Kafulila: Mafanikio ya Kihistoria ya Bandari chini ya DP World na Vivuko vya Bakresa ni mwanzo tu wa matunda ya PPP kwenye kujenga Uchumi wa kisasa

Kafulila: Mafanikio ya Kihistoria ya Bandari chini ya DP World na Vivuko vya Bakresa ni mwanzo tu wa matunda ya PPP kwenye kujenga Uchumi wa kisasa

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw. David Kafulila amekaririwa akisema kuwa nia ya PPP ni kuvuta na kuvutia mitaji , Ufanisi pamoja na Teknolojia toka Sekta binafsi Popote Duniani.

Mkurugenzi huyo ametolea mfano faida za moja kwa moja Tanzania ilizoanza kuzipata toka kwenye Vivuko vya Bakresa pamoja na Ufanisi wa kihistoria uliofikiwa na DP WORLD kwani kwa kipindi kifupi DP WORLD imetoa matokeo ambayo hayajawahi kufikiwa kwa miongo mingi iliyopita.

Kafulila anaendelea kwa kusema Serikali inaleta sekta binafsi kwaajili ya kuvuta teknolojia Kwakuwa Sekta binafsi ndio yenye teknolojia bora kuliko ile iliyoko Serikalini na huu ni utafiti kwa Dunia nzima.

Anaendelea kwa kusema, zile pesa za walipa Kodi ambazo Serikali ingeipatia TEMESA ili kununua Vivuko Sasa pesa hizo zitaelekezwa kwenye Ujenzi wa miradi mingine muhimu kama vile shule, Zahati au vituo vya afya Kwakuwa Sasa huduma za Vivuko zinatolewa na Bakhresa kwa utaratibu wa Ubia na Serikali bila kutumia Senti moja ya Kodi Wala Mkopo.

Tumia muda wako kupata madini toka kwa Kafulila.


View attachment 3224842



===
Bwana mdogo kafulila tuliza mshono wewe ni chawa tu.
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw. David Kafulila amekaririwa akisema kuwa nia ya PPP ni kuvuta na kuvutia mitaji , Ufanisi pamoja na Teknolojia toka Sekta binafsi Popote Duniani.

Mkurugenzi huyo ametolea mfano faida za moja kwa moja Tanzania ilizoanza kuzipata toka kwenye Vivuko vya Bakresa pamoja na Ufanisi wa kihistoria uliofikiwa na DP WORLD kwani kwa kipindi kifupi DP WORLD imetoa matokeo ambayo hayajawahi kufikiwa kwa miongo mingi iliyopita.

Kafulila anaendelea kwa kusema Serikali inaleta sekta binafsi kwaajili ya kuvuta teknolojia Kwakuwa Sekta binafsi ndio yenye teknolojia bora kuliko ile iliyoko Serikalini na huu ni utafiti kwa Dunia nzima.

Anaendelea kwa kusema, zile pesa za walipa Kodi ambazo Serikali ingeipatia TEMESA ili kununua Vivuko Sasa pesa hizo zitaelekezwa kwenye Ujenzi wa miradi mingine muhimu kama vile shule, Zahati au vituo vya afya Kwakuwa Sasa huduma za Vivuko zinatolewa na Bakhresa kwa utaratibu wa Ubia na Serikali bila kutumia Senti moja ya Kodi Wala Mkopo.

Tumia muda wako kupata madini toka kwa Kafulila.


View attachment 3224842



===
Hongera sana Rais SAMIA kura yangu unayo
 
Uko Nchi gani? Toto Afya imefutwa nikuoneshe? Aisee hujui kitu utakuwa unaishi Burundi sio Bure
Afya toto si imeondolewa kwenye package ambayo ni affordable na kuwekwa kwenye malaki. Is that what poor Tanzanians need?
 
Huwa unatetea upuuzi wowote uliokoa affiliated na Mwenyekiti. So i have to prove no point to you. Its like that and always has been that way.
Umesikia nani analalamika kwamba ameshindwa kulipia 150k Kwa mwaka?

Na kama ameshindwa Kwa nini asilipie Kwa makundi eg Watoto Wakiwa shule?

Wacha kuwa punguani,sio tuu kwamba kuja Toto Afya Bali Bima Kwa wote imepitoshwa .
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw. David Kafulila amekaririwa akisema kuwa nia ya PPP ni kuvuta na kuvutia mitaji , Ufanisi pamoja na Teknolojia toka Sekta binafsi Popote Duniani.

Mkurugenzi huyo ametolea mfano faida za moja kwa moja Tanzania ilizoanza kuzipata toka kwenye Vivuko vya Bakresa pamoja na Ufanisi wa kihistoria uliofikiwa na DP WORLD kwani kwa kipindi kifupi DP WORLD imetoa matokeo ambayo hayajawahi kufikiwa kwa miongo mingi iliyopita.

Kafulila anaendelea kwa kusema Serikali inaleta sekta binafsi kwaajili ya kuvuta teknolojia Kwakuwa Sekta binafsi ndio yenye teknolojia bora kuliko ile iliyoko Serikalini na huu ni utafiti kwa Dunia nzima.

Anaendelea kwa kusema, zile pesa za walipa Kodi ambazo Serikali ingeipatia TEMESA ili kununua Vivuko Sasa pesa hizo zitaelekezwa kwenye Ujenzi wa miradi mingine muhimu kama vile shule, Zahati au vituo vya afya Kwakuwa Sasa huduma za Vivuko zinatolewa na Bakhresa kwa utaratibu wa Ubia na Serikali bila kutumia Senti moja ya Kodi Wala Mkopo.

Tumia muda wako kupata madini toka kwa Kafulila.


View attachment 3224842



===
Ccm daima
 
Mjinga wewe kama hujui kwamba serikali ilienda kufanya marekebisho baadhi ya maeneo yaliyokua na utata umebakia kushupalia upumbavu!
Yes Serikali ya Samia ni Sikivu sana,

#MITANO TENA
 
Umesikia nani analalamika kwamba ameshindwa kulipia 150k Kwa mwaka?

Na kama ameshindwa Kwa nini asilipie Kwa makundi eg Watoto Wakiwa shule?

Wacha kuwa punguani,sio tuu kwamba kuja Toto Afya Bali Bima Kwa wote imepitoshwa .
CHADEMA wazito kufikiria
 
Back
Top Bottom