Kafulila: Pato la Kila Mtanzania litafikia TZS 17M kwa mwaka 2050

Kafulila: Pato la Kila Mtanzania litafikia TZS 17M kwa mwaka 2050

Financial Intelligence

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2023
Posts
233
Reaction score
437
Hiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,

"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la kila Mtanzania liliongezeka mara manne ( 4 ) kutoka US$360 mpaka US$ 1500 kama ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la kila Mtanzania litakuwa US$ 6,000 sawa na Pato la Mwafrica ya Kusini leo lakini kwa makadirio ya idadi ya Watanzania ni watu 140m ifikapo mwaka 2050, maana yake uchumi wa Tanzània utafikisha US$840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa Africa ya Kusini ya. leo"

Kwa takwimu hizi za David Kafulila pengine Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.

Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo

IMG-20240822-WA0072.jpg

 
Hiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,

"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"

Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.

Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo

Naona kitu kwa huyu muha
 
Tuliambiwa tupo kwenye uchumi wa kati. Akatoea Zakayo akapiga msumari, katokea msia mbegu kwenye miiba akatia msumari, wanii shirt kupitia eeh woorah akatia bolt kisha ikakaziwa nut na mwenye mbwa.

Ikifika huo mwaka kila mbwa atabweka.
 
Back
Top Bottom