Kafulila: Sera ya UBWABWA ya CHAUMA na Mzee Hashimu Rungwe iingizwe kwenye Dira yetu ya Taifa ya Maendeleo ya 2025-2050 na sababu ni hizi…

Kafulila: Sera ya UBWABWA ya CHAUMA na Mzee Hashimu Rungwe iingizwe kwenye Dira yetu ya Taifa ya Maendeleo ya 2025-2050 na sababu ni hizi…

View attachment 3179311
View attachment 3179318
===
Hatimaye sera za mzee Hashimu Rungwe Sipunda wa chama cha CHAUMA zaanza kupata utetezi wa kisayansi polepole baada ya miaka kumi kupita ( 10 )

Leo tutamuangazia Mkurugenzi Mkuu wa kituo Ubia nchini PPPC Bw David KAFULILA katika moja ya tweete zake huko tweeter X.

Mkurugenzi Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano wa kuchukua sera nzuri ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 toka Chama Cha Ukombozi wa Umma Wakili Msomi Hashimu Rungwe Sipunda.

Cde Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa pamoja na yote linaigharimu dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn ambazo ni zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani Tanzania yetu ikiwemo.

Bila kujali hoja hii imetoka Upinzani au chama rafiki bado ni hoja mtambuka kwa Ustawi wa Taifa letu na Watanzania wa leo na kesho kwenye hili nampa Kafulila kongole nyingi kwa wivu wake mkubwa juu ya maisha ya Watanzania hasa watoto wanaotoka kwenye familia duni.

View attachment 3185256


Hii inavutia sana
 
Kwamba Ubwabwa ndio nutrition ? Na Sera ya Ubwabwa ndio ipi ? Yaani hii nchi ina vituko sana na maigizo ndio mpango mzima..., yaani kila siku wanaangalia script mpya...; Kwamba chakula Nutritional (Balanced Diet) ni kuongeza Wanga (Ubwabwa) ? Au kwa ufupi Sera hii Inasemaje ?

Yaani katika nchi ambayo ina kila kitu yet kuna watu hawana hata milo miwili let alone mitatu (kwa kukosa ujira) mnaanza kuleta story za Ubwabwa badala ya kuhakikisha watu wana disposable income ya kuweza kujinunulia Samaki ?

Mkuu ungetoa shule kidogo
 
Kwamba Ubwabwa ndio nutrition ? Na Sera ya Ubwabwa ndio ipi ? Yaani hii nchi ina vituko sana na maigizo ndio mpango mzima..., yaani kila siku wanaangalia script mpya...; Kwamba chakula Nutritional (Balanced Diet) ni kuongeza Wanga (Ubwabwa) ? Au kwa ufupi Sera hii Inasemaje ?

Yaani katika nchi ambayo ina kila kitu yet kuna watu hawana hata milo miwili let alone mitatu (kwa kukosa ujira) mnaanza kuleta story za Ubwabwa badala ya kuhakikisha watu wana disposable income ya kuweza kujinunulia Samaki ?

I respect you brother ila tatizo lako gubu sana
 
Apewe credits zake Mzee Hashimu Rungwe Kwa kuweza kufikiri sawasawa kuhusu umuhimu wa lishe kuliko Viongozi waliokuwa madarakani
Mwanzoni nilijua Mzee yule ni muigizaji tu
 
View attachment 3179311
View attachment 3179318
===
Hatimaye sera za mzee Hashimu Rungwe Sipunda wa chama cha CHAUMA zaanza kupata utetezi wa kisayansi polepole baada ya miaka kumi kupita ( 10 )

Leo tutamuangazia Mkurugenzi Mkuu wa kituo Ubia nchini PPPC Bw David KAFULILA katika moja ya tweete zake huko tweeter X.

Mkurugenzi Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano wa kuchukua sera nzuri ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 toka Chama Cha Ukombozi wa Umma Wakili Msomi Hashimu Rungwe Sipunda.

Cde Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa pamoja na yote linaigharimu dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn ambazo ni zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani Tanzania yetu ikiwemo.

Bila kujali hoja hii imetoka Upinzani au chama rafiki bado ni hoja mtambuka kwa Ustawi wa Taifa letu na Watanzania wa leo na kesho kwenye hili nampa Kafulila kongole nyingi kwa wivu wake mkubwa juu ya maisha ya Watanzania hasa watoto wanaotoka kwenye familia duni.

View attachment 3185256
Nimecheka hii kwa sauti 😂😂
Hivi hii kumbe ni serious
 
View attachment 3179311
View attachment 3179318
===
Hatimaye sera za mzee Hashimu Rungwe Sipunda wa chama cha CHAUMA zaanza kupata utetezi wa kisayansi polepole baada ya miaka kumi kupita ( 10 )

Leo tutamuangazia Mkurugenzi Mkuu wa kituo Ubia nchini PPPC Bw David KAFULILA katika moja ya tweete zake huko tweeter X.

Mkurugenzi Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano wa kuchukua sera nzuri ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 toka Chama Cha Ukombozi wa Umma Wakili Msomi Hashimu Rungwe Sipunda.

Cde Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa pamoja na yote linaigharimu dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn ambazo ni zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani Tanzania yetu ikiwemo.

Bila kujali hoja hii imetoka Upinzani au chama rafiki bado ni hoja mtambuka kwa Ustawi wa Taifa letu na Watanzania wa leo na kesho kwenye hili nampa Kafulila kongole nyingi kwa wivu wake mkubwa juu ya maisha ya Watanzania hasa watoto wanaotoka kwenye familia duni.

View attachment 3185256
Mpaka njaa inauma ghafla
 
View attachment 3179311
View attachment 3179318
===
Hatimaye sera za mzee Hashimu Rungwe Sipunda wa chama cha CHAUMA zaanza kupata utetezi wa kisayansi polepole baada ya miaka kumi kupita ( 10 )

Leo tutamuangazia Mkurugenzi Mkuu wa kituo Ubia nchini PPPC Bw David KAFULILA katika moja ya tweete zake huko tweeter X.

Mkurugenzi Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano wa kuchukua sera nzuri ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 toka Chama Cha Ukombozi wa Umma Wakili Msomi Hashimu Rungwe Sipunda.

Cde Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa pamoja na yote linaigharimu dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn ambazo ni zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani Tanzania yetu ikiwemo.

Bila kujali hoja hii imetoka Upinzani au chama rafiki bado ni hoja mtambuka kwa Ustawi wa Taifa letu na Watanzania wa leo na kesho kwenye hili nampa Kafulila kongole nyingi kwa wivu wake mkubwa juu ya maisha ya Watanzania hasa watoto wanaotoka kwenye familia duni.

View attachment 3185256
Ubwabwa mwingi Nyama nyingi lakini mboga za majani hakuna !!!😳
Tumuulize Prof Janabi je hiyo ni sawa ??!
 
Watoto wa zamani walikuwa wakipewa vyakula huko mashuleni ndio maana wakaweza kuwa na Akili mingi na ujasiri wa kuweza kudai Uhuru na kisha kuziongoza Nchi zao baada ya kupata Uhuru. !

Hivi sasa je ???! Vijana wapoje ??!
Wazee ndio wanatawala Nchi nyingi Afrika !
Vijana wengi wapo kwenye Ubaya Ubwela na kutumwa kwenda Kuwadhalilisha wale wanaowatetea 😳🙄!

Salaaleee kweli ukistaajabu ya Mzee Spunda utayaona ya malnutrition !
 
Nadhani Kuna kitu unatakiwa kukifahamu vizuri,

Kwanza, Ufahamu kuwa Dira ni msingi hivyo hata kama Leo uji upo lakini je ni sera ya Taifa au ni mawazo ya mtu mmoja,

Tunachokihitaji jambo hili jema liwe kama Sheria kwa yeyote atakayeongoza Taifa hili,

Leo Serikali ya CCM inatoa Elimu Bora Bure Sasa kwanini usione nia njema ya Kodi zako unazolipa?
Nakuelewa vizuri
 
View attachment 3179311
View attachment 3179318
===
Hatimaye sera za mzee Hashimu Rungwe Sipunda wa chama cha CHAUMA zaanza kupata utetezi wa kisayansi polepole baada ya miaka kumi kupita ( 10 )

Leo tutamuangazia Mkurugenzi Mkuu wa kituo Ubia nchini PPPC Bw David KAFULILA katika moja ya tweete zake huko tweeter X.

Mkurugenzi Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano wa kuchukua sera nzuri ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 toka Chama Cha Ukombozi wa Umma Wakili Msomi Hashimu Rungwe Sipunda.

Cde Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa pamoja na yote linaigharimu dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn ambazo ni zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani Tanzania yetu ikiwemo.

Bila kujali hoja hii imetoka Upinzani au chama rafiki bado ni hoja mtambuka kwa Ustawi wa Taifa letu na Watanzania wa leo na kesho kwenye hili nampa Kafulila kongole nyingi kwa wivu wake mkubwa juu ya maisha ya Watanzania hasa watoto wanaotoka kwenye familia duni.

View attachment 3185256
Hii naomba tuiingize Kwenye Ilani ya CCM
 
View attachment 3179311
View attachment 3179318
===
Hatimaye sera za mzee Hashimu Rungwe Sipunda wa chama cha CHAUMA zaanza kupata utetezi wa kisayansi polepole baada ya miaka kumi kupita ( 10 )

Leo tutamuangazia Mkurugenzi Mkuu wa kituo Ubia nchini PPPC Bw David KAFULILA katika moja ya tweete zake huko tweeter X.

Mkurugenzi Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano wa kuchukua sera nzuri ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 toka Chama Cha Ukombozi wa Umma Wakili Msomi Hashimu Rungwe Sipunda.

Cde Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa pamoja na yote linaigharimu dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn ambazo ni zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani Tanzania yetu ikiwemo.

Bila kujali hoja hii imetoka Upinzani au chama rafiki bado ni hoja mtambuka kwa Ustawi wa Taifa letu na Watanzania wa leo na kesho kwenye hili nampa Kafulila kongole nyingi kwa wivu wake mkubwa juu ya maisha ya Watanzania hasa watoto wanaotoka kwenye familia duni.

View attachment 3185256
Ubwabwa uliwe na kila MTU
 
View attachment 3179311
View attachment 3179318
===
Hatimaye sera za mzee Hashimu Rungwe Sipunda wa chama cha CHAUMA zaanza kupata utetezi wa kisayansi polepole baada ya miaka kumi kupita ( 10 )

Leo tutamuangazia Mkurugenzi Mkuu wa kituo Ubia nchini PPPC Bw David KAFULILA katika moja ya tweete zake huko tweeter X.

Mkurugenzi Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano wa kuchukua sera nzuri ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 toka Chama Cha Ukombozi wa Umma Wakili Msomi Hashimu Rungwe Sipunda.

Cde Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa pamoja na yote linaigharimu dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn ambazo ni zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani Tanzania yetu ikiwemo.

Bila kujali hoja hii imetoka Upinzani au chama rafiki bado ni hoja mtambuka kwa Ustawi wa Taifa letu na Watanzania wa leo na kesho kwenye hili nampa Kafulila kongole nyingi kwa wivu wake mkubwa juu ya maisha ya Watanzania hasa watoto wanaotoka kwenye familia duni.

View attachment 3185256
Hili linawezekana
 
Back
Top Bottom