Kafulila: UNDP imetoa orodha ya nchi 54 duniani zilizoelemewa na deni la Taifa. 25 zinatoka Afrika Tanzania haipo, tukope zaidi tujenge Uchumi zaidi

Kafulila: UNDP imetoa orodha ya nchi 54 duniani zilizoelemewa na deni la Taifa. 25 zinatoka Afrika Tanzania haipo, tukope zaidi tujenge Uchumi zaidi

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Zacharia Kafulila kupitia ukurasa wake wa Instagram amewafunda wanaolalamika Kuhusu ukuaji wa deni la Taifa huku akisisitiza tukope zaidi ili tujenge uchumi wetu kwani hata Japan ambayo ni nchi ya tatu Duniani kwa Utajiri bajeti yake 40% ni mikopo tuache maneno maneno Tanzania tuko vizuri,
===
Kafulila anasema, Ripoti ya UNDP Nov2022, imetaja nchi54 zenye hali mbaya ya deni la Taifa Dunian, huku 25 zikitoka Afrika wala Tanzania sio miongoni mwao,

Kafulila anaendelea kwa kusema " Ripoti za Taasisi ya MOODY'S, ambayo ni moja ya taasisi 3 kubwa duniani kwa kupima afya ya uchumi kumudu kulipa deni ( MOODY'S, S&P na Fitch zinamiliki 95% ya biashara hii duniani), Agust 2021 na Oktoba 2022 imeonesha Tanzania bado inafanya vema usimamizi wa deni kutokana kupata mikopo ya muda mrefu na nafuu( concessional loans).

Anaendelea kusisitiza, Tukope kujenga uchumi,Ulaya ilikopa kujenga uchumi baada ya vita ya dunia kwa kusaidiwa na USA( Mashal Plan, ) Bajeti ya Japan ya mwaka 2021, nchi ya 3 kwa ukubwa wa uchumi dunaini, asilimia 40% ni mikopo.

Anasema, "Naam, tukope zaidi kujenga zaidi hasa mikopo ya muda mrefu ambayo uwekezaji miradi hii itaongeza msuli wa uchumi wetu kulipa deni.

Mwaka 2021/22 ndio mwaka deni limeongeka kwa trilioni10(BoT- MER) lakn ndio mwaka uchumi uliongezeka kwa zaidi ya dola bilioni 5.4 kufikia $67.7bn kutoka $62.3bn ambazo ni sawa na nyongeza ya uchumi kwa miaka miwili( 2019/20 na 2020/21),Ndio maana ya kukopa kujenga uchumi.

Marry X-mass & Happy New year
Si jambo la kujivunia na kujilazimisha kukopa hata bila sababu.Kumbuka. Kukopa harusi. Kulipa matanga
 
Kafulila anahaha kusikika akiwa kwenye harakati za kubembeleza uteuzi!! Pole!! Ukisifia halafu usipate uteuzi chondechonde usije ukanuna!!
 
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Zacharia Kafulila kupitia ukurasa wake wa Instagram amewafunda wanaolalamika Kuhusu ukuaji wa deni la Taifa huku akisisitiza tukope zaidi ili tujenge uchumi wetu kwani hata Japan ambayo ni nchi ya tatu Duniani kwa Utajiri bajeti yake 40% ni mikopo tuache maneno maneno Tanzania tuko vizuri,
===
Kafulila anasema, Ripoti ya UNDP Nov2022, imetaja nchi54 zenye hali mbaya ya deni la Taifa Dunian, huku 25 zikitoka Afrika wala Tanzania sio miongoni mwao,

Kafulila anaendelea kwa kusema " Ripoti za Taasisi ya MOODY'S, ambayo ni moja ya taasisi 3 kubwa duniani kwa kupima afya ya uchumi kumudu kulipa deni ( MOODY'S, S&P na Fitch zinamiliki 95% ya biashara hii duniani), Agust 2021 na Oktoba 2022 imeonesha Tanzania bado inafanya vema usimamizi wa deni kutokana kupata mikopo ya muda mrefu na nafuu( concessional loans).

Anaendelea kusisitiza, Tukope kujenga uchumi,Ulaya ilikopa kujenga uchumi baada ya vita ya dunia kwa kusaidiwa na USA( Mashal Plan, ) Bajeti ya Japan ya mwaka 2021, nchi ya 3 kwa ukubwa wa uchumi dunaini, asilimia 40% ni mikopo.

Anasema, "Naam, tukope zaidi kujenga zaidi hasa mikopo ya muda mrefu ambayo uwekezaji miradi hii itaongeza msuli wa uchumi wetu kulipa deni.

Mwaka 2021/22 ndio mwaka deni limeongeka kwa trilioni10(BoT- MER) lakn ndio mwaka uchumi uliongezeka kwa zaidi ya dola bilioni 5.4 kufikia $67.7bn kutoka $62.3bn ambazo ni sawa na nyongeza ya uchumi kwa miaka miwili( 2019/20 na 2020/21),Ndio maana ya kukopa kujenga uchumi.

Marry X-mass & Happy New year
Mimi naona amesoma alama za nyakati,anaenda na upepo
asije akalazimika kusali ile sala ya kitubio
 
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Zacharia Kafulila kupitia ukurasa wake wa Instagram amewafunda wanaolalamika Kuhusu ukuaji wa deni la Taifa huku akisisitiza tukope zaidi ili tujenge uchumi wetu kwani hata Japan ambayo ni nchi ya tatu Duniani kwa Utajiri bajeti yake 40% ni mikopo tuache maneno maneno Tanzania tuko vizuri,
===
Kafulila anasema, Ripoti ya UNDP Nov2022, imetaja nchi54 zenye hali mbaya ya deni la Taifa Dunian, huku 25 zikitoka Afrika wala Tanzania sio miongoni mwao,

Kafulila anaendelea kwa kusema " Ripoti za Taasisi ya MOODY'S, ambayo ni moja ya taasisi 3 kubwa duniani kwa kupima afya ya uchumi kumudu kulipa deni ( MOODY'S, S&P na Fitch zinamiliki 95% ya biashara hii duniani), Agust 2021 na Oktoba 2022 imeonesha Tanzania bado inafanya vema usimamizi wa deni kutokana kupata mikopo ya muda mrefu na nafuu( concessional loans).

Anaendelea kusisitiza, Tukope kujenga uchumi,Ulaya ilikopa kujenga uchumi baada ya vita ya dunia kwa kusaidiwa na USA( Mashal Plan, ) Bajeti ya Japan ya mwaka 2021, nchi ya 3 kwa ukubwa wa uchumi dunaini, asilimia 40% ni mikopo.

Anasema, "Naam, tukope zaidi kujenga zaidi hasa mikopo ya muda mrefu ambayo uwekezaji miradi hii itaongeza msuli wa uchumi wetu kulipa deni.

Mwaka 2021/22 ndio mwaka deni limeongeka kwa trilioni10(BoT- MER) lakn ndio mwaka uchumi uliongezeka kwa zaidi ya dola bilioni 5.4 kufikia $67.7bn kutoka $62.3bn ambazo ni sawa na nyongeza ya uchumi kwa miaka miwili( 2019/20 na 2020/21),Ndio maana ya kukopa kujenga uchumi.

Marry X-mass & Happy New year
Asante kwa madini
 
Hii inch ina wapumbavu wengi sana, bahati mbaya ndo tunawaita viongozi wetu
 
Kumbe Japan 40% ya bajeti yake ni deni Daaah,

Asante Sana Mkuu Kafulila kutufumbua macho,

Kumbe uko shallow kiasi hicho?? Deni haina maana linatoka nje. Deni kwenye nchi za wenzetu maana yake ni fedha ambazo zinakopwa ndani kutoka kwenye vyanzo vya ndani au makusudio ya matumizi ya fedha ambazo bado hazijakusanywa!! Hata sisi hufanya hivo lakini makusanyo na madeni ya ndani ni kiasi kidogo cha mahitaji, ndio maana tunakwenda kukopa!! Deni la Japan sio kutoka IMF, WB na wengine!!! Elewa hilo!
 
Kumbe uko shallow kiasi hicho?? Deni haina maana linatoka nje. Deni kwenye nchi za wenzetu maana yake ni fedha ambazo zinakopwa ndani kutoka kwenye vyanzo vya ndani au makusudio ya matumizi ya fedha ambazo bado hazijakusanywa!! Hata sisi hufanya hivo lakini makusanyo na madeni ya ndani ni kiasi kidogo cha mahitaji, ndio maana tunakwenda kukopa!! Deni la Japan sio kutoka IMF, WB na wengine!!! Elewa hilo!
Nadhani Wewe hujaelewa vizuri
 
Very misled.Hiyo ni misemo yao potofu ya kutufanya tukope.Ingekuwa mikopo inatoa,tungefika mahali tukaacha kukopa.Ukishakuwa debt dependent wewe ni mtumwa.Akopaye ni mtumwa wa akopeshaye,huo ndio ukweli mchungu.Mkopaji hana ujasiri wowote kwa aliyemkopesha.
Sasa kama wananchi wanalalamika umeme,ukaanzisha project kubwa ya umeme wa upepo eneo kama singida watu si wanalipa bill, ikatumika kulipa den na kufanya maintenance na watu wakapata ajira sasa apo kuna asara gani
 
Sasa kama wananchi wanalalamika umeme,ukaanzisha project kubwa ya umeme wa upepo eneo kama singida watu si wanalipa bill, ikatumika kulipa den na kufanya maintenance na watu wakapata ajira sasa apo kuna asara gani
Shida wenye kupotosha ni hawa CHADEMA
 
Acha ujinga wewe nzi wa kijani. Kwa hivyo Tanzania bila kukopa haitapata maendeleo. Jifanyeni wajanja wakati akili zenu haziwezi kuleta maendeleo zaidi ya kupambana na CHADEMA.
Mkuu ili hoja yako iwe na mashiko ebu tutajie walau Nchi tatu zilizoendelea Duniani bila kukopa?
 
Back
Top Bottom