nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Heart broken hadi mnaamua kupanga fumanizi na kuua you must be kiddin me
Yaani nyamayao ndio nampigia alieniambia nimuulize kuhusu mwanamke mwivi ilikuaje si ndio ananiambia amepata taarifa huyo kaka amefariki hivyo anaenda msibani hata nimeshindwa kuuliza zaidi jamani
Mbu my dia wakati naandika hii thread nilikua nasikia huyo mkaka ana hali mbaya, kwa sababu nilisikia upande wa kaka tu watu wakaanza kuniuliza kuhusu mdada mwizi ikabidi nimuulize alieniambia ndio akaniambia anaelekea msibani kwani mkaka ashafariki. Amekufa mchana huu
...Mwenyezi Mungu amsadiie huyu Braza asipate Permanent Brain Damage.
Dah,....
Mkewe ndio kusema sasa anamuuguza baba watoto wake, au?
Ingekuwa nchi za wenzetu, wote watatu wangekuwa wanaisaidia polisi sasa.
Hii kesi sitaihukumu mpaka nijue hatma ya huyo kaka.
We are on the same pageHapo wasiwasi. Haiwezekani wafumaniwe wawli halafu kichapo apokee mmoja. Ingeleta maana kama mama angepambana na mama na baba apambanae na baba. Ngoja tusubirie taarifa za kiintelijensia, maana naona kama imekaa zaidi ya fumanizi.
Mjukuu inauma sana....inauma aiseeeKweli tuliambiwa mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe..............ssasa huyu kakosa mume na jela inamsubiri...........familia iliyobaki si ndo imeshavinjika?? Eh MUNGU tunusuru jamani tuwe tunaomba busara na maarifa
Na huyo mwanamke (mjane) kafaidika nini na hiyo adhabu aliyompa mumewe? aah labda kapata faida ya huo ujane na mali alizoachiwa na mumewe.
LAKIN je ana ujasiri wa kuwaambia wanawe chanzo cha kifo cha baba yao??
Ukisema upige au uue kila ukifumania sasa utapiga na kuua Wanaume/ Wanawake wangapi?, manake hizi kesi ni nyingi sana sasa hivi.
KWELI HASIRA HASARA.
Ahaaa ahaaa GY yaani hapo ni sawasawa na uulize ipi bora kuua au kuuliwa l.o.l aisee hamna bora katika ya hayo mawiliHivi ipi bora, kufumania au kufumaniwa?
good one LD... Binadamu tunapenda sana ku-judge watuMi mwizi njoo niue!!!
Wakati unakuja uhakikishe hujawahi kuiba mume wa mtu tangia umemapata akili ya kujua mema na mabaya.
Na huajawa ku mcheat mumewe uliye naye sasa.
Sawa?
Hapo wasiwasi. Haiwezekani wafumaniwe wawli halafu kichapo apokee mmoja. Ingeleta maana kama mama angepambana na mama na baba apambanae na baba. Ngoja tusubirie taarifa za kiintelijensia, maana naona kama imekaa zaidi ya fumanizi.
Mjukuu inauma sana....inauma aiseee
...Mwenyezi Mungu amsadiie huyu Braza asipate Permanent Brain Damage.
Dah,....
Mkewe ndio kusema sasa anamuuguza baba watoto wake, au?
Ingekuwa nchi za wenzetu, wote watatu wangekuwa wanaisaidia polisi sasa.
Hii kesi sitaihukumu mpaka nijue hatma ya huyo kaka.
.................................................. ..Inauma sana aisee.................................................. ...Hivi ipi bora, kufumania au kufumaniwa?
kweli kabisaHuwezi jua kama walipanga kwenda kuua. Inawezekana mauaji yametokea kutokana na ugumu wa mazingira aka Hasira.
sana Finest hata nguvu za kuchangia hapa sijui zinatoka wapi naona kama porojo kumbe kweli!