Kafulila: Pato la Kila Mtanzania litafikia TZS 17M kwa mwaka 2050

Kafulila: Pato la Kila Mtanzania litafikia TZS 17M kwa mwaka 2050

Hiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,

"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"

Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.

Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo

Kafulila mbona unajipanpromo?
 
Hiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,

"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"

Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.

Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo

Atakuwa anatembelea mkongojo wa chuma au atakua anajiburuza kama kiwete?Tufumbe macho tuombe dua la kipato cha dolari 1500.InshaAllah!🙏
 
Hiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,

"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"

Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.

Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo

very law thinking, indonesia iliwachukua 8yrs kuachana na umasikini, Israel iliwachukua 3yrs kutoka nationless hadi kuaga umasikini,
 
africa inapaswa kuwa na mopango ya pamoja ya kuondokana na umasikini, haiwezekani tanzania iendelee msimbiji uganda congo masikini, nchi haitakalika,
 
Atakuwa anatembelea mkongojo wa chuma au atakua anajiburuza kama kiwete?Tufumbe macho tuombe dua la kipato cha dolari 1500.InshaAllah!🙏
magufuli ilimchukua miezi tu kututoa hipc hadi uchumi wa kati, na angeneendelea kuwa hai uchumi wetu ungekuwa imara africa
 
kwa mali asili tulizonazo Tanzania ni kidogo sana hizo.


Kweli tunasumbuliwa na adui ujinga.
 
Hiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,

"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"

Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.

Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo

Mwaka 2050uchumi wa SA itakuwa je,tunata atuambie pengo la kiuchumi wa walicho nacho na walala hoi litakuwa je.Ratio ya walichonacho na walalaho,Sasa Iko je na 2060 itakuwa je,.Purchasing power ya walala hoi itakuwa je,Katika ile pembe tatu ya mahitaji walalahoi wangapi watakuwa wametoka ile ngazi ya kwanza na kukwea ngazi ya pili"Manslow theory".tunahofu hilo Pato la wastani litakuwa kubwa lakini watu wasiokuwa na ajira watakuwa wengi,watoto wa mtaani watakuwa wengi,nyumba za urithi zenye familia zaidi ya tatu zitakuwa nyingi,kutakuwa na Old towns nyingi zenye miundombinu ya kizamani na iliyochakaa nyingi,single mother watakuwa wengi ,sijui Mungu awe nasi.
 
Mwaka 2050uchumi wa SA itakuwa je,tunata atuambie pengo la kiuchumi wa walicho nacho na walala hoi litakuwa je.Ratio ya walichonacho na walalaho,Sasa Iko je na 2060 itakuwa je,.Purchasing power ya walala hoi itakuwa je,Katika ile pembe tatu ya mahitaji walalahoi wangapi watakuwa wametoka ile ngazi ya kwanza na kukwea ngazi ya pili"Manslow theory".tunahofu hilo Pato la wastani litakuwa kubwa lakini watu wasiokuwa na ajira watakuwa wengi,watoto wa mtaani watakuwa wengi,nyumba za urithi zenye familia zaidi ya tatu zitakuwa nyingi,kutakuwa na Old towns nyingi zenye miundombinu ya kizamani na iliyochakaa nyingi,single mother watakuwa wengi ,sijui Mungu awe nasi.
Kafulila hana akili kesho ukimuuliza atatoa takwimu tofauti na hizi
 
Back
Top Bottom