Vugu-Vugu
JF-Expert Member
- Feb 24, 2017
- 1,381
- 1,600
Pesa tulizonazo ziko wapi?Hata hiyo ni ya umma.kwa pesa tulizonazo nyingi hakuhitaji kuwa na toll road isipokuwa tuzitumie vizizuri pesa zetu kupanua barabara ili kuondoa msongamono.hizi toll road iwe kipaumbele Cha baadae sana.
Kumbuka Kuna maeneo hayana barabara kabisa,