Wakati ule wa 2015 ilionekana kama sio big deal, lakini kumbe wakubwa wameichukua na kui-implementNakubaliana na wewe kabisa.
View attachment 3179311
View attachment 3179318
===
Hatimaye sera za mzee Hashimu Rungwe Sipunda wa chama cha CHAUMA zaanza kupata utetezi wa kisayansi polepole baada ya miaka kumi kupita ( 10 )
Leo tutamuangazia Mkurugenzi Mkuu wa kituo Ubia nchini PPPC Bw David KAFULILA katika moja ya tweete zake huko tweeter X.
Mkurugenzi Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano wa kuchukua sera nzuri ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 toka Chama Cha Ukombozi wa Umma Wakili Msomi Hashimu Rungwe Sipunda.
Cde Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa pamoja na yote linaigharimu dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn ambazo ni zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani Tanzania yetu ikiwemo.
Bila kujali hoja hii imetoka Upinzani au chama rafiki bado ni hoja mtambuka kwa Ustawi wa Taifa letu na Watanzania wa leo na kesho kwenye hili nampa Kafulila kongole nyingi kwa wivu wake mkubwa juu ya maisha ya Watanzania hasa watoto wanaotoka kwenye familia duni.
View attachment 3185256
HakikaApewe credits zake Mzee Hashimu Rungwe Kwa kuweza kufikiri sawasawa kuhusu umuhimu wa lishe kuliko Viongozi waliokuwa madarakani
Mzee yule anajua sana aiseeApewe credits zake Mzee Hashimu Rungwe Kwa kuweza kufikiri sawasawa kuhusu umuhimu wa lishe kuliko Viongozi waliokuwa madarakani
Ni vile Nchi haitaki watu wanao jielewaMzee yule anajua sana aisee
Mkuu ungetoa shule kidogoKwamba Ubwabwa ndio nutrition ? Na Sera ya Ubwabwa ndio ipi ? Yaani hii nchi ina vituko sana na maigizo ndio mpango mzima..., yaani kila siku wanaangalia script mpya...; Kwamba chakula Nutritional (Balanced Diet) ni kuongeza Wanga (Ubwabwa) ? Au kwa ufupi Sera hii Inasemaje ?
Yaani katika nchi ambayo ina kila kitu yet kuna watu hawana hata milo miwili let alone mitatu (kwa kukosa ujira) mnaanza kuleta story za Ubwabwa badala ya kuhakikisha watu wana disposable income ya kuweza kujinunulia Samaki ?
Ustawi wa Jamii; A Penny Saved is a Penny Earned; Serikali inaweza Kumpunguzia Mzigo wa Matumizi Mwananchi hivyo Kumwongezea Kipato cha Kutumia
Maadui wetu hawajawahi Kubadilika Umasikini, Ujinga na Maradhi..., Vilevile Mahitahi Muhimu ya Binadamu hayabadilika (Chakula Malazi na Mavazi); Karne ya sasa ambayo sio kila mtu anaweza kuchukua Jembe na kwenda kulima mihogo na kupata kitoweo Pesa inahitajika. Hii ndio itakupatia mahitaji...www.jamiiforums.com
I respect you brother ila tatizo lako gubu sanaKwamba Ubwabwa ndio nutrition ? Na Sera ya Ubwabwa ndio ipi ? Yaani hii nchi ina vituko sana na maigizo ndio mpango mzima..., yaani kila siku wanaangalia script mpya...; Kwamba chakula Nutritional (Balanced Diet) ni kuongeza Wanga (Ubwabwa) ? Au kwa ufupi Sera hii Inasemaje ?
Yaani katika nchi ambayo ina kila kitu yet kuna watu hawana hata milo miwili let alone mitatu (kwa kukosa ujira) mnaanza kuleta story za Ubwabwa badala ya kuhakikisha watu wana disposable income ya kuweza kujinunulia Samaki ?
Ustawi wa Jamii; A Penny Saved is a Penny Earned; Serikali inaweza Kumpunguzia Mzigo wa Matumizi Mwananchi hivyo Kumwongezea Kipato cha Kutumia
Maadui wetu hawajawahi Kubadilika Umasikini, Ujinga na Maradhi..., Vilevile Mahitahi Muhimu ya Binadamu hayabadilika (Chakula Malazi na Mavazi); Karne ya sasa ambayo sio kila mtu anaweza kuchukua Jembe na kwenda kulima mihogo na kupata kitoweo Pesa inahitajika. Hii ndio itakupatia mahitaji...www.jamiiforums.com
Nakubaliana na wewe 100%Acha siasa kwenye inshu serious kama hizi za Maisha ya watoto wetu, Kafulila Mimi nimekuelewa nakuunga mkono,
Mashuleni chakula kiwepo katika kila level
Mwanzoni nilijua Mzee yule ni muigizaji tuApewe credits zake Mzee Hashimu Rungwe Kwa kuweza kufikiri sawasawa kuhusu umuhimu wa lishe kuliko Viongozi waliokuwa madarakani
Nimecheka hii kwa sauti 😂😂View attachment 3179311
View attachment 3179318
===
Hatimaye sera za mzee Hashimu Rungwe Sipunda wa chama cha CHAUMA zaanza kupata utetezi wa kisayansi polepole baada ya miaka kumi kupita ( 10 )
Leo tutamuangazia Mkurugenzi Mkuu wa kituo Ubia nchini PPPC Bw David KAFULILA katika moja ya tweete zake huko tweeter X.
Mkurugenzi Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano wa kuchukua sera nzuri ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 toka Chama Cha Ukombozi wa Umma Wakili Msomi Hashimu Rungwe Sipunda.
Cde Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa pamoja na yote linaigharimu dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn ambazo ni zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani Tanzania yetu ikiwemo.
Bila kujali hoja hii imetoka Upinzani au chama rafiki bado ni hoja mtambuka kwa Ustawi wa Taifa letu na Watanzania wa leo na kesho kwenye hili nampa Kafulila kongole nyingi kwa wivu wake mkubwa juu ya maisha ya Watanzania hasa watoto wanaotoka kwenye familia duni.
View attachment 3185256
Mpaka njaa inauma ghaflaView attachment 3179311
View attachment 3179318
===
Hatimaye sera za mzee Hashimu Rungwe Sipunda wa chama cha CHAUMA zaanza kupata utetezi wa kisayansi polepole baada ya miaka kumi kupita ( 10 )
Leo tutamuangazia Mkurugenzi Mkuu wa kituo Ubia nchini PPPC Bw David KAFULILA katika moja ya tweete zake huko tweeter X.
Mkurugenzi Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano wa kuchukua sera nzuri ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 toka Chama Cha Ukombozi wa Umma Wakili Msomi Hashimu Rungwe Sipunda.
Cde Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa pamoja na yote linaigharimu dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn ambazo ni zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani Tanzania yetu ikiwemo.
Bila kujali hoja hii imetoka Upinzani au chama rafiki bado ni hoja mtambuka kwa Ustawi wa Taifa letu na Watanzania wa leo na kesho kwenye hili nampa Kafulila kongole nyingi kwa wivu wake mkubwa juu ya maisha ya Watanzania hasa watoto wanaotoka kwenye familia duni.
View attachment 3185256
SureApewe credits zake Mzee Hashimu Rungwe Kwa kuweza kufikiri sawasawa kuhusu umuhimu wa lishe kuliko Viongozi waliokuwa madarakani
Hakika MkuuSure
Ubwabwa mwingi Nyama nyingi lakini mboga za majani hakuna !!!😳View attachment 3179311
View attachment 3179318
===
Hatimaye sera za mzee Hashimu Rungwe Sipunda wa chama cha CHAUMA zaanza kupata utetezi wa kisayansi polepole baada ya miaka kumi kupita ( 10 )
Leo tutamuangazia Mkurugenzi Mkuu wa kituo Ubia nchini PPPC Bw David KAFULILA katika moja ya tweete zake huko tweeter X.
Mkurugenzi Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano wa kuchukua sera nzuri ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 toka Chama Cha Ukombozi wa Umma Wakili Msomi Hashimu Rungwe Sipunda.
Cde Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa pamoja na yote linaigharimu dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn ambazo ni zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani Tanzania yetu ikiwemo.
Bila kujali hoja hii imetoka Upinzani au chama rafiki bado ni hoja mtambuka kwa Ustawi wa Taifa letu na Watanzania wa leo na kesho kwenye hili nampa Kafulila kongole nyingi kwa wivu wake mkubwa juu ya maisha ya Watanzania hasa watoto wanaotoka kwenye familia duni.
View attachment 3185256
Nakuelewa vizuriNadhani Kuna kitu unatakiwa kukifahamu vizuri,
Kwanza, Ufahamu kuwa Dira ni msingi hivyo hata kama Leo uji upo lakini je ni sera ya Taifa au ni mawazo ya mtu mmoja,
Tunachokihitaji jambo hili jema liwe kama Sheria kwa yeyote atakayeongoza Taifa hili,
Leo Serikali ya CCM inatoa Elimu Bora Bure Sasa kwanini usione nia njema ya Kodi zako unazolipa?
Hii naomba tuiingize Kwenye Ilani ya CCMView attachment 3179311
View attachment 3179318
===
Hatimaye sera za mzee Hashimu Rungwe Sipunda wa chama cha CHAUMA zaanza kupata utetezi wa kisayansi polepole baada ya miaka kumi kupita ( 10 )
Leo tutamuangazia Mkurugenzi Mkuu wa kituo Ubia nchini PPPC Bw David KAFULILA katika moja ya tweete zake huko tweeter X.
Mkurugenzi Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano wa kuchukua sera nzuri ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 toka Chama Cha Ukombozi wa Umma Wakili Msomi Hashimu Rungwe Sipunda.
Cde Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa pamoja na yote linaigharimu dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn ambazo ni zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani Tanzania yetu ikiwemo.
Bila kujali hoja hii imetoka Upinzani au chama rafiki bado ni hoja mtambuka kwa Ustawi wa Taifa letu na Watanzania wa leo na kesho kwenye hili nampa Kafulila kongole nyingi kwa wivu wake mkubwa juu ya maisha ya Watanzania hasa watoto wanaotoka kwenye familia duni.
View attachment 3185256
Ubwabwa uliwe na kila MTUView attachment 3179311
View attachment 3179318
===
Hatimaye sera za mzee Hashimu Rungwe Sipunda wa chama cha CHAUMA zaanza kupata utetezi wa kisayansi polepole baada ya miaka kumi kupita ( 10 )
Leo tutamuangazia Mkurugenzi Mkuu wa kituo Ubia nchini PPPC Bw David KAFULILA katika moja ya tweete zake huko tweeter X.
Mkurugenzi Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano wa kuchukua sera nzuri ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 toka Chama Cha Ukombozi wa Umma Wakili Msomi Hashimu Rungwe Sipunda.
Cde Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa pamoja na yote linaigharimu dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn ambazo ni zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani Tanzania yetu ikiwemo.
Bila kujali hoja hii imetoka Upinzani au chama rafiki bado ni hoja mtambuka kwa Ustawi wa Taifa letu na Watanzania wa leo na kesho kwenye hili nampa Kafulila kongole nyingi kwa wivu wake mkubwa juu ya maisha ya Watanzania hasa watoto wanaotoka kwenye familia duni.
View attachment 3185256
Hili linawezekanaView attachment 3179311
View attachment 3179318
===
Hatimaye sera za mzee Hashimu Rungwe Sipunda wa chama cha CHAUMA zaanza kupata utetezi wa kisayansi polepole baada ya miaka kumi kupita ( 10 )
Leo tutamuangazia Mkurugenzi Mkuu wa kituo Ubia nchini PPPC Bw David KAFULILA katika moja ya tweete zake huko tweeter X.
Mkurugenzi Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano wa kuchukua sera nzuri ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 toka Chama Cha Ukombozi wa Umma Wakili Msomi Hashimu Rungwe Sipunda.
Cde Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa pamoja na yote linaigharimu dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn ambazo ni zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani Tanzania yetu ikiwemo.
Bila kujali hoja hii imetoka Upinzani au chama rafiki bado ni hoja mtambuka kwa Ustawi wa Taifa letu na Watanzania wa leo na kesho kwenye hili nampa Kafulila kongole nyingi kwa wivu wake mkubwa juu ya maisha ya Watanzania hasa watoto wanaotoka kwenye familia duni.
View attachment 3185256