Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo

Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo

Na hilo jina la Chifu Nkunda alilotawazwa nalo Kafulila je Wafipa na wasukuma kuna Chifu anaitwa Nkunda kati ya hayo makabila mawili?


Lakini si unajua hata sugu siyo mnyaki ila alipewa jina flani hivi la kinyaki kisa amekulia Mbeya, kafulila amekaa kigoma kupewa uchifu kama tunu na wanazengo inawezekana, tumeona viongozi wa kisiasa wanapewa uchifu maeneo ambayo siyo Yao kwa heshima tu, achilia mbali PhD ambazo wabongo kwa utamaduni wetu tu wa kujikomba kwa viongozi ili taasisi za elimu ziwe recognized tumewapa viongozi kibao, kikwete alipewa PHD na teku😆😆, sembuse uchifu mwamba! Hata viongozi wa kimila wanajikomba,ni WA Tanzania kama nyinyi,na kujikomba ni hulka Yao, kumpa kafulila uchifu just kwa kuangalia tu kesho yake inavoweza kung'aa hawashindwi,ila kafulila nae anaweza waonga viongozi wa kimila wampe uchifu ili kuequalize na washindani wake Akina chifu zito kabwe , usimwamini mtanzania Wala mwanasiasa, ukitaka hata Mimi usiniamini😅😅ila kafulila ni mtanzania, msukfipa,
 
songwe aliharibu ndoa ya mama wawatu huko aliko Nako taratibu ataharibi Tena..wakumchunga sana
 
Lakini si unajua hata sugu siyo mnyaki ila alipewa jina flani hivi la kinyaki kisa amekulia Mbeya, kafulila amekaa kigoma kupewa uchifu kama tunu na wanazengo inawezekana, tumeona viongozi wa kisiasa wanapewa uchifu maeneo ambayo siyo Yao kwa heshima tu, achilia mbali PhD ambazo wabongo kwa utamaduni wetu tu wa kujikomba kwa viongozi ili taasisi za elimu ziwe recognized tumewapa viongozi kibao, kikwete alipewa PHD na teku😆😆, sembuse uchifu mwamba! Hata viongozi wa kimila wanajikomba,ni WA Tanzania kama nyinyi,na kujikomba ni hulka Yao, kumpa kafulila uchifu just kwa kuangalia tu kesho yake inavoweza kung'aa hawashindwi,ila kafulila nae anaweza waonga viongozi wa kimila wampe uchifu ili kuequalize na washindani wake Akina chifu zito kabwe , usimwamini mtanzania Wala mwanasiasa, ukitaka hata Mimi usiniamini😅😅ila kafulila ni mtanzania, msukfipa,
Kwa hiyo kwa kigoma Chifu Nkunda hilo jina Nkunda kwa kigoma ni kabila lipi hasa wanatumia Nkunda kwenye makabila ya kigoma
 
Kwa hiyo kwa kigoma Chifu Nkunda hilo jina Nkunda kwa kigoma ni kabila lipi hasa wanatumia Nkunda kwenye makabila ya kigoma
Nkunda kwa kiswahili fasaha ni kama penda au kupenda kwa mantiki ya kibantu,Sasa waza kwenye lugha zetu za kibantu najua hata kwa Waha Hilo neno nkunda lina mahusiano na maana yangu,
Jamaa kakulia kigoma ila ni msukuma, jongwe (Sugu) jina halijambadilisha kuwa mnyaki,japo amekulia mbeya
 
Nkunda kwa kiswahili fasaha ni kama penda au kupenda kwa mantiki ya kibantu,Sasa waza kwenye lugha zetu za kibantu najua hata kwa Waha Hilo neno nkunda lina mahusiano na maana yangu,
Jamaa kakulia kigoma ila ni msukuma, jongwe (Sugu) jina halijambadilisha kuwa mnyaki,japo amekulia mbeya
Nkunda kwa makabila ya kigoma ni kabila lipi linatumia Nkunda kwa kigoma?
 
Tanzania tunaenda kinyume na Dunia harafu tunajifananisha na watu walio mbali mara mia zaidi yetu sasa hivi SA bei ya mafuta inashuka kwa kasi sana wakati Tanzania yakipanda yamepanda yakishuka ni cents yanapanda karibu Tsh 400 kwa wakati mmoja..
 
Nkunda kwa makabila ya kigoma ni kabila lipi linatumia Nkunda kwa kigoma?
😆😆😆 Ufafanuzi wangu na unachotaka Viko tofauti,mi nakufafanulia kwamba jamaa siyo Muha Wala mtusi kwa mifano,we umekazana kutafuta asilo ya neno nkunda,nimekwambia kwenye Kiha lipo,unauliza Tena ni kabila lipo,haya basi ngoja tumpeleke huko unakotaka,Sasa chagua awe wa Burundi au Rwanda!?
 
Yuko sahihi...

Heko kwake....

Tulipopata uhuru wetu ,Dar es salaam ilikuwa na wakazi laki 3 tu.....nchi nzima walikuwa milioni 9......

Leo tuko milioni 60+.....

Wawekezaji waijenge tu hiyo barabara ya kulipia kutoka Kibaha mpaka Morogoro.....

#Rais Samia na 4R's [emoji7][emoji7]
Mawazo mazuri LAKINI ningemtaka Kafulila atupe mfano au mifano hai nchini kwetu ambapo PPP imeishaanza,na kama haipo shida ni nini?
Na kama ipo lakini inasuasia shida ni nini?
Je mwananchi mtumiaji wa miradi ya PPP analindwa vipi asinyonwe?
 
😆😆😆 Ufafanuzi wangu na unachotaka Viko tofauti,mi nakufafanulia kwamba jamaa siyo Muha Wala mtusi kwa mifano,we umekazana kutafuta asilo ya neno nkunda,nimekwambia kwenye Kiha lipo,unauliza Tena ni kabila lipo,haya basi ngoja tumpeleke huko unakotaka,Sasa chagua awe wa Burundi au Rwanda!?
Naachia wengine wamchagulie chief Nkunda hasa kwao wapi? Rwanda au Burundi?
 
Ni lini Kafulila aliitwa Nkunda Shotocan
Wakati akitawazwa kuwa chifu kule kigoma lile jimbo lake aligombea walimtawaza uchifu na baada ya kumtawaza chifu wakampa jina Chifu Nkunda wala sio siri tukio lilikuwa la wazi hadharani hawakufanyia chumbani
 
Back
Top Bottom