Kafulila: Serikali inakopa T-bills kwa 5% wakati Msumbiji 17%, Kenya 16%, Malawi 16%, Zambia 10%, Namibia 9%, Uganda 9%, SA 8%. Uelekeo wetu ni sahihi

Sio mbaya
Nimeona.
Kwa maelezo haya unamaanisha Mh Kafulila anatudanganya makusudi au hajui hilo. Maana naona hiyo tweet yake imelenga wasomi zaidi sio wale masikini ambao huwa wanaanganywa vijijini wasio na ufahamu.
 
ukiona mtu anajitetea sana jua kuna mahali hapako sawa
viongozi siku hizi wanajieleza mnooo na hawaeleweki
 
Mr Kafulilla tumesha kuambia tangu zamani shida sio kukopa bali je zikopwazo zinakwenda kufanya maendeleo yaliyokusudiwa kwa asilimia ile ile iliyokusudiwa ???? 😳😳

That’s the biggest questions
Suala la Nchi gani inakopa nyingi sisi tunakopa kidogo hiyo sio big issue 🙄😳
 
Mkuu mikopo kama kausha damu ni mbaya kuliko vita vya Kagera. Mamilioni ya watu wamekumbwa na umaslkini wa kupindukia unaofananishwa na Shylock wa Venice aliyetaka kulipwa ratili mmoja ya nyama karibu na moyo wako pindi unaposhindwa kulipa deni.
Hii habari ya Kafulila haina mantiki,kwani hiyo mikopo tokea uhuru tumekopa kwa viwango vya riba tofauti tofauti.
Kuna wakati ilitafutwa pesa ya kukopeshwa kwenye benki za maendeleo kama World Bank,IMF lakini ikashindikana ikabidi kwenda benki za vishoka riba 15%.
 
Sijui kama unafahamu vizuri maana ya T-BONDS,

NIMEHISI KUNA KITU HUJUI
 
Kausha damu ni mbaya kwelikweli
 
Ifike wakati sasa haya yafanyike;
1. Kafulila awe Msemaji wa Serikali..au
2. Kafulila hizi data awe anampatia Msemaji wa Serikali ili azitoe..
Kafulila kuendelea kutoa hizo takwimu/taarifa kila kukicha kunaifanya ofisi ya Msemaji wa Serikali kupwaya.
Kafulila yeye sianaandika tu kwenye ukurasa wake?
 
Wazo zuri ila ni wazo la kijinga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…