Kafulila: Rais Mkapa alijutia kuiua PSRC Parastatal Sector Reform Commission, PPP haiuzi Mali za Umma bali inazilinda kwa kipindi chote cha mkataba

Ppp tunapeleka wapi proposal...... watu tuanze na nchi
 
Yaani uchukue nchi nzima?
Sijamaanisha hivyoo πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Ni kama ile msemo 'Tuanze na Mungu'.......

Kuna projekti ingefaa sana ifanywe ki PPP ina manufaa kwa wote lakini gharama za kuanza ni kubwa mnooo
 
Sijamaanisha hivyoo πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Ni kama ile msemo 'Tuanze na Mungu'.......

Kuna projekti ingefaa sana ifanywe ki PPP ina manufaa kwa wote lakini gharama za kuanza ni kubwa mnooo
Kwahiyo Nini kifanyike?
 
Hongera sana mwandishi kwa ufafanuzi mzuri sana
 
Kwahiyo Nini kifanyike?
Project zile za kijamii mfano Sahili Movies zifanywe ki PPP.

Bila kuzisahau tafiti. Mfano za tiba asili kutokana na unyeti wake katika medical security ya nchi zifanywe ki PPP pia.

Chochote tu ambacho mtu ana wazo ambalo faida yake kwa jamii ni kubwa sana, wazo linalobiasharishika lakini gharama za kuanza ni kubwa sana basi lifanyike ki Puplic na huyo Private kama Partners. Nchi ina misuli mikubwa so inaweza kuingia riski kubwa zaidi. Pia inao mkono mrefu wa dola. Perfect kwa kuwa baba wa miradi.
 
Alijutia wapi???
Mbona kwenye kitabu chake hajaiweka hii.
 
Kijana pekee anayevuta matumaini ya Vijana mtaani kuwa na imani na CCM Kwa Sasa ni Kafulila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…