Zakayo Mtoza Ushuru
Senior Member
- Jul 31, 2024
- 149
- 154
$6000X2700=Kama MTz anaishi chini ya Dola moja means kwa mwaka anaishi chini ya 360USD ,sasa hiyo 17m kafulila kaitoa wapi? Kama Maza anauza hadi Mbuga sasa hayo mapato yatatoka wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
$6000X2700=Kama MTz anaishi chini ya Dola moja means kwa mwaka anaishi chini ya 360USD ,sasa hiyo 17m kafulila kaitoa wapi? Kama Maza anauza hadi Mbuga sasa hayo mapato yatatoka wapi?
Kafulila mbona unajipanpromo?Hiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,
"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"
Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.
Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo
Promo ipi hapo?Kafulila mbona unajipanpromo?
Atakuwa anatembelea mkongojo wa chuma au atakua anajiburuza kama kiwete?Tufumbe macho tuombe dua la kipato cha dolari 1500.InshaAllah!🙏Hiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,
"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"
Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.
Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo
Kaa kimya tu mkeka utakuona.Promo ipi hapo?
Jadili hoja acha kujadili watuKaa kimya tu mkeka utakuona.
very law thinking, indonesia iliwachukua 8yrs kuachana na umasikini, Israel iliwachukua 3yrs kutoka nationless hadi kuaga umasikini,Hiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,
"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"
Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.
Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo
magufuli ilimchukua miezi tu kututoa hipc hadi uchumi wa kati, na angeneendelea kuwa hai uchumi wetu ungekuwa imara africaAtakuwa anatembelea mkongojo wa chuma au atakua anajiburuza kama kiwete?Tufumbe macho tuombe dua la kipato cha dolari 1500.InshaAllah!🙏
Acha uzuzu wewe.Halafu huo uchumi ukapotelea wapi?magufuli ilimchukua miezi tu kututoa hipc hadi uchumi wa kati, na angeneendelea kuwa hai uchumi wetu ungekuwa imara africa
IMF watakuja kubeba vigoda vyako hapo maskani kwako.Kaa chonjo.Sijui kufikia 2050 deni la Taifa litakuwa limefikia kiasi gani!
Mwaka 2050uchumi wa SA itakuwa je,tunata atuambie pengo la kiuchumi wa walicho nacho na walala hoi litakuwa je.Ratio ya walichonacho na walalaho,Sasa Iko je na 2060 itakuwa je,.Purchasing power ya walala hoi itakuwa je,Katika ile pembe tatu ya mahitaji walalahoi wangapi watakuwa wametoka ile ngazi ya kwanza na kukwea ngazi ya pili"Manslow theory".tunahofu hilo Pato la wastani litakuwa kubwa lakini watu wasiokuwa na ajira watakuwa wengi,watoto wa mtaani watakuwa wengi,nyumba za urithi zenye familia zaidi ya tatu zitakuwa nyingi,kutakuwa na Old towns nyingi zenye miundombinu ya kizamani na iliyochakaa nyingi,single mother watakuwa wengi ,sijui Mungu awe nasi.Hiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X,
"Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la mtz litaongezeka mara 4 kutoka usd 360 mpaka usd 1500. Ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la mtz litakuwa usd 6000 sawa na SA leo lakini kwa makadirio ya idadi ya watz ni 140m mwaka 2050, maana yake uchumi utafikisha usd 840bn zaid ya mara 2 ya uchumi wa SA leo"
Tanzania inahitaji akina Kafulila wengi ili kufikia Tanzania tunayoitarajia na kuitamani kuelekea 2050.
Soma Pia: Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo
Zingatia pia populationvery law thinking, indonesia iliwachukua 8yrs kuachana na umasikini, Israel iliwachukua 3yrs kutoka nationless hadi kuaga umasikini,
Kafulila sijui kama ana akili timamuNaona Jamaa anatoa matumaini mapya kwa Watanzania ila ukweli ni kwamba Kuna kufunga mikanda
Ndiyo teuzi za maza hiziNchi Ngumu mno hii 😀😀
Kafulila hana akili kesho ukimuuliza atatoa takwimu tofauti na hiziMwaka 2050uchumi wa SA itakuwa je,tunata atuambie pengo la kiuchumi wa walicho nacho na walala hoi litakuwa je.Ratio ya walichonacho na walalaho,Sasa Iko je na 2060 itakuwa je,.Purchasing power ya walala hoi itakuwa je,Katika ile pembe tatu ya mahitaji walalahoi wangapi watakuwa wametoka ile ngazi ya kwanza na kukwea ngazi ya pili"Manslow theory".tunahofu hilo Pato la wastani litakuwa kubwa lakini watu wasiokuwa na ajira watakuwa wengi,watoto wa mtaani watakuwa wengi,nyumba za urithi zenye familia zaidi ya tatu zitakuwa nyingi,kutakuwa na Old towns nyingi zenye miundombinu ya kizamani na iliyochakaa nyingi,single mother watakuwa wengi ,sijui Mungu awe nasi.
Sababu ya serikali kuendekeza chawa badala ya wabunifuDola 6000 ndio pato la mtanzania miaka 36 ijayo?? Daah kweli Bado tuna safari ndefu kama taifa,
Utaacha lini kuchukizwa na wanaofanikiawa?Sababu ya serikali kuendekeza chawa badala ya wabunifu