Kafulila: UNDP imetoa orodha ya nchi 54 duniani zilizoelemewa na deni la Taifa. 25 zinatoka Afrika Tanzania haipo, tukope zaidi tujenge Uchumi zaidi

Kafulila umekosea sana. Hii ni sawa na kusema "kwakua nimekua natembea na wanawake/me wengi bila kondom na leo nimepima sina HIV basi niendelee kuwa na wapenzi wengi"

Sio sifa kuingia kwenye kundi lililoelemewa madeni, wala sio sifa kukopa sana. Tujenge uchumi unaojitegemea, unaokopa kidogo zaidi, na unaleta manufaa kwa wananchi wake. Lakini pia Value for Money.

Tumekopa over 21trillion kwa kipindi kifupi lakinj mtaani hali ngumu zaidi kuliko.

Kuna kibonzo cha masoud kipanya cha hela zilizoliwa na panya kinatuambia Mengi.

PIa mgogoro wa CCM na Kanisa Katoliki Kigoma nao unatuambia mengi pia
 
Kafulila ni aina ya wasomi kanjanja waliolewa mvinyo wa uongozi. Kundi hili la wanasiasa wanaamini hakuna maisha nje ya siasa.

Wako tayari kusema lolote ili wapate attention na labda wakumbukwe tena na kupewa madaraka ili waendelee kulamba asali. Ni watu wa hovyo sana na hawafai kwa mustakabali wa Taifa.
 
Wewe unafaa kwa lipi mkuu, Huoni hiki alichoandika Kafulila?
 
Umeongea vizuri sana, sasa kafulila njoo hapa utusaidie mi nataka kukopa crdb interest rate is 15-17% per year wakati hao hao japanese wanapata chini ya 5% per year! Pia Wana gracing period ya maana, njoo kwetu huku uulize grace period! Hebu mnapotoa mifano msitoe kwa namna ya uchawa tuu!
Sure kukopa ni kuzuri kama mnaweza lipa, je mlichokopa ndo kile chote kinaenda kinakotakiwa? Je wananchi wa kawaida unawainuaje na unawalindaje ili nao wapate mikopo kuchangamsha uchumi? So forth!
 
Hivi kafulila mbona ulikuwa kijana mzuri sana, ekuaje, so unahamasisha tukope ili tuemeqe na madeni c ndio
 
Pambana mwanawane fursa haiji kirahis 🤣🤣🤣🤣
 
Kafulila achana na mawazo ya kukopa kopa ndiyo uonekane baba bora kwa Familia yako!!! Siku zinakuja mdeni wako atataka hela zake wakati uko dhofuli Hali, ndiyo lugha zote utazisahau!!! 😭
 
Anahangaikia uteuzi alikuwa hakujiandaa kukaa kijiweni, akajiajiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…