Wat???, imeniuma sana kifo cha huyo mwanaume. Sifurahii uzinifu lakin pia kutoa roho ya mtu mwingine eti kisa nimemfumani siwezi hata siku moja, siwezi kuua ksb sina uwezo wa kuumba pia, naamini ni mungu peke yake anayewza kuchukua roho za watu ksb hata kuumba mungu anaumba.
Huyo mwanamke aliyeshiriki kumuua mumewe hata sielewi nimweke kundi gani.
hivi wanawake (baadhi) mnadhani hao wanaume ni mali zenu binafsi?.
huyo mwanaume ni binadamu tu at any time he can change kwa uzuri au ubaya lazima uwe tayari kupokea hayo mabadiliko.
Tujifunze kudhibiti hasira zetu...haya mambo ya kuwafanya wanaume mali zetu binafsi siyo sahihi kabisa.
huyu ni mali ya mungu na wazazi wake , wewe ni mshirika wake tu ktk mapenzi basi.
r i p marehemu, roho yako iwekwe mahali panapolingana na matendo yako hapa duniani.ameni
kama umemfumania na unaona hauwezi kumsamehe mwenzi wako achana naye kimapenzi , usimuue, binadamu acheni kujifanya watakatifu eti mnatoa hukumu ya kifo kwa mkosaji.