Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,770
- 5,423
Tatizo hamjui tatizo liko wapi hadi TEMESA kushindwa!Naona Kafulila sasa ameamua
---
Baada ya kusuasua kiuendeshaji, hatimaye Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (Temesa), imetangaza kubadili mfumo
Mwananchi
Hata Serikali yenyewe ikijua Sasa Kuna private hawawezi kukopaTatizo hamjui tatizo liko wapi hadi TEMESA kushindwa!
Ni kwamba Serikali hailipi madeni kwa Wakati na hivyo kufanya uendeshaji kuwa mgumu!
Biashara kichaa hiyo ya kwenda kuikopesha Serikali na wewe kubaki unadai mpaka unafilisika.
Ngoja wawekezaji wa kukopesha na kuidai Serikali kwa miaka dahari waje!
Huyu mwenye Jina alilopewa na Jaji Werema mule Bungeni, ni kama amezidi kwa Kiherehere cha kutetea na kupromote Ubinafsishaji bila kujali kama una manufaa kwetu. Au anapatapo % through back kicks? Imekuwa too much utadhania yeye ndiye mwenye Nafasi ya Pro Kitila au Dr Mwingulu ( the true son of Tanzania).Kafulila awe rais wetu
Sina uhakika. Kwani yeye ni Mrundi?Dhima ya Kafulila ni njema ila Watanzania bado sana
Kwa hiyo Jaji Werema ubatizo wake aliopmpatia huyu Bwana mdogo ulishapata baraka zote za duniani na mbinguni ?We ulisikia wapi TUMBILI anakuwa Rais??🤣🤣🤣😅😅 mmmmmma nyangaaa gweee🤣😅🤣😅
Huyu mnyama ana agenda ya Siri , hii promo yote hata magazetini siyo ya bure. Ana jambo lake.Nadhani hii ni nzuri kwani siku hizi dunia Iko kinganjani
Utaratibu ukoje ili na sisi wa ndani wadogo tuje kushiriki ? Badala ya kutuletea promo zake humu tu, angekuwa anaweka bayana utaratibu na vigezo husika ili wengi wetu wa ndani tuone kama tunaweza kushiriki. Isije kuwa kama ile DP na Bandari zetu, taarifa kuja kuvuja kumbe Mikataba ilishasainiwa kule kwa Wajomba, na bila haya hata Bunge letu linaletewa kubariki jambo ambalo mchakato wake haukufuata sheria wala taratibu za manunuzi ya umma. Hapo Bunge lilionyesha udhaifu mkubwa sana. Na tunawasubilia huku majimboni waje watuelezee ilikuwaje, hasa wale kama akina King walioenda hata Dubai na kupewa Bakshishi eti ni posho za safari kwenda kuona Ofisi za DP. Ni jina tu lilibadirika ikaitwa posho ya safari but was more than that in nature and sizeKutokana na mabadiliko hayo, Temesa imewaita wawekezaji wa sekta binafsi kutoka ndani na nje ya nchi🥺🥺🤔🙇🏿♂
Mbona Hiki chama siku nyingi kilishabinafsishwa kwa Wafanya Biashara , na kukitoa mikononi mwa waliokuwa wenye nacho. Sisi wakulima na wafanyakazi ambao tuliporwa Chama Chetu tunahitaji kirudishwe mikononi mwetu kwa wenye nacho. La sivyo hata hizo nembo zetu waziondoe kwenye Bendera yake.Akipatikana wa kubinafsisha CCM itakuwa poa
Naam kaka jina la TUMBILI limemkubali kama kotiKwa hiyo Jaji Werema ubatizo wake aliopmpatia huyu Bwana mdogo ulishapata baraka zote za duniani na mbinguni ?
Wanalipwa na NCHI JIRANI yenye wadada warembo, kila uzi hapa hata ukidumu siku tatu au week mhusika anakula Dola 700Huyu mnyama ana agenda ya Siri , hii promo yote hata magazetini siyo ya bure. Ana jambo lake.
Naam itakuwa POA sana tuwauzie WAARABU wa Ngorongoro kama kifungashioAkipatikana wa kubinafsisha ikulu, bunge na polisi, itakuwa vizuri zaidi. Ni fursa kubwa
Umemaliza kila kitu, manake hata huo ubia ni yale yale.Akipatikana wa kubinafsisha ikulu, bunge na polisi, itakuwa vizuri zaidi. Ni fursa kubwa
Sasa Kivuko mnashindwa kuendesha ni kitu gani wanakiweza kwa ufasaha?Naona Kafulila sasa ameamua
---
Baada ya kusuasua kiuendeshaji, hatimaye Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (Temesa), imetangaza kubadili mfumo wa utekelezaji wa majukumu yake, kwa kushirikiana na sekta ya umma na binafsi kupitia ubia (PPP).
Kutokana na mabadiliko hayo, Temesa imewaita wawekezaji wa sekta binafsi kutoka ndani na nje ya nchi kuwasilisha mapendekezo ya ushirikiano huo katika huduma za vivuko, karakana za ufundi magari na ufundi umeme.
Kwa mujibu wa taarifa za Temesa, wakala unakuja na mpango huo ikiwa ni miezi mitatu tangu Mwananchi iliripoti mfululizo wa ripoti maalumu zinazoonyesha wakala huo kulemewa na majukumu, kuathiriwa na mifumo na hata kujikuta ikiangukia katika madeni.
Ripoti hiyo iliyotokana na uchunguzi uliofanywa kwa takriban miezi mitatu, ilionesha Temesa kukiuka mpango wa matengenezo ya vivuko na kudaiwa zaidi ya Sh30 bilioni na wasambazaji wa vipuli kwenye karakana zake za ufundi magari.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo ya ndani ya Temesa, wakala huo umewaalika wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwasilisha mapendekezo yao kwa ajili ya kuwekeza kwenye uendeshaji wa vivuko kupitia mpango wa PPP.
Kamishna wa PPP, David Kafulila akizungumza na Mwananchi leo Jumatano, Septemba 18, 2024 amesema ushirikiano huo unalenga kufanywa katika uendeshaji wa karakana 13 kati ya 30 za wakala huo, sambamba na majukumu mengine kama vivuko na ufundi.
Mwananchi
Uelekeo wa Kafulila ni mzuriNaona Kafulila sasa ameamua
---
Baada ya kusuasua kiuendeshaji, hatimaye Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (Temesa), imetangaza kubadili mfumo wa utekelezaji wa majukumu yake, kwa kushirikiana na sekta ya umma na binafsi kupitia ubia (PPP).
Kutokana na mabadiliko hayo, Temesa imewaita wawekezaji wa sekta binafsi kutoka ndani na nje ya nchi kuwasilisha mapendekezo ya ushirikiano huo katika huduma za vivuko, karakana za ufundi magari na ufundi umeme.
Kwa mujibu wa taarifa za Temesa, wakala unakuja na mpango huo ikiwa ni miezi mitatu tangu Mwananchi iliripoti mfululizo wa ripoti maalumu zinazoonyesha wakala huo kulemewa na majukumu, kuathiriwa na mifumo na hata kujikuta ikiangukia katika madeni.
Ripoti hiyo iliyotokana na uchunguzi uliofanywa kwa takriban miezi mitatu, ilionesha Temesa kukiuka mpango wa matengenezo ya vivuko na kudaiwa zaidi ya Sh30 bilioni na wasambazaji wa vipuli kwenye karakana zake za ufundi magari.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo ya ndani ya Temesa, wakala huo umewaalika wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwasilisha mapendekezo yao kwa ajili ya kuwekeza kwenye uendeshaji wa vivuko kupitia mpango wa PPP.
Kamishna wa PPP, David Kafulila akizungumza na Mwananchi leo Jumatano, Septemba 18, 2024 amesema ushirikiano huo unalenga kufanywa katika uendeshaji wa karakana 13 kati ya 30 za wakala huo, sambamba na majukumu mengine kama vivuko na ufundi.
Mwananchi