Kafulila: Rais Samia Suluhu kusuka upya mfumo wa Elimu ya Tanzania ni zaidi ya Uamuzi muhimu wowote uliowahi kufanyika baada ya Uhuru

Kafulila: Rais Samia Suluhu kusuka upya mfumo wa Elimu ya Tanzania ni zaidi ya Uamuzi muhimu wowote uliowahi kufanyika baada ya Uhuru

===
Hiki ndicho alichoandika aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Zacharia Kafulila katika kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika Sekta ya Elimu na walimu,

Leo, Nchi yetu Kuna baadhi ya maeneo bado hatufanyi vizuri Kutokana na aina ya nguvu kazi tuliyonayo kama Taifa,

Kama Taifa, kunabaadhi ya Sehemu tunapata hasara na sababu ikiwa ni aina ya watu tulionao katika Maeneo na nyanja hizo za kiutendaji,

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ndio mtu anayefuatilia kwa karibu Sana sababu ya Sisi Tanzania kuendelea kuwa masikini regardless utajiri mkubwa tulionao kama Taifa,

#SamiaRoadto2025|30 View attachment 2419093
Naona hili andiko limewatoa Nyonyo wabaya wa Mama
===
Hiki ndicho alichoandika aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Zacharia Kafulila katika kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika Sekta ya Elimu na walimu,

Leo, Nchi yetu Kuna baadhi ya maeneo bado hatufanyi vizuri Kutokana na aina ya nguvu kazi tuliyonayo kama Taifa,

Kama Taifa, kunabaadhi ya Sehemu tunapata hasara na sababu ikiwa ni aina ya watu tulionao katika Maeneo na nyanja hizo za kiutendaji,

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ndio mtu anayefuatilia kwa karibu Sana sababu ya Sisi Tanzania kuendelea kuwa masikini regardless utajiri mkubwa tulionao kama Taifa,

#SamiaRoadto2025|30 View attachment 2419093
 
Ila kwenye hili la Elimu Tanzania tuko nyuma Sana,

Rais Samia 2025 Mimi nitamchagua kiroho Safi kabisa yaani

Nilifanya makosa 2020 nilichagua watu ata Ofisi tu hawana na wanamika 32.

Mtanisamehe sitarudia tena,
kazi ifanyike tupate Mapinduzi ya Elimu nchi
 
BAVICHA Jengeni,ofisi,
BAVICHA Jengeni hoja,

Mimi naeleza ukweli sio unavyotaka wewe. Uchawa utatumaliza Kama alivyosema jenerali ulimwengu. Akina Nyerere na Sykes wangekuwa chawa Kama kafulila kuisifu status tungekuwa bado Chini ya malikia.
 
Lazima atoke Huyu ni mtu serious Sana,

Huwezi kuvumilia upigaji ule,


Alifika Simiyu ndani ya wiki1 akakuta kampuni ya kimataifa ya CHICCO imejenga Barabara ya 75bn lkn chini ya kiwango na inataka kukabidhi , akairudisha ianze upya. Mmesikia wapi kitu kama tena? Na kabla yake kulikuwa na RC😎

Unajua kwanini alitoka CHADEMA?. Kwanza ujue alikuwa CHADEMA akafukuzwa, akaenda NCCR alivyoanguka ubunge 2015 akarudi CHADEMA. Sasa Kuna siku Magufuli alikuwa huko uvinza kwenye mkutano wa hadhara akamsifia Sana Kafulila , hiyo ndio ikawa sababu ya kafulila kuhamia CCM . Ni Magufuli ndio alimleta CCM Sasa hayupo.
 
Mimi naeleza ukweli sio unavyotaka wewe. Uchawa utatumaliza Kama alivyosema jenerali ulimwengu. Akina Nyerere na Sykes wangekuwa chawa Kama kafulila kuisifu status tungekuwa bado Chini ya malikia.
Tatizo lako unamtazama Kafulila kama mwanachama wa CHADEMA,
 
===
Hiki ndicho alichoandika aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Zacharia Kafulila katika kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika Sekta ya Elimu na walimu,

Leo, Nchi yetu Kuna baadhi ya maeneo bado hatufanyi vizuri Kutokana na aina ya nguvu kazi tuliyonayo kama Taifa,

Kama Taifa, kunabaadhi ya Sehemu tunapata hasara na sababu ikiwa ni aina ya watu tulionao katika Maeneo na nyanja hizo za kiutendaji,

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ndio mtu anayefuatilia kwa karibu Sana sababu ya Sisi Tanzania kuendelea kuwa masikini regardless utajiri mkubwa tulionao kama Taifa,

#SamiaRoadto2025|30 View attachment 2419093
Ungesema huo mfumo wa elimu ni upi,ukoje,na wasomi watasoma nini watajiajiri vipi!!

Sio kusifu mfumo wa elimu ambao hujui wanafunzi watasoma Nini!!!

Kupunguza idadi ya miaka ya kukaa shule sio mfumo mpya wa Elimu bali siasa kwenye Elimu!!

Nadhani kafikirie upya!
 
Kwa nn asijiajiri?Kwan maisha bila teuzi hayaendi? Mbona wakuu wengine wapo kimya wapo busy na maisha mengine nje ya uteuzi?
 
Kwa madini haya konki, mimi ni nani hadi nimuite kafulila tumbili...
 
Hebu mpeni teuzi kafulila [emoji1]

Ova
 
Ila kwenye hili la Elimu Tanzania tuko nyuma Sana,

Rais Samia 2025 Mimi nitamchagua kiroho Safi kabisa yaani

Nilifanya makosa 2020 nilichagua watu ata Ofisi tu hawana na wanamika 32.

Mtanisamehe sitarudia tena,
Unamsamehe vipi chizi?
 
===
Hiki ndicho alichoandika aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Zacharia Kafulila katika kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika Sekta ya Elimu na walimu,

Leo, Nchi yetu Kuna baadhi ya maeneo bado hatufanyi vizuri Kutokana na aina ya nguvu kazi tuliyonayo kama Taifa,

Kama Taifa, kunabaadhi ya Sehemu tunapata hasara na sababu ikiwa ni aina ya watu tulionao katika Maeneo na nyanja hizo za kiutendaji,

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ndio mtu anayefuatilia kwa karibu Sana sababu ya Sisi Tanzania kuendelea kuwa masikini regardless utajiri mkubwa tulionao kama Taifa,

#SamiaRoadto2025|30 View attachment 2419093
Sekta ya elimu imeboreshwa sana chini ya Rais Samia Suluhu
 
Back
Top Bottom