Atapata akili pindi huyo mumewe atakapoaga dunia, atajua maisha nini, na kubwa ni kwamba wote wanne ni wazinzi tu.
When you are done wit you wife or husband, divorce him or her. Si unachovya chovya. Hii iwe funzo kwa wengine. Respect your marriages. Hata mimi naua walahi nikimjua mwizi wangu though I may not kill my husband but the other woman.
sala yako imesikilixwa na yule kaka amekufaNamwombea huyo kaka afariki dunia ili sheria ichukue mkondo wake kwa hao walio mshushia kipigo
Maty tell me this is a joke!!!!!!!!!!!
wewe maty...walikuwa wana watoto wangapi? huyu mwanamke atalia kilio cha mbwa mwizi...hii disaster uickie tu kwa mtu...ote ndao!
sala yako imesikilixwa na yule kaka amekufa
sasa sijui ulikua unatania??
Mungu amesikia dua sasa nadhani ni wakati mzuri wa wewe kubeba huyo killer aiseeNdugu tupo tutabeba zigo lakini hapo mmoja mzazi atabaki uraiani
Hawa wawili lazima wakaonje makali ya jela.
mze mwenzangu habari imenishtua sana hiiMaty hebu weka mambo sawa hapa....hii ni habari ya kweli?
Maneno yako ya naBusara lakini hayana nafasi kwa aliyefumania!!nikama maneno yakwenyekanga au neno lolote unajua temper anayokuwa nayo????au unasikia!!!!Usisikie naomba isikukute ufumanie ufumaniwe!!vyote shubiri!!!Kufumania kunauma sana, lakin pia kumpiga huyo mwanaume siyo suluhisho la tatizo zaidi ni kuongeza tatizo kwa huyo mwenye mume. Ajue kuwa yeye anauguza mume (na bora apone,akifa unaambulia ujane), wakati wenzake wanaombana msamaha na maisha yanaendelea kwao.
Ukimfumania mke/mume usipigane na uliyemfumania nae, cha kufanya hakikisha kuwa wanakuona ili watambue kuwa unajua wanachofanya halafu rudi nyumbani . Atakaporudi mke /mume nyumbani ndipo umwuulize nini sababu ya yeye kufanya hivyo mtatafuta njia ya kumaliza tatizo lenu.
Mi naamini kupitia fumanizi unaweza kujifunza kitu au jambo laweza kuwa baya au zuri na likawa msaada ktk mahusiano yenu.
Narudia na nasisitiza kufumania kunauma sana sana sana sana sana. Ukiwa kwenye mahusiano na haujawahi kufumania mwambie mungu asante sana.
Binadamu tunaishi kwa kujifunza, haijalishi kama hilo jambo ni baya au zuri, lililo muhimu ni kujifunza.
mze mwenzangu habari imenishtua sana hii
haya mambo waweza ukiahani utani halafu ukaishia shimo la tewa aisee
Habari zenu wana Jf,
nimepata kisa cha kusikitisha muda si mrefu na nimeamua nikiweke hapa jamvini kinaweza kutusaidia katika kufanya maamuzi yakikukuta.
Kuna mkaka namfahamu yeye ni mume wa mtu na amefumaniwa na mke wa mtu. Inasemekana mume wa huyo mdada mwizi na mke wa mkaka mwizi walishagundua na kukaa pamoja kuelezana kwamba wenza wetu wanafanya uzinzi. Wakakubaliana kuwafumania na kweli siku ya siku fumanizi likafanikiwa walichofanya ni kumpiga yule mwanaume sana hasa hasa kichwani mpaka damu imevilia kichwani na habari nilizopata hivi punde ni kuwa huyo kaka anapumulia oxygen machine once ikitolewa roho na mwili vinaachana.
Tupeane mawazo ikitokea ukamfumania mkeo/mumeo uamuzi mzuri ni upi? au walichfanya hawa mke na mume waibiwa kumpiga huyu baba mpaka kuwa hivi ni sawa?
hii ndio ideaWasingetoa kichapo kwa mwanaume huyo, bali na wao wange-do mbele yao, then kwisha maneno....
Kamanda... haya mambo ya fumanizi sio "one size fits all"Duh maty inatisha...jamani kuiba uibe usifumwe ukifumwa mwe!! utatamani usingeiba. Mie niulize kuna sheria yoyote juu ya makosa kama haya? Yaani mfano nikiwapeleka mahakamani sheria inasemaje?? Hawa waliofumaniwa nasemea
Yaani wewe MUME/MKE wa mtu mnapanga kwenda kumfumania MUMEO/MKEO bado haijaniingia akiliniHayajakufika ndo maana unaongea kwa busara hivyo.Ukifumania akili haifanyi kazi kama unavyofikiri. Ni kutenda tu rational thinking baadae. Narudia INFIDELITY is an act of murder. Na nina maana aliyefumaniwa anaweza kuuawa na aliyeuwa anishia kunyongwa. Ni wangapi mmesikia wanaua wake zao na wao kujiua kwa wivu wa mapenzi. Hachana kabisa na kuchezea feelings za watu
Dah... basi mie nnavyomuamini Maty, unataka kuniambia nimeingia mkenge??Sina imani na Maty.....hii haiwezi kuwa kweli bana.
Itakuwaje wampige mwizi dume peke yake?
maneno mantashahu hayaWat???, imeniuma sana kifo cha huyo mwanaume. Sifurahii uzinifu lakin pia kutoa roho ya mtu mwingine eti kisa nimemfumani siwezi hata siku moja, siwezi kuua ksb sina uwezo wa kuumba pia, naamini ni mungu peke yake anayewza kuchukua roho za watu ksb hata kuumba mungu anaumba.
Huyo mwanamke aliyeshiriki kumuua mumewe hata sielewi nimweke kundi gani.
hivi wanawake (baadhi) mnadhani hao wanaume ni mali zenu binafsi?.
huyo mwanaume ni binadamu tu at any time he can change kwa uzuri au ubaya lazima uwe tayari kupokea hayo mabadiliko.
Tujifunze kudhibiti hasira zetu...haya mambo ya kuwafanya wanaume mali zetu binafsi siyo sahihi kabisa.
huyu ni mali ya mungu na wazazi wake , wewe ni mshirika wake tu ktk mapenzi basi.
r i p marehemu, roho yako iwekwe mahali panapolingana na matendo yako hapa duniani.ameni
kama umemfumania na unaona hauwezi kumsamehe mwenzi wako achana naye kimapenzi , usimuue, binadamu acheni kujifanya watakatifu eti mnatoa hukumu ya kifo kwa mkosaji.