila alikuwa na haya ya kusema "Tafiti zilionesha mwaka 2015 mahitaji ya miundombinu yaliyokuwepo mwaka 2015 yalijitosheleza kwa asilimia 30% tu ya mahitaji ya mwaka 2050.

Ukitazama mwenendo wa uchumi unaona kwamba Tanzania itahitaji kujenga uchumi mkubwa zaidi ya Afrika kusini ya leo ndani ya miaka 25. Hii inaokuonesha umuhimu wa kutumia PPP kufikia matarajio makubwa.

Tunachakata kupata mwekezaji kujenga barabara ya kisasa ya kulipia Kibaha - Chalinze mpaka Morogoro, wawekezaji wanajua pamoja na uwepo wa SGR ya kisasa bado mahitaji ya usafiri yataendelea kuwa makubwa kutokana na ukubwa wa uchumi unaojengwa "


=====

View attachment 3074274
Kafulila ni master
 
Yuko sahihi...

Heko kwake....

Tulipopata uhuru wetu ,Dar es salaam ilikuwa na wakazi laki 3 tu.....nchi nzima walikuwa milioni 9......

Leo tuko milioni 60+.....

Wawekezaji waijenge tu hiyo barabara ya kulipia kutoka Kibaha mpaka Morogoro.....

#Rais Samia na 4R's [emoji7][emoji7]
Ni ajabu kushangilia hizi discriminations/classes ,Barabara ni public goods,sawa na bomba za maji safi,taka,viwanja vya ndege na nk ,Tujenge Barabara nzuri na za viwango tupite wote,kama tunavyokunywa maji wote,inaweza isiishie Barabara ukasikia na baadhi ya maeneo,hospitali,shule na hata viwanja vya burudani ni lazima ulipe ndio uruhusiwe kukanyaga,kama si unakumbuka kilichotaka kufanyoka pale "Koko beach"
 
===
Akihojiwa na kituo Cha runinga Cha Clouds Media Group Mkurugenzi wa PPP -Centre Bw David Kafulila alikuwa na haya ya kusema "Tafiti zilionesha mwaka 2015 mahitaji ya miundombinu yaliyokuwepo mwaka 2015 yalijitosheleza kwa asilimia 30% tu ya mahitaji ya mwaka 2050.

Ukitazama mwenendo wa uchumi unaona kwamba Tanzania itahitaji kujenga uchumi mkubwa zaidi ya Afrika kusini ya leo ndani ya miaka 25. Hii inaokuonesha umuhimu wa kutumia PPP kufikia matarajio makubwa.

Tunachakata kupata mwekezaji kujenga barabara ya kisasa ya kulipia Kibaha - Chalinze mpaka Morogoro, wawekezaji wanajua pamoja na uwepo wa SGR ya kisasa bado mahitaji ya usafiri yataendelea kuwa makubwa kutokana na ukubwa wa uchumi unaojengwa "


=====

View attachment 3074274
Naona huyu two2 kichwa chake limeanza kujitambua vizuri
 
Ni ajabu kushangilia hizi discriminations/classes ,Barabara ni public goods,sawa na bomba za maji safi,taka,viwanja vya ndege na nk ,Tujenge Barabara nzuri na za viwango tupite wote,kama tunavyokunywa maji wote,inaweza isiishie Barabara ukasikia na baadhi ya maeneo,hospitali,shule na hata viwanja vya burudani ni lazima ulipe ndio uruhusiwe kukanyaga,kama si unakumbuka kilichotaka kufanyoka pale "Koko beach"
Hofu yako ni nini?
 
Back
Top Bottom