Kafulila: Milango iko wazi kwa mtu au kikundi kununua vichwa na mabehewa ya SGR kisha kuyaendesha kwa miundombinu ya serikali kwa sharti la ubia

Hili wazo Mimi naona ni zuri sana, Serikali iziache Sekta binafsi ziendeshe Biashara hiyo kwani kwenye manunuzi watu wanatupiga sana
 
Lete tu ushahidi Mwalimu tukuamini
Ushahidi ni mimi mwalimu wake.. yule ni ujanja ujanja tu hanaga kitu kichwani. Hata Ally happy amemaliza masters ya human resources hapa kwa mbinde sana tumemuonea huruma tu. Akisimama jukwani utafikiri ana akili kumbe zero brain
 
Ushahidi ni mimi mwalimu wake.. yule ni ujanja ujanja tu hanaga kitu kichwani. Hata Ally happy amemaliza masters ya human resources hapa kwa mbinde sana tumemuonea huruma tu. Akisimama jukwani utafikiri ana akili kumbe zero brain
Sasa mbona unatoa Siri za wanafuΓ±zi hauna kiapo wewe?
 
Sasa utadisco vipi wakati una akili.
Kafulila ameteuliwa nafasi za kisiasa kama RC ambayo yeyote anaweza kuteuliwa lakn ameteuliwa nafasi za utendaji kama RAS, COMMISSIONER FOR PPP na sasa EXECUTIVE DIRECTOR FOR PPP, nafasi ambayo unateuliwa kwa uwezo wa kichwa.

Nenda kawaambie na wenzako.
 
Prof asaad ameshasema watumishi wa umma wanachaguliwa kwa connections siyo akili mana ingekuwa akiki kafulila asingefaa hata mwenyekiti wa nyumba kumi
 
Sasa wewe ndg yangu sijui kama unaelimu yoyote, kweli mtu awe RAS bila CV ya kueleweka, awe RC, Awe Kamishna wa PPP awe CEO wa PPP kweli huyu mtu anabebwa tu.

Haya vipi kuhusu Kigoma Kusuni alipokuwa Mbunge huko nako alibebwa na nani?
 
Prof asaad ameshasema watumishi wa umma wanachaguliwa kwa connections siyo akili mana ingekuwa akiki kafulila asingefaa hata mwenyekiti wa nyumba kumi
Sasa wewe ndg yangu sijui kama unaelimu yoyote, kweli mtu awe RAS bila CV ya kueleweka, awe RC, Awe Kamishna wa PPP awe CEO wa PPP kweli huyu mtu anabebwa tu.

Haya vipi kuhusu Kigoma Kusuni alipokuwa Mbunge huko nako alibebwa na nani?
 
Sasa wewe ndg yangu sijui kama unaelimu yoyote, kweli mtu awe RAS bila CV ya kueleweka, awe RC, Awe Kamishna wa PPP awe CEO wa PPP kweli huyu mtu anabebwa tu.

Haya vipi kuhusu Kigoma Kusuni alipokuwa Mbunge huko nako alibebwa na nani?
Vyeo hivyo havihitaji elimu nzuri ni connection tu. Wenye elimu nzuri wapo chuoni wanafundisha wenye gpa kubwa. Hao wengine unaweza kuta ana gpa ya 1.5 na bado ni director
 
Vyeo hivyo havihitaji elimu nzuri ni connection tu. Wenye elimu nzuri wapo chuoni wanafundisha wenye gpa kubwa. Hao wengine unaweza kuta ana gpa ya 1.5 na bado ni director
Be connected basi wewe
 
Haya matajiri wa JF fursa hiyoooo
Wakichukua wenye hela mtaanza kusema waarabu wanatunyonya
Msiseme sijawashtua au kaeni na mabilioni yenu ya mchongo
 
Haya mauza uza mnayafanya bila kuwasikiliza wenyenchi,reli yenyewe bado haijaisha tayari mnaanza kuigawana?Mliopo CCM mnataka kujimilikisha kila mradi ambao Wananchi wameugharimia!
Hao wawekezaji waje wajenge reli na siyo vichwa/mabehewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…