Kafulila: Sera ya UBWABWA ya CHAUMA na Mzee Hashimu Rungwe iingizwe kwenye Dira yetu ya Taifa ya Maendeleo ya 2025-2050 na sababu ni hizi…

Si Mama yenu wa CCM aliifuta TFNC, Sijui alishauriwa na Nani Huko. Juzi Kati nikaisikia tena
 
Asante Samia
 
Hujaelewa mkuu. Mmi nadhani alilengo milo lishe sio ubwabwa tu ubwabwa upo kama kibwagizo tu
 
Hujaelewa mkuu. Mmi nadhani alilengo milo lishe sio ubwabwa tu ubwabwa upo kama kibwagizo tu
Hilo lengo wala sio jipya lipo tangia tumepata Uhuru huenda hata kabla ndio maana kulikuwa na nyimbo za kula Chakula Bora, Mboga Samaki na Maziwa...

Kwahio badala ya kuendeleza muendelezo wa propaganda na vibwagizo visivyo tija wafanye kazi zao kuhakikisha watu wanapata ujira waweze kujinunulia hio lishe na sio kuwakamua kwa matozo ili waongelee kuwarudishia Makombo

 
Merry Christmas
 
Kuliko niipe Chadema kura yangu 2025, nitampa HASHIM RUNGWE 2025!
 
Hii ni kweli itasaidia sana
 
Safi sana David Kafulila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…