Kafulila: Serikali inakopa T-bills kwa 5% wakati Msumbiji 17%, Kenya 16%, Malawi 16%, Zambia 10%, Namibia 9%, Uganda 9%, SA 8%. Uelekeo wetu ni sahihi

Kafulila: Serikali inakopa T-bills kwa 5% wakati Msumbiji 17%, Kenya 16%, Malawi 16%, Zambia 10%, Namibia 9%, Uganda 9%, SA 8%. Uelekeo wetu ni sahihi

Wasiwasi wangu ni marejesho… hapo ndipo ilipo shughuli…sitaki tutape fedheha huko mbele ya safari tukisuasua kuilipa Kama siku za nyuma ilivyokuwa hadi Paris club ikatusamehe baadhi ya madeni miaka ile ya 1998-2000 ( Kama unakumbuka vizuru) hawa ngozi nyeupe naishi nao, nafanya kazi nao day in day out, wakikupa mkopo huwa ni mtego wa kuku-control… siku ukianza kulipa ndio utajua small prints zote za mkataba…
Mwisho - sisi Kama nchi tunakopa sana…hawa wenzetu huwezi sikia wanakopa kujenga Barbara maana barabara zao zinapitika siku 365 bila kujali hali ya hewa, suala la maji safi na salama- wamemalizana nalo pia, Kwa kweli na sisi tumalizane na baadhi ya mambo Kama Chakula, maji safi na salama, kipindu pindu, barabara, etc

Tuna vyanzo na rasimali za kutosha kutufanya sisi kuendelea bila mikopo ya masharti nafuu ya kulipwa baada ya mpaka 40…
Tuwe na research centres zetu kwenye Kila Nyanja zitakazo toa majibu ya nini kifanyike Katia mambo yote tunanayo hitaji Kama taifa…
Na tukiweza Hivyo ndio tunaweza toboa Kama akina South Korea, china, ulaya na America.

Kwa sasa bado Tupo kwenye trial and errors ktk Kila kitu … hakuna hata jambo moja tunaloweza jivunia isipokuwa ,” tunakopesheka”…
SGR, SG mambo ni mazuri sana
 
View attachment 3016052
CEO wa PPP Bwana David Kafulila katika Ukurasa wake wa tweeter ( X ) ameisifu Serikali ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa ndio nchi pekee inayokopa ndani kwa riba ndogo kuliko nchi nyingi za Africa.

Kafulila anasema Wakati Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inakopa T-bills kwa asilimia 5 lakini wenzetu uchumi wao ndani ni hoi ndio sababu Riba zao kwenye T-bills ziko juu mafano Msumbiji ni asilimia 17 Kenya ni asilimia 16, Malawi ni Asilimia 16, Zambia ni Asilimia 10,Namibia ni asilimia 9,Uganda ni asilimia 9 na Africa ya kusini ni asilimia 8 hiki ni kielelezo Cha uimara wa Uchumi wetu ndani katika ukanda wa Africa.

Wakati mnaendelea kumtukana msisahau pia kuwaambia hao Wananchi kuwa ni yeye pekee ndio aliyejenga unafuu wa maisha kwa watu wake katika ukanda mzima wa Africa na baadhi ya ushahidi ni hizo taarifa za David Kafulila huko tweeter ( X )

View attachment 3016048
Unalinganishaje Kenya na tz ,wakati uchumi Kenya wametuzidi , huyu kafulila mjinga sana
 
View attachment 3016052
CEO wa PPP Bwana David Kafulila katika Ukurasa wake wa tweeter ( X ) ameisifu Serikali ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa ndio nchi pekee inayokopa ndani kwa riba ndogo kuliko nchi nyingi za Africa.

Kafulila anasema Wakati Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inakopa T-bills kwa asilimia 5 lakini wenzetu uchumi wao ndani ni hoi ndio sababu Riba zao kwenye T-bills ziko juu mafano Msumbiji ni asilimia 17 Kenya ni asilimia 16, Malawi ni Asilimia 16, Zambia ni Asilimia 10,Namibia ni asilimia 9,Uganda ni asilimia 9 na Africa ya kusini ni asilimia 8 hiki ni kielelezo Cha uimara wa Uchumi wetu ndani katika ukanda wa Africa.

Wakati mnaendelea kumtukana msisahau pia kuwaambia hao Wananchi kuwa ni yeye pekee ndio aliyejenga unafuu wa maisha kwa watu wake katika ukanda mzima wa Africa na baadhi ya ushahidi ni hizo taarifa za David Kafulila huko tweeter ( X )

View attachment 3016048
Huyu mwamba siku hz tangu apewe ulaji, anaimba kama shangingi/danga anasifia pipe ya bwana, "anayemlipa mpiga zumari, ndie huchagua wimbo" Ataimba Sana nyimbo za CCM,
 
Huyu mwamba siku hz tangu apewe ulaji, anaimba kama shangingi/danga anasifia pipe ya bwana, "anayemlipa mpiga zumari, ndie huchagua wimbo" Ataimba Sana nyimbo za CCM,
Mheshimiwa David Kafulila ni mtu msema kweli na anayezungumza kwa hoja na ushahidi.ndio maana hata wewe umeshindwa kupinga hoja zake na kuishia kupiga porojo tu hapa
 
mbona mnamtetea sana huyo mtu ila hali halisi inajionyesha mtaani halafu tuna uhakika gani kama 5% kweli au ndio zile habari za kuambizana tuko uchumi wa kati.....

ukiona mtu anatetewa sana kuna mawili uwezo mdogo au watetezi wana kafungu kao
Ugali ndugu yangu. Kwa sasa Tanzania asilimia kubwa ya watu ni machawa tu. Wamejitoa ufahamu. Tumbili pia anatafuta ugali wa watoto. Lazima asifie sana na ikiwezekana apate hata cheo zaid. Unaona Yule Prof wa masturbation kwa sasa ni wazir wa uchumi lakin hajui chochote kuhusu uchumi. Ila alisifia bandari.
 
View attachment 3016052
CEO wa PPP Bwana David Kafulila katika Ukurasa wake wa tweeter ( X ) ameisifu Serikali ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa ndio nchi pekee inayokopa ndani kwa riba ndogo kuliko nchi nyingi za Africa.

Kafulila anasema Wakati Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inakopa T-bills kwa asilimia 5 lakini wenzetu uchumi wao ndani ni hoi ndio sababu Riba zao kwenye T-bills ziko juu mafano Msumbiji ni asilimia 17 Kenya ni asilimia 16, Malawi ni Asilimia 16, Zambia ni Asilimia 10,Namibia ni asilimia 9,Uganda ni asilimia 9 na Africa ya kusini ni asilimia 8 hiki ni kielelezo Cha uimara wa Uchumi wetu ndani katika ukanda wa Africa.

Wakati mnaendelea kumtukana msisahau pia kuwaambia hao Wananchi kuwa ni yeye pekee ndio aliyejenga unafuu wa maisha kwa watu wake katika ukanda mzima wa Africa na baadhi ya ushahidi ni hizo taarifa za David Kafulila huko tweeter ( X )

View attachment 3016048
NMB nawapenda sana
 
View attachment 3016052
CEO wa PPP Bwana David Kafulila katika Ukurasa wake wa tweeter ( X ) ameisifu Serikali ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa ndio nchi pekee inayokopa ndani kwa riba ndogo kuliko nchi nyingi za Africa.

Kafulila anasema Wakati Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inakopa T-bills kwa asilimia 5 lakini wenzetu uchumi wao ndani ni hoi ndio sababu Riba zao kwenye T-bills ziko juu mafano Msumbiji ni asilimia 17 Kenya ni asilimia 16, Malawi ni Asilimia 16, Zambia ni Asilimia 10,Namibia ni asilimia 9,Uganda ni asilimia 9 na Africa ya kusini ni asilimia 8 hiki ni kielelezo Cha uimara wa Uchumi wetu ndani katika ukanda wa Africa.

Wakati mnaendelea kumtukana msisahau pia kuwaambia hao Wananchi kuwa ni yeye pekee ndio aliyejenga unafuu wa maisha kwa watu wake katika ukanda mzima wa Africa na baadhi ya ushahidi ni hizo taarifa za David Kafulila huko tweeter ( X )

View attachment 3016048
Nzuri sana hii hata hivyo
 
Huyu jamaa km ndo anakua mshauri wa rais mnaweza jikuta mmekopa na kuweka rehan kila kitu.Hivi kukopa ni sifa sijawahi mwelewa huyu tumbili.
Pepo wa madeni amemtawala inabidi tumuombee. Alipokuwa Upinzani alikuwa anaongea mambo ya maana, Sasa hv anashauri nchi iwekwe rehani. Lakini nahisi bado anataka nafasi kubwa zaidi. Acha apige debe. Kinachonishangaza eti anafananisha mikopo kwamba hatujakopa vya kutosha tuongeze tena. Anamdanganya mama yetu.
 
mbona mnamtetea sana huyo mtu ila hali halisi inajionyesha mtaani halafu tuna uhakika gani kama 5% kweli au ndio zile habari za kuambizana tuko uchumi wa kati.....

ukiona mtu anatetewa sana kuna mawili uwezo mdogo au watetezi wana kafungu kao
Porojo proMax
 
View attachment 3016052
CEO wa PPP Bwana David Kafulila katika Ukurasa wake wa tweeter ( X ) ameisifu Serikali ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa ndio nchi pekee inayokopa ndani kwa riba ndogo kuliko nchi nyingi za Africa.

Kafulila anasema Wakati Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inakopa T-bills kwa asilimia 5 lakini wenzetu uchumi wao ndani ni hoi ndio sababu Riba zao kwenye T-bills ziko juu mafano Msumbiji ni asilimia 17 Kenya ni asilimia 16, Malawi ni Asilimia 16, Zambia ni Asilimia 10,Namibia ni asilimia 9,Uganda ni asilimia 9 na Africa ya kusini ni asilimia 8 hiki ni kielelezo Cha uimara wa Uchumi wetu ndani katika ukanda wa Africa.

Wakati mnaendelea kumtukana msisahau pia kuwaambia hao Wananchi kuwa ni yeye pekee ndio aliyejenga unafuu wa maisha kwa watu wake katika ukanda mzima wa Africa na baadhi ya ushahidi ni hizo taarifa za David Kafulila huko tweeter ( X )

View attachment 3016048
Hatutaki figures za kwenye karatasi tunataka kujua je watanzania wangapi wana uwezo wa kula milo mitatu kama zamani?wangapi wanauwezo wa kupata matibabu bila shida nk.Baada ya hapo substantiate na hizo treasury bills zenu
 
View attachment 3016052
CEO wa PPP Bwana David Kafulila katika Ukurasa wake wa tweeter ( X ) ameisifu Serikali ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa ndio nchi pekee inayokopa ndani kwa riba ndogo kuliko nchi nyingi za Africa.

Kafulila anasema Wakati Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inakopa T-bills kwa asilimia 5 lakini wenzetu uchumi wao ndani ni hoi ndio sababu Riba zao kwenye T-bills ziko juu mafano Msumbiji ni asilimia 17 Kenya ni asilimia 16, Malawi ni Asilimia 16, Zambia ni Asilimia 10,Namibia ni asilimia 9,Uganda ni asilimia 9 na Africa ya kusini ni asilimia 8 hiki ni kielelezo Cha uimara wa Uchumi wetu ndani katika ukanda wa Africa.

Wakati mnaendelea kumtukana msisahau pia kuwaambia hao Wananchi kuwa ni yeye pekee ndio aliyejenga unafuu wa maisha kwa watu wake katika ukanda mzima wa Africa na baadhi ya ushahidi ni hizo taarifa za David Kafulila huko tweeter ( X )

View attachment 3016048
Siyo kila linganisho la "economic figure or indicator" hutupa tafsiri ya kuwa tupo vizuri kulinganisha na nchi nyingine. Ni vyema tafsiri pana ikawekwa nyuma ya hizi "relative numbers" ili watu wapate ufahamu wa kutosha.

Tukinukuu taarifa kutoka repoti ya IMF'

"The 364 days T-bill yields have improved to reach 7.2% as recorded on the auction conducted in mid-January 2024.. But unlike other T-bills, it has been transacted in all the past 23 auctions and with it being oversubscribed in most of the auctions"

Hapo ndipo Kafulila alipaswa kuijazia nyama hoja yake. Mlinganisho tu wa namba hautoshi kutupa mantiki ya kutosha. Bali ni tafsiri iliyopo nyuma ya namba ziliizotolewa, na kitu kilichopelekea kufikia kwa namba hizo ndicho hasa kitu muhimu katika mjadala.

Ukubwa wa pua si wingi wa kamasi. Si kila kitu ni siasa, kwa kusifu na kuabudu ili kumpendezesha mkulu.
 
Siyo kila linganisho la "economic figure or indicator" hutupa tafsiri ya kuwa tupo vizuri kulinganisha na nchi nyingine. Ni vyema tafsiri pana ikawekwa nyuma ya hizi "relative numbers" ili watu wapate ufahamu wa kutosha.

Tukinukuu taarifa kutoka repoti ya IMF'

"The 364 days T-bill yields have improved to reach 7.2% as recorded on the auction conducted in mid-January 2024.. But unlike other T-bills, it has been transacted in all the past 23 auctions and with it being oversubscribed in most of the auctions"

Hapo ndipo Kafulila alipaswa kuijazia nyama hoja yake. Mlinganisho tu wa namba hautoshi kutupa mantiki ya kutosha. Bali ni tafsiri iliyopo nyuma ya namba ziliizotolewa, na kupelekea kufikia namba hizo ndicho kitu muhimu.

Ukubwa wa pua si wingi wq kamasi. Si kila kitu ni siasa, kwa kusifu na kuabudu ili kumpendezesha mkulu.
Siasa = Si hasa !
 
Back
Top Bottom