King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Uongo ipi?
Kama MTz anaishi chini ya Dola moja means kwa mwaka anaishi chini ya 360USD ,sasa hiyo 17m kafulila kaitoa wapi? Kama Maza anauza hadi Mbuga sasa hayo mapato yatatoka wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo ipi?
Mtanzania yupi.? Ukiwa umeshiba usiwadhihaki wenye njaa. Yaani uende kijijini uwaambie kejeli kama hizi kweli si watakuchoma MotoHiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,
"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"
Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.
Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo
Bavicha wanashida sanaSasa utabiri unawezaje kuwa hewa kabla ya muda wake kutumia?
Kasema mpaka 2050 ndio itakuwa hivyoKama MTz anaishi chini ya Dola moja means kwa mwaka anaishi chini ya 360USD ,sasa hiyo 17m kafulila kaitoa wapi? Kama Maza anauza hadi Mbuga sasa hayo mapato yatatoka wapi?
Kasema mpaka 2050 ndio itakuwa hivyo
🤣🤣🤣daah nchi ngumu sanaHuyu Kafulila hana utofauti na watu wa Hali ya hewa/wapiga ramli/ motivation speaker
Tumbili nae amezidi kubwabwaja
Hapana huo ni Uongo ,hakuna!!
Kwa mtu mwenye akili zake timamu sawa sawa kabisa na ambaye anaijua vizuri nchi hii pamoja na kuujua vizuri aina ya mtindo wa Utawala wa nchi hii jinsi ulivyo, KAMWE hawezi kumsikiliza huyo mtu anayeitwa David Kafulila and the like kuhusiana na masuala ya uchumi wa nchi hii. It's an idiot!Ni sawa na hadithi za kusadikika za mfalme Jesha!
Miaka 26. Ila bado inasikitisha sana.Dola 6000 ndio pato la mtanzania miaka 36 ijayo?? Daah kweli Bado tuna safari ndefu kama taifa,
Utabiri lazima uendane na Kile kinachofanyika wakati uliopo, ukiangalia jinsi mambo yanavyoenda nchini kwa wakati huu haikupi hayo matumaini anayoongelea huyo TumbiriSasa utabiri unawezaje kuwa hewa kabla ya muda wake kutumia?
na vitu vimepanda mara mia ngapi toka huo mwaka 2000 hadi leoHiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,
"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"
Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.
Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo
Nadhani maana sio hiyoYuko sahihi maana kwa kipindi hicho mfumuko wa bei utakua juu kibiriti kitauzwa 500 ,unga kilo itakua 3000 kwahiyo itakua kama sasahivi tu
Unapokuwa na data sahihi sawa lakini kwa nchi hii data nyingi ni za kubumba na hazina uhalisia kwenye ground!Always kwenye uchumi Kuna projections,