Kafulila: Serikali inakopa T-bills kwa 5% wakati Msumbiji 17%, Kenya 16%, Malawi 16%, Zambia 10%, Namibia 9%, Uganda 9%, SA 8%. Uelekeo wetu ni sahihi

Kafulila: Serikali inakopa T-bills kwa 5% wakati Msumbiji 17%, Kenya 16%, Malawi 16%, Zambia 10%, Namibia 9%, Uganda 9%, SA 8%. Uelekeo wetu ni sahihi

View attachment 3016052
CEO wa PPP Bwana David Kafulila katika Ukurasa wake wa tweeter ( X ) ameisifu Serikali ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa ndio nchi pekee inayokopa ndani kwa riba ndogo kuliko nchi nyingi za Africa.

Kafulila anasema Wakati Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inakopa T-bills kwa asilimia 5 lakini wenzetu uchumi wao ndani ni hoi ndio sababu Riba zao kwenye T-bills ziko juu mafano Msumbiji ni asilimia 17 Kenya ni asilimia 16, Malawi ni Asilimia 16, Zambia ni Asilimia 10,Namibia ni asilimia 9,Uganda ni asilimia 9 na Africa ya kusini ni asilimia 8 hiki ni kielelezo Cha uimara wa Uchumi wetu ndani katika ukanda wa Africa.

Wakati mnaendelea kumtukana msisahau pia kuwaambia hao Wananchi kuwa ni yeye pekee ndio aliyejenga unafuu wa maisha kwa watu wake katika ukanda mzima wa Africa na baadhi ya ushahidi ni hizo taarifa za David Kafulila huko tweeter ( X )

View attachment 3016048
Safi sana kijana
 
Ila lazima tukope kwa Malengo madhubuti
Wasiwasi wangu ni marejesho… hapo ndipo ilipo shughuli…sitaki tutape fedheha huko mbele ya safari tukisuasua kuilipa Kama siku za nyuma ilivyokuwa hadi Paris club ikatusamehe baadhi ya madeni miaka ile ya 1998-2000 ( Kama unakumbuka vizuru) hawa ngozi nyeupe naishi nao, nafanya kazi nao day in day out, wakikupa mkopo huwa ni mtego wa kuku-control… siku ukianza kulipa ndio utajua small prints zote za mkataba…
Mwisho - sisi Kama nchi tunakopa sana…hawa wenzetu huwezi sikia wanakopa kujenga Barbara maana barabara zao zinapitika siku 365 bila kujali hali ya hewa, suala la maji safi na salama- wamemalizana nalo pia, Kwa kweli na sisi tumalizane na baadhi ya mambo Kama Chakula, maji safi na salama, kipindu pindu, barabara, etc

Tuna vyanzo na rasimali za kutosha kutufanya sisi kuendelea bila mikopo ya masharti nafuu ya kulipwa baada ya mpaka 40…
Tuwe na research centres zetu kwenye Kila Nyanja zitakazo toa majibu ya nini kifanyike Katia mambo yote tunanayo hitaji Kama taifa…
Na tukiweza Hivyo ndio tunaweza toboa Kama akina South Korea, china, ulaya na America.

Kwa sasa bado Tupo kwenye trial and errors ktk Kila kitu … hakuna hata jambo moja tunaloweza jivunia isipokuwa ,” tunakopesheka”…
 
Serikali inayojivunia kukopa (haijalishi hata kama ni kwa riba nafuu) badala ya kujivunia ubunifu wa kuongeza/kukuza mapato kupitia hivyo hivyo vyanzo viliopo..... hiyo ni serikali mufilisi inayoongozwa na watu wasiokuwa na maarifa na wapenda shortcuts kwenye kila jambo
 
mbona mnamtetea sana huyo mtu ila hali halisi inajionyesha mtaani halafu tuna uhakika gani kama 5% kweli au ndio zile habari za kuambizana tuko uchumi wa kati.....

ukiona mtu anatetewa sana kuna mawili uwezo mdogo au watetezi wana kafungu kao
Sijui kwa nini wasiache hali halisi imtetee yenyewe, maana haya maneno yao yanapotea kama upepo.
 
mbona mnamtetea sana huyo mtu ila hali halisi inajionyesha mtaani halafu tuna uhakika gani kama 5% kweli au ndio zile habari za kuambizana tuko uchumi wa kati.....

ukiona mtu anatetewa sana kuna mawili uwezo mdogo au watetezi wana kafungu kao
huyu naye wamkumbukr tu aache kujiabisha
 
Mnajua kabisa wananchi hawataki mikopo. Endeleeni kushupaza mafuvu yenu yasiyo na brain.
 
View attachment 3016052
CEO wa PPP Bwana David Kafulila katika Ukurasa wake wa tweeter ( X ) ameisifu Serikali ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa ndio nchi pekee inayokopa ndani kwa riba ndogo kuliko nchi nyingi za Africa.

Kafulila anasema Wakati Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inakopa T-bills kwa asilimia 5 lakini wenzetu uchumi wao ndani ni hoi ndio sababu Riba zao kwenye T-bills ziko juu mafano Msumbiji ni asilimia 17 Kenya ni asilimia 16, Malawi ni Asilimia 16, Zambia ni Asilimia 10,Namibia ni asilimia 9,Uganda ni asilimia 9 na Africa ya kusini ni asilimia 8 hiki ni kielelezo Cha uimara wa Uchumi wetu ndani katika ukanda wa Africa.

Wakati mnaendelea kumtukana msisahau pia kuwaambia hao Wananchi kuwa ni yeye pekee ndio aliyejenga unafuu wa maisha kwa watu wake katika ukanda mzima wa Africa na baadhi ya ushahidi ni hizo taarifa za David Kafulila huko tweeter ( X )

View attachment 3016048
Dah asali ni hatari sana wakuu, Kafulila huyu huyu yuko praise team sasaivi 😂😂. Siasa shikamoo..
 
Mzee naona kazi uliyopewa ya kuutetea uchumi na kubariki mikopo inakaribia kukushinda, ni suala.la.muda.
 
View attachment 3016052
CEO wa PPP Bwana David Kafulila katika Ukurasa wake wa tweeter ( X ) ameisifu Serikali ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa ndio nchi pekee inayokopa ndani kwa riba ndogo kuliko nchi nyingi za Africa.

Kafulila anasema Wakati Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inakopa T-bills kwa asilimia 5 lakini wenzetu uchumi wao ndani ni hoi ndio sababu Riba zao kwenye T-bills ziko juu mafano Msumbiji ni asilimia 17 Kenya ni asilimia 16, Malawi ni Asilimia 16, Zambia ni Asilimia 10,Namibia ni asilimia 9,Uganda ni asilimia 9 na Africa ya kusini ni asilimia 8 hiki ni kielelezo Cha uimara wa Uchumi wetu ndani katika ukanda wa Africa.

Wakati mnaendelea kumtukana msisahau pia kuwaambia hao Wananchi kuwa ni yeye pekee ndio aliyejenga unafuu wa maisha kwa watu wake katika ukanda mzima wa Africa na baadhi ya ushahidi ni hizo taarifa za David Kafulila huko tweeter ( X )

View attachment 3016048
Huwa nafurahi sana kuona takwimu kwenye mijadala
 
Back
Top Bottom