Kafulila: Tanzania kwa mara ya kwanza tunajenga barabara za kisiasa za kulipia 150km kutoka Kibaha Pwani-Morogoro bila Fedha ya Serikali

Hata hiyo ni ya umma.kwa pesa tulizonazo nyingi hakuhitaji kuwa na toll road isipokuwa tuzitumie vizizuri pesa zetu kupanua barabara ili kuondoa msongamono.hizi toll road iwe kipaumbele Cha baadae sana.
Pesa tulizonazo ziko wapi?

Kumbuka Kuna maeneo hayana barabara kabisa,
 
Hapa mnabaraka zangu Moja kwa moja
 
Pas
Paso zisiruhusiwe zitasababisha ajali.
 
Dunia imekuacha wewe.
Huu ndio mfumo wa nchi za wenzetu duniani
 
Nchi imekuwa kama tambara la deki..hivi huyu anajua nini kuhusu PPP, wapi alipractise hayo anayoyasema au PPP ya mdomoni..huwezi ukataka kuanza mradi wa PPP mahali ambapo jambo hili ni jipya kwa mradi wa mamilioni ya pesa kama huu, ana uhakika gani uwekezaji utalipa..au ni vile wao watakuwa wameshachukua chao...ndio shida ya vyeo vya kupewa, huyu hana uzoefu wowote kwenye mambo ya financing, shule yenyewe ya kuunga unga..
 
Hata hiyo ni ya umma.kwa pesa tulizonazo nyingi hakuhitaji kuwa na toll road isipokuwa tuzitumie vizizuri pesa zetu kupanua barabara ili kuondoa msongamono.hizi toll road iwe kipaumbele Cha baadae sana.
Nchi ya mabwege hii, yaani kafulila ndio wa kushauri nchi mambo ya miradi???
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…