econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Bavicha wanashida sana
Shida mnawaza uchama. BAVICHA inaingiaje hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bavicha wanashida sana
Unamaanisha data zote za Serikali ni uongo?Unapokuwa na data sahihi sawa lakini kwa nchi hii data nyingi ni za kubumba na hazina uhalisia kwenye ground!
Bavicha Mazezeta wengiShida mnawaza uchama. BAVICHA inaingiaje hapa.
Bavicha Mazezeta wengi
Ushabiki ukizidi sana unageuka mpumbavu,.......hio $360 ya mwaka 2000,ndio sawa sawa ama zaidi na $1500 ya mwaka huu,unapolinganisha $ na Tzs unadhani hio $ thamani yake inabaki hivo hivo?,so due to inflation na $ strengthen hio 17M ya 2050 inaweza kua ni ada ya shule rahisi ya sekondari privateHiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,
"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"
Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.
Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo
Kati ya Kafulila na Mzee Mbowe nani anaropoka?Zezeta ni wewe ambaye kila maoni tofauti unayachukulia ni ya BAVICHA. Unataka kila mtu aukubali mtizamo wa huyo Kafulila asiyejua chochote?. Yani Kafulila ndio awe benchmark kwenye mambo ya uchumi Tanzania?. Punguza ujinga. Halafu mwambie Kafulila aache kuropoka afanye kazi aliyopewa.
Soma vizuri hiyo tweeter X ameandika in dollarsUshabiki ukizidi sana unageuka mpumbavu,.......hio $360 ya mwaka 2000,ndio sawa sawa ama zaidi na $1500 ya mwaka huu,unapolinganisha $ na Tzs unadhani hio $ thamani yake inabaki hivo hivo?,so due to inflation na $ strengthen hio 17M ya 2050 inaweza kua ni ada ya shule rahisi ya sekondari private
Anafaa sana huyu 2030Hiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,
"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"
Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.
Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo
Data nyingi zina favor interest za serikali. Serikali ilikwisha jiwekea kinga ya kupiga marufuku taasisi binafsi au NGO kukusanya data kwa hiyo watu wanalazimishwa kutumia data za serikali ambazo kwa hakika zina mapungufu mengi.Unamaanisha data zote za Serikali ni uongo?
Kafulila ni Mwamba sanaHiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,
"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"
Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.
Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo
Safi sana KafulilaHiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,
"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"
Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.
Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo
Kwa mtu mwenye akili zake timamu sawa sawa kabisa na ambaye anaijua vizuri nchi hii pamoja na kuujua vizuri aina ya mtindo wa Utawala wa nchi hii jinsi ulivyo, KAMWE hawezi kumsikiliza huyo mtu anayeitwa David Kafulila and the like kuhusiana na masuala ya uchumi wa nchi hii. It's an idiot!
Kasema mpaka 2050 ndio itakuwa hivyo
Hii imekaa kisomi zaidiHiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,
"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"
Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.
Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo
🤣🤣🤣Muda huo Jf itakuwa na members wachache Sana vikongwe.