Kafulila: Pato la Kila Mtanzania litafikia TZS 17M kwa mwaka 2050

Kafulila: Pato la Kila Mtanzania litafikia TZS 17M kwa mwaka 2050

Bavicha Mazezeta wengi

Zezeta ni wewe ambaye kila maoni tofauti unayachukulia ni ya BAVICHA. Unataka kila mtu aukubali mtizamo wa huyo Kafulila asiyejua chochote?. Yani Kafulila ndio awe benchmark kwenye mambo ya uchumi Tanzania?. Punguza ujinga. Halafu mwambie Kafulila aache kuropoka afanye kazi aliyopewa.
 
Hiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,

"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"

Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.

Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo

Ushabiki ukizidi sana unageuka mpumbavu,.......hio $360 ya mwaka 2000,ndio sawa sawa ama zaidi na $1500 ya mwaka huu,unapolinganisha $ na Tzs unadhani hio $ thamani yake inabaki hivo hivo?,so due to inflation na $ strengthen hio 17M ya 2050 inaweza kua ni ada ya shule rahisi ya sekondari private
 
Zezeta ni wewe ambaye kila maoni tofauti unayachukulia ni ya BAVICHA. Unataka kila mtu aukubali mtizamo wa huyo Kafulila asiyejua chochote?. Yani Kafulila ndio awe benchmark kwenye mambo ya uchumi Tanzania?. Punguza ujinga. Halafu mwambie Kafulila aache kuropoka afanye kazi aliyopewa.
Kati ya Kafulila na Mzee Mbowe nani anaropoka?
Bavicha kwanini hamtaki kujitambua?
 
Ushabiki ukizidi sana unageuka mpumbavu,.......hio $360 ya mwaka 2000,ndio sawa sawa ama zaidi na $1500 ya mwaka huu,unapolinganisha $ na Tzs unadhani hio $ thamani yake inabaki hivo hivo?,so due to inflation na $ strengthen hio 17M ya 2050 inaweza kua ni ada ya shule rahisi ya sekondari private
Soma vizuri hiyo tweeter X ameandika in dollars
 
Hiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,

"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"

Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.

Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo

Anafaa sana huyu 2030
 
Unamaanisha data zote za Serikali ni uongo?
Data nyingi zina favor interest za serikali. Serikali ilikwisha jiwekea kinga ya kupiga marufuku taasisi binafsi au NGO kukusanya data kwa hiyo watu wanalazimishwa kutumia data za serikali ambazo kwa hakika zina mapungufu mengi.
 
pesa itakua imeshuka thamani kwaiyo 27M iyakua sio kitu
 
Hiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,

"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"

Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.

Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo

Kafulila ni Mwamba sana
 
Eeh Mungu Baba Mwenyezi nakushukuru kwa kufanikisha juhudi zangu na kunitoa kwenye hizi hesabu za kipumbavu za hawa watu
 
Hiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,

"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"

Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.

Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo

Safi sana Kafulila
 
Kwa mtu mwenye akili zake timamu sawa sawa kabisa na ambaye anaijua vizuri nchi hii pamoja na kuujua vizuri aina ya mtindo wa Utawala wa nchi hii jinsi ulivyo, KAMWE hawezi kumsikiliza huyo mtu anayeitwa David Kafulila and the like kuhusiana na masuala ya uchumi wa nchi hii. It's an idiot!

Uchumi ni Action ,Plan ,sera ,sheria ,katiba bora hivyo vitu ndivyo factors ya kutuambia kwamba uchumi utakuwa hivi ,sasa kila kitu wanauziwa waarabu then uje na porojo zako kwamba 2050 pato la mtu m1m1 litakuwa 17m how? Labda utuambie ikifika 2050 nchi itakuwa haina rasilimali na itapigwa mnada hapo tutakuelewa.
 
Hiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,

"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"

Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.

Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo

Hii imekaa kisomi zaidi
 
Back
Top Bottom