Kafulila na Adan- Namtilia shaka Kafulila kulungulwa

Kafulila na Adan- Namtilia shaka Kafulila kulungulwa

Bubu Msemaovyo

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2007
Posts
4,120
Reaction score
3,468
Aliporejea kutoka India alisema mengi, lakini hili la Adan akitaka apewe TANESCO kama mwekezaji nasikia harufu kwasababu wenzetu wamesikia harufu toka kwa Adan.

Namtaka Kafulila aje atwambie hii harufu ya Adan kule India hakuisikia kama siyo kupakazwa na yeye?

Ile TICS kachukua Adan. Kafulila kala matapishi yake kupitia sahani ya Adan?
 
Aliporejea kutoka India alisema mengi, lakini hili la Adan akitaka apewe TANESCO kama mwekezaji nasikia harufu kwasababu wenzetu wamesikia harufu toka kwa Adan.
Namtaka Kafulila aje atwambie hii harufu ya Adan kule India hakuisikia kama siyo kupakazwa na yeye? Ile TICS kachukua Adan. Kafulila kala matapishi yake kupitia sahani ya Adan?
Hili halifai kupingwa hata kidogo ingefaa kila Mtanzania mzalendo mwenye mapenzi na nchi yake aweze kusikia harufu mbaya, harufu mbaya ya rushwa na matumizi mabaya ya madaraka.

Inafaa kila mtu mwenye akili timamu ahoji ujumbe wa Kafulila kwenda India je kuliambatana na maafisa wa usalama taifa pamoja na takukuru kufuatilia kwa karibu majadiliano na makubaliano ya Kafulila na kama kulikua na kuzingatia maslahi mapana ya taifa na kutokuwepo kwa rushwa.
Kwa bahati mbaya taasisi nilizozitaja hapo juu ya pili ndio kinara wa Rushwa na ya kwanza ina kazi maalumu ya kulinda wezi na kuilinda ccm na viongozi wake huku vijana wao wakikaa baa na kutishia watu bastola.

Ni wasi wasi wangu kwamba gharama kubwa anayoitumia kafulila kudalalia PPP ni dhahiri kwamba anatumikia rushwa aliyopewa na hao mabepari uchwara na wanaolenga kuvuna rasilimali zetu kwa kipindi kifupi ambacho wanaamini namba one sio mwelewa wa kutosha juu ya mambo magumu na makubwa ya nchi hasa maeneo ya miradi mikubwa ya maendeleo.

Wenzetu huko duniani wametumia idara husika kupata taarifa sahihi na kuamua kumtia nguvuni bwana Adani hasa kwamba wenzetu wana taarifa za uhakika, hawkamati kwanza ndio uchunguzi uanze la hasha. Jirani zetu kenya baada ya kupata taarifa hizi maramoja wamefuta mikataba na huyu jamaa. Changamoto ni kwamba sisi kwa sababu ya rushwa na ujinga, tulibadilisha sheria zetu kwa ajili ya wawekezaji badala ya waekezaji kufuata sheria zetu ili kumjengea mwarabu wa DP njia ya kutumia rasilimali zetu, kwa sheria zinazotufunga sisi hutasikia tumbili akitamka neno wala kitika akibwabwaja neno. Tutakaa kimya na kumpigia debe chini chini ale hiyo tenda ya umeme na huku akitafuna Bandarini.

Shida inakuja kwamba hisa za Adani zimeshuka ghafla na speculators wameanza kutoa fedha zao kwenye soko la hisi mpaka jana imeshuka kwa 20 percent. Kinachoendelea ni kwamba ufanisi utakua zero, tukimfukuza atatushtaki tumlipe na baadae tuje tuwsingizie chadema. Taasisi za ndani zikifanya kazi kwa maslahi ya nchi na si maslahi ya ccm na kafulila tutafika mbali Lucas Mwashambwa aisome kwenye faili lake mana anampiga debe kuliko angefanya Jesca Kishoa na ndugu Pascal Mayalla utusaidie ni namna gani hizo taasisi nilizotaja zinaweza kutusaidia. https://www.reuters.com/world/india...dicts-group-chairman-bribery-case-2024-11-21/
 
Aliporejea kutoka India alisema mengi, lakini hili la Adan akitaka apewe TANESCO kama mwekezaji nasikia harufu kwasababu wenzetu wamesikia harufu toka kwa Adan.
Namtaka Kafulila aje atwambie hii harufu ya Adan kule India hakuisikia kama siyo kupakazwa na yeye? Ile TICS kachukua Adan. Kafulila kala matapishi yake kupitia sahani ya Adan?

Haihitaji rocket science kujua kawezeshwa na yeye akawezesha chawa wapige debe kwnye mitandao, tangu jana wamekimbia hawaonekani wala yeye na ile ID yake feki hajarudi kutoa updates. Ni wazi sana hili
 
Aliporejea kutoka India alisema mengi, lakini hili la Adan akitaka apewe TANESCO kama mwekezaji nasikia harufu kwasababu wenzetu wamesikia harufu toka kwa Adan.
Namtaka Kafulila aje atwambie hii harufu ya Adan kule India hakuisikia kama siyo kupakazwa na yeye? Ile TICS kachukua Adan. Kafulila kala matapishi yake kupitia sahani ya Adan?

Kuna AG mstaafu alimwita Kafulila jina gani lile? Naanza kufikiri upya, huenda alikuwa sahihi, Kafulila ni mfano wa mtu ambaye akishiba akili zake zinapungua sana, na anakuwa wa hovyo hovyo, na ana tabia ya kujifanya anakusanya vi research vyake na data hivi alafu anavitoa as if yuko well informed and intellectual hivi, kumbe Muha kashiba anaongea hovyo hovyo..!!
 
Aliporejea kutoka India alisema mengi, lakini hili la Adan akitaka apewe TANESCO kama mwekezaji nasikia harufu kwasababu wenzetu wamesikia harufu toka kwa Adan.
Namtaka Kafulila aje atwambie hii harufu ya Adan kule India hakuisikia kama siyo kupakazwa na yeye? Ile TICS kachukua Adan. Kafulila kala matapishi yake kupitia sahani ya Adan?
Never trust a politician wapo kwa ajili ya matumbo yao na familia zao
 
Ukweli ni kwamba, wengi tuliowapa madaraka ya kusimamia mali zetu, wamegeuza nchi shamba la bibi, wanatuona sisi wajinga kwa ukimya wet.
Mkuu ukweli ni kwamba sisi wote tunaonekana wajinga na ni kutokan ana ukweli kwamba wenye akili na marifa tumenyamaza na kuwaacha wajinga waongee. Mathalani kumuacha mtu Kama Mwashambwa aongee na kuisemea nchi kwa romaticized information zisiszo na ukweli wowote unategemea nini ? Wajinga wamejiinua werevu wamekaa kimya, unaweza kuona kwenye Kataba tata la DP world watu wenye taaluma zao za sheria na namna ya kutafsiri mikataba walivyokuja juu, kundi la wajinga lilirudi na kufanya marekebisho japo ujinga haukuishia hapo. Shida ikaongezeka utekelezaji ulipoanza wajinga wakaja na hoja kwamba wenye akili walizuia usitekelezwe wakati ilikua ni kutaka reforms for common good and national interests.
Katika hili nakuambia wanazuoni wakkinuka na kumtaka Kafulila aeleze hiyo nguvu ya kudalalia nchi kwa mwamvuli wa PPP watu wenye mapenzi mema na nchi wataweka wazi tu kwamba jamaa amekula rushwa even the ammount itawekwa wazi. Shida ya wajinga watatumia nguvu na ghrama kufukia ujinga huu na wizi huu. Huku mhindi akiopewa tenda za umeme kama alivyokula ya bandari kwa 30 years.
 
Aliporejea kutoka India alisema mengi, lakini hili la Adan akitaka apewe TANESCO kama mwekezaji nasikia harufu kwasababu wenzetu wamesikia harufu toka kwa Adan.

Namtaka Kafulila aje atwambie hii harufu ya Adan kule India hakuisikia kama siyo kupakazwa na yeye?

Ile TICS kachukua Adan. Kafulila kala matapishi yake kupitia sahani ya Adan?

Kama Adani amewanunua wamarekani hadi FBI imemnasa, hapa itakuwa katembeza njugu tu na jamaa wamenasa.
Serikali inabidi watoe tamko kama huko Kenya.
 
View attachment 3158864
Kama Adani amewanunua wamarekani hadi FBI imemnasa, hapa itakuwa katembeza njugu tu na jamaa wamenasa.
Serikali inabidi watoe tamko kama huko Kenya.
Wizi na Rushwa ni sehemu ya Serikali yetu, kauli za kama kula kwa urefu wa kamba na haya mamilioni yanayotolewa makanisani, kwenye mpira na gharama kubwa iliyotumika kutuaminisha kwamba DP world ni mkombozi wa bandari zetu hata kuwapa watanzania kesi za uhaini ni ishara wazi kwamba walioko na dhamana ni Wala Rushwa wakubwa! Ukitaka kujua Hilo hebu waibuke watu watafute ABC za namna alivyopewa Bandari, na kwanini Kafulila alienda India badala ya mwenye Nia ya kuwekeza kuja mwenyewe? Yale ya kusaini mikataba kwenye ndege yanajirudia! Watu hao watakapoji utaona kundi la nzi na chawa watakavyowahsambulia kwa lugha tata huku magereza yakiwasubiri. Kenya wameamua sisi hatuwezi
 
Aliporejea kutoka India alisema mengi, lakini hili la Adan akitaka apewe TANESCO kama mwekezaji nasikia harufu kwasababu wenzetu wamesikia harufu toka kwa Adan.

Namtaka Kafulila aje atwambie hii harufu ya Adan kule India hakuisikia kama siyo kupakazwa na yeye?

Ile TICS kachukua Adan. Kafulila kala matapishi yake kupitia sahani ya Adan?
nchi hii inaliwa sana. mtu mwenyewe kafulila, hivi unahitaji kujiuliza hata swali moja kweli? na pamoja na kwamba adan ameshakuwa declared mla rushwa marekani, na wenzetu wa kenya wamevunja mkataba, bado sisi tutamkumbatia, kwa sababu tulikuwa rushwa yake. Mungu likomboe hili taifa.
 
Aliporejea kutoka India alisema mengi, lakini hili la Adan akitaka apewe TANESCO kama mwekezaji nasikia harufu kwasababu wenzetu wamesikia harufu toka kwa Adan.

Namtaka Kafulila aje atwambie hii harufu ya Adan kule India hakuisikia kama siyo kupakazwa na yeye?

Ile TICS kachukua Adan. Kafulila kala matapishi yake kupitia sahani ya Adan?
Kafulila kashavuta rushwa yake
 
Back
Top Bottom