Kafungua makanisa na kuweka kipaza sauti katikati ya jamii ni sawa kisheria?

Kafungua makanisa na kuweka kipaza sauti katikati ya jamii ni sawa kisheria?

Mnakiwasha mitaa ya watu hopeless ,nenda kakiwashe mitaa ya watu wanaojielewa muone.
Hua huko hawaendagi mkuu,,hua wanakuja mitaa ya walalahoi ,, niambie Kuna spika limefungwa sehem kama posta ama ostabei ama huku kunakojengwa majengo ya hatari nadhan goba ama wapi sjui huko hawawez kufika..ni upumbav mkubwa sana ..mbona wengine wanafungua lakin huwez kusikia kelele kabisa watu wanafanya Ibada zao kimya kimya ndani kwa ustaarabu
 
Au Ile unapanda daladala ikianza kuondoka jitu linaanza kelele mwishoni linadai sadaka...! Wapumbavu.
Hii ni aina nyingine ya utapeli mjini ..asubuhi Hadi jioni mtu kufunga hesabu na laki kwa siku kawaida maisha yanaenda
 
Hivi ni watu kukosa akili ama ni nini? Au watu wameshaona fursa kwenye haya makanisa?

Lakini hata kama umeamua kunyaka fursa uwe tajiri kama wachungaji na manabii wengine, ila ndio uje karibu ama katikati ya jamii unaweka hema sjui nini kwenye uwanja labda wa manispaa halafu unaweka na maspika na sauti kubwa, je hili kisheria linaruhusiwa nchi hii?

Halafu usanii mtupu mtu anarukwa na mapepo anapiga makelele wanamuwekea mic mdomoni, kwaio makelele yote ya mapepo ya mchongo tunayasikia, imefikia saivi ukiwa na vipesa kidogo tu unaweza kufanya lolote

Kwa nchi za wenzetu hii unaenda kuripotiwa na unakuja kuchukuliwa na kufunguliwa mashtaka ya kusababisha kero na usumbufu wa watu (Noise pollution).

Sijawahi ona ujinga wa namna hii.
Nilitegemea uandike kuhusu nyumba za ibada kufanya noise polution badala ya kutaja kanisa pakee..!! Misikiti hujaiona? Au hata mabaa, mfanoni Kitambaa cheupe pale Mbagala Charambe.
 
Je kufungua msikiti na kuweka kipaza sauti ni haki kisheria? Balance hoja yako ndugu
Bora hata msikiti Wana ustaarabu na wao Ibada yao ni ijumaa mchana au kila siku ila saa 7 na jion , kusikia azama tu ,, sio Hawa wapuuzi wengine mziki sjui ikibindankoi ya injili assubuh Hadi jioni,, maspika yananguruma kwenye makazi ya watu,,,hapo Bado Ibada ya mapepo kuombewa, mtu anampa maiki mtu mwenye mapepo ili watu wasikie ..utapeli tu na kusumbua watu
 
Hivi ni watu kukosa akili ama ni nini? Au watu wameshaona fursa kwenye haya makanisa?

Lakini hata kama umeamua kunyaka fursa uwe tajiri kama wachungaji na manabii wengine, ila ndio uje karibu ama katikati ya jamii unaweka hema sjui nini kwenye uwanja labda wa manispaa halafu unaweka na maspika na sauti kubwa, je hili kisheria linaruhusiwa nchi hii?

Halafu usanii mtupu mtu anarukwa na mapepo anapiga makelele wanamuwekea mic mdomoni, kwaio makelele yote ya mapepo ya mchongo tunayasikia, imefikia saivi ukiwa na vipesa kidogo tu unaweza kufanya lolote

Kwa nchi za wenzetu hii unaenda kuripotiwa na unakuja kuchukuliwa na kufunguliwa mashtaka ya kusababisha kero na usumbufu wa watu (Noise pollution).

Sijawahi ona ujinga wa namna hii.
Hili liende sambamba na spika za misikitini, vyote ni kero kubwa. Kuna haja ya kuwa na maeneo maalum ya nyumba za ibada.
 
Bora hata msikiti Wana ustaarabu na wao Ibada yao ni ijumaa mchana au kila siku ila saa 7 na jion , kusikia azama tu ,, sio Hawa wapuuzi wengine mziki sjui ikibindankoi ya injili assubuh Hadi jioni,, maspika yananguruma kwenye makazi ya watu,,,hapo Bado Ibada ya mapepo kuombewa, mtu anampa maiki mtu mwenye mapepo ili watu wasikie ..utapeli tu na kusumbua watu
Mwenyewe hujitambui, mijini kila spika za misikiti ni kama zinawalenga watu walio mitaani badala ya waliopo ibadani.
 
Hua huko hawaendagi mkuu,,hua wanakuja mitaa ya walalahoi ,, niambie Kuna spika limefungwa sehem kama posta ama ostabei ama huku kunakojengwa majengo ya hatari nadhan goba ama wapi sjui huko hawawez kufika..ni upumbav mkubwa sana ..mbona wengine wanafungua lakin huwez kusikia kelele kabisa watu wanafanya Ibada zao kimya kimya ndani kwa ustaarabu
Kabisa mkuu
 
Ni kero ndio, ila sio hao tu,kuna hili la waislam kufunga barabara tena katikati ya jiji mda wa kuswali nalo ni kero sana.
 
Sio ustaarabu kwakweli. Kama wanapenda makelele waweke na sound proof
 
Ne
Hua huko hawaendagi mkuu,,hua wanakuja mitaa ya walalahoi ,, niambie Kuna spika limefungwa sehem kama posta ama ostabei ama huku kunakojengwa majengo ya hatari nadhan goba ama wapi sjui huko hawawez kufika..ni upumbav mkubwa sana ..mbona wengine wanafungua lakin huwez kusikia kelele kabisa watu wanafanya Ibada zao kimya kimya ndani kwa ustaarabu
Neno upumbavu, ulilotumia hapa, ingependeza ulitumie kwa yeyote anayeweka speakers kwa ibada ama shughuli zake. Waislam mara tano kila siku kwa siku zote mwaka mzima na milele zote . Waambie nao wapumbavu uone. Kama sivyo wewe ndiye mpumbavu unayeongea kukashifu watu wasio wa dini yako.
 
Ni kero ndio, ila sio hao tu,kuna hili la waislam kufunga barabara tena katikati ya jiji mda wa kuswali nalo ni kero sana.
Utadhani wanamiliki nchi. Unaendesha unafika mtaa hakuna namna pa kugeuzia gari mijamaa imefunga barabara tena two hours.
 
Je kufungua msikiti na kuweka kipaza sauti ni haki kisheria? Balance hoja yako ndugu
Sasa mbona km hufikirii ndugu Miskiti yote ni uratibu wa imani yao toka enzi kuitana kwa kupasa sauti. Na Miskiti huchukua MUDA mfupi sana na kuzima vipaza sauti. Tofauti na hao wanaopiga madisko kanisani usku kucha.

Watu duniani wakiishi kwa kuheshiamiana na bila kuiga wataishi salama sn. Nachojua vipaza sauti kwenye miskiti vimekuwepo enzi na enzi, hawa wa maspika makubwa kanisani nao wakaiga. Hatma yake ndo km hivyo.
 
Ne

Neno upumbavu, ulilotumia hapa, ingependeza ulitumie kwa yeyote anayeweka speakers kwa ibada ama shughuli zake. Waislam mara tano kila siku kwa siku zote mwaka mzima na milele zote . Waambie nao wapumbavu uone. Kama sivyo wewe ndiye mpumbavu unayeongea kukashifu watu wasio wa dini yako.
Nasema hivi ni wapumbavu na washenzi tu kutapeli watu..asubuhi Hadi asubuhi nyingine mmeweka maspika nje mmefungulia saut Hadi asubuhi na maik mnawawekea mapepo tusikie yakipayuka utapeli tu. Utafananisha na waislamu? Waislamu Kuna kipaza sauti ambacho kimekuepo miaka na miaka kuwajulisha waislamu kua muda wa kuswali ndio.mana Kuna Azana kwa muda maalum ndio unasikia Shekhe anapiga Azana..utawafananisha na Hawa mambulula ambao wanawasha disko la injili na kuweka maspika makubwa nje na kuwapa mapepo maiki yakilipuka tusikie [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Nasema hivi ni wapumbavu na washenzi tu kutapeli watu..asubuhi Hadi asubuhi nyingine mmeweka maspika nje mmefungulia saut Hadi asubuhi na maik mnawawekea mapepo tusikie yakipayuka utapeli tu. Utafananisha na waislamu? Waislamu Kuna kipaza sauti ambacho kimekuepo miaka na miaka kuwajulisha waislamu kua muda wa kuswali ndio.mana Kuna Azana kwa muda maalum ndio unasikia Shekhe anapiga Azana..utawafananisha na Hawa mambulula ambao wanawasha disko la injili na kuweka maspika makubwa nje na kuwapa mapepo maiki yakilipuka tusikie [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Hizi mada zimekuwa nyingi Sana kipindi hiki cha kizimkazi.
 
Back
Top Bottom