saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 624
- 1,456
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila ameeleza bayana kuwa tatizo la kukatika kwa umeme kwa Mkoa wa Simiyu kumesababisha mwekezaji wa Kiwanda cha nguo kinachotumia malighafi ya pamba kushindwa kuwekeza katika Mkoa huo.
Mkuu wa Mkoa alikuwa akitoa maelezo hayo kwa Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliyekuwa kwenye ziara Mkoa wa Simiyu
“Ambition ya kuwa na Kiwanda cha Textile imekuwepo kwa muda lakini bado tunakuja pale pale ishu issue ya umeme kwamba tukipata umeme wa uhakika hakuna ambaye atasita kujenga kiwanda cha nguo hapa”
Mkuu wa Mkoa alikuwa akitoa maelezo hayo kwa Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliyekuwa kwenye ziara Mkoa wa Simiyu
“Ambition ya kuwa na Kiwanda cha Textile imekuwepo kwa muda lakini bado tunakuja pale pale ishu issue ya umeme kwamba tukipata umeme wa uhakika hakuna ambaye atasita kujenga kiwanda cha nguo hapa”