Kafulila: Tatizo la kukatika umeme limemkimbiza mwekezaji wa kiwanda cha nguo Simiyu

Kafulila: Tatizo la kukatika umeme limemkimbiza mwekezaji wa kiwanda cha nguo Simiyu

Tulidhani habari ya Katiba Mpya ilishaanza, kumbe zilikuwa ndoto!

Sasa sijui ni nani atakaye ongoza waTanzania kuidai na kuipata hii katiba mpya, maanake tuliodhani wapo, kumbe wametekwa!

Ni shiiida sana nchi yetu hii. Hakuna unayeweza kumwamini na kumtegemea kuwa atafanya kweli.
Warioba hajatekwa, Mimi ni huru, wewe je?

Mimi na wewe na Kila MTANZANIA anao wajibu kuidai KATIBA mpya.

Changamoto ni budget imepita bila pesa kutengwa Kwa jambo Hilo.

Tunaendelea kudai Judge Warioba arudishwe Kwa Tume na aape, pesa tunazo wananchi, tutachangia.
 
Warioba hajatekwa, Mimi ni huru, wewe je?

Mimi na wewe na Kila MTANZANIA anao wajibu kuidai KATIBA mpya.

Changamoto ni budget imepita bila pesa kutengwa Kwa jambo Hilo.

Tunaendelea kudai Judge Warioba arudishwe Kwa Tume na aape, pesa tunazo wananchi, tutachangia.
Warioba alishamaliza kazi yake.
WaTanzania, mimi na wewe tunaoitaka hiyo katiba hatuwezi kufanya lolote bila ya usimamizi wa viongozi wanaotambulika kisiasa na taasisi zilizopo.

Viongozi wa kisiasa tuliwategemea CHADEMA watuongoze tujipange kwa umoja wetu ili katiba Mpya ipatikane.
Haieleweki CHADEMA wameyeyukia wapi baada ya "mazungumzo ya maafikiano". Hilo ndilo ninalolisemea hapa kama hukunielewa vizuri uliponi'quote' hapo juu.
 
Warioba alishamaliza kazi yake.
WaTanzania, mimi na wewe tunaoitaka hiyo katiba hatuwezi kufanya lolote bila ya usimamizi wa viongozi wanaotambulika kisiasa na taasisi zilizopo.

Viongozi wa kisiasa tuliwategemea CHADEMA watuongoze tujipange kwa umoja wetu ili katiba Mpya ipatikane.
Haieleweki CHADEMA wameyeyukia wapi baada ya "mazungumzo ya maafikiano". Hilo ndilo ninalolisemea hapa kama hukunielewa vizuri uliponi'quote' hapo juu.
Ndugu, unaamini CDM Ikitokea wakaingia mitini madai ya KATIBA mpya yatafifia?

Ni Kweli CDM wamepoa bt juhudi za ndani ya jukwaa na makundi mengine yanaendeleza jitihada hizo.

Tusichoke, tusikate tamaa.

Ameeen
 
Kumbe Kafulila alimgusa "mtoto wa mama" akaondolewa, mtoto yuko busy anafanya biashara ya mitungi ya gesi huko vijijini.
 
Ndugu, unaamini CDM Ikitokea wakaingia mitini madai ya KATIBA mpya yatafifia?

Ni Kweli CDM wamepoa bt juhudi za ndani ya jukwaa na makundi mengine yanaendeleza jitihada hizo.

Tusichoke, tusikate tamaa.

Ameeen
Hapana, sidhani hivyo, ila kujiweka pembeni kwa CHADEMA wakati huu kutazidi kuchelewesha matokeo. Itatuchukua muda mrefu kidogo kujipanga upya na kuweka msukumo unaowalazimisha CCM kusalimu amri kwetu.

Tutakuwa tumepoteza nyenzo muhimu.
 
Changamoto ni budget imepita bila pesa kutengwa Kwa jambo Hilo.
Mkuu 'Rabbon', nilipojibu hapo juu, mstari huu nilikuwa sijaupa uzito unaostahili kupewa.

Mbona hii inatisha zaidi?

Kwa hiyo sasa kama kuna matumaini ya kuwa na Katiba Mpya, ni hapo 2023/24 ndipo kazi hii itapangiwa fungu?

Muda uko wapi wa kumaliza kazi kabla ya 2025?

Na CHADEMA hili wanalifahamu?
 
Hapana, sidhani hivyo, ila kujiweka pembeni kwa CHADEMA wakati huu kutazidi kuchelewesha matokeo. Itatuchukua muda mrefu kidogo kujipanga upya na kuweka msukumo unaowalazimisha CCM kusalimu amri kwetu.

Tutakuwa tumepoteza nyenzo muhimu.
Naamini maridhiano yatasaidia kuwahisha mkwamo. Tutafanikiwa.
 
Mkuu 'Rabbon', nilipojibu hapo juu, mstari huu nilikuwa sijaupa uzito unaostahili kupewa.

Mbona hii inatisha zaidi?

Kwa hiyo sasa kama kuna matumaini ya kuwa na Katiba Mpya, ni hapo 2023/24 ndipo kazi hii itapangiwa fungu?

Muda uko wapi wa kumaliza kazi kabla ya 2025?

Na CHADEMA hili wanalifahamu?
Nimekuwa nikiandika humu, Kwa spidi ya Kobe tunayoenda nayo ktk suala hili, sioni uchaguzi ukifanyika 2025.

Hakuna chama Cha upinzani kitakachokubali kushiriki uchaguzi huu Kwa KATIBA hii Kwa experience tulioshuhudia 2020.

Juzi ndo Mnyika amestuka na kusema CCM wakiendelea na ZENGWE, hapatafanyika uchaguzi.

Mbinyo ukiongezeka, Pesa Kwa ajili ya Katiba inaweza ingizwa Kwa budget hii kama dharura maana ni kipaumbele.
 
Hakuna chama Cha upinzani kitakachokubali kushiriki uchaguzi huu Kwa KATIBA hii Kwa experience tulioshuhudia 2020.
Huenda hapa umepitiwa tu; lakini vipo vyama vingi sana vinavyojiita vya upinzani vilivyo tayari hata leo uchaguzi ukiitishwa.
ACT wao inatosha kabisa kurekebisha tu sheria inayohusu Tume ya Uchaguzi.

Sijui kama ukimya wa CHADEMA (ukiondoa hayo aliyosema Katibu Mkuu), ni ishara maalum, sijui!
 
Huenda hapa umepitiwa tu; lakini vipo vyama vingi sana vinavyojiita vya upinzani vilivyo tayari hata leo uchaguzi ukiitishwa.
ACT wao inatosha kabisa kurekebisha tu sheria inayohusu Tume ya Uchaguzi.

Sijui kama ukimya wa CHADEMA (ukiondoa hayo aliyosema Katibu Mkuu), ni ishara maalum, sijui!
Kuna TETESI kuwa maridhiano yanayoendelea yanalenga power sharing, kwamba bara wagawane majimbo na upinzani.

Kwamba tuwe kama Zenji, Mfumo huu umefail kule, hatutokubali mambo hayo huku.
 
Kuna TETESI kuwa maridhiano yanayoendelea yanalenga power sharing, kwamba bara wagawane majimbo na upinzani.

Kwamba tuwe kama Zenji, Mfumo huu umefail kule, hatutokubali mambo hayo huku.
Hili nilishaliongelea siku nyingi zilizopita, hasa baada ya Mbowe kujihusisha solo na Samia katika vikao vyao Ikulu.

Binafsi niliweka mpango huo kuwa kama ule ulioko Kenya na siyo huo wa Zanzibar.

Hili lipo sana.
 
Back
Top Bottom