Pole zenu, huzuni yenu furaha kwetu.
Hahahahaha teh teh teh; Kama nakuona vile ulivyonuna baada ya Nadir Haroub kukosa penati, matajiri wenu sahivi wako busy na wapiga kura na mtaendelea kupigwa tu. Lakini msihofu tutakuwa tunawapa pole kila mara baada ya kufungwa. Namtafuta ndugu yangu [MENTION]Makoye Matale[MENTION] naye pole yake imfikie.Ndicho kilichobakia tu maana hamna jinsi.
Furaha ya Simba imebakia pale Yanga watakapopoteza mechi!
Hahahahaha teh teh teh; Kama nakuona vile ulivyonuna baada ya Nadir Haroub kukosa penati, matajiri wenu sahivi wako busy na wapiga kura na mtaendelea kupigwa tu. Lakini msihofu tutakuwa tunawapa pole kila mara baada ya kufungwa. Namtafuta ndugu yangu [MENTION]Makoye Matale[MENTION] naye pole yake imfikie.
Kwani na wewe uko uwanjani? (Mchezaji)
Yule muhindi wa dodomia nasikia kaachiwa na zile pesa, kununua mechi kuko pale pale!
Haya mkuu,mbona hizi ndio kauli zetu kamanda.Kwa wafuatiliaji wa mpira wanajua nini kilichokuwa kinaendelea pale uwanjani. Kumbuka gor mahia kwao ligi bado inaendelea na first eleven yake sio mpya. First eleven ya yanga naweza sema ni mpya coz ukiangalia kikosi cha leo kuna watu kama ngoma, zutah, kaseke na wageni wengineo ndio gemu yao ya kwanza kiushindani wakiwa na yanga, wanahitaji connection na kuelewana kati yao na wale waliokuwepo msimu uliopita.
Ukicheki kwa gemu ya leo timu ya wananchi haikuwa mbaya kabisa vijana wamejitahidi na wameonyesha mchezo mzuri japo kuna makosa ya hapa na pale. Wakiendelea hivi katika gemu zijazo na wakaelewana vizuri, Yanga itakuwa moto sana. Leo tu wamecheza pungufu lakini Gor Mahia shughuli pevu waliiona.
Subirin mech zijazo Yanga itakaponunua mechi kwa timu zisizo na uwezo wa kifedha kama ile ya Rwanda iliyotoka kwao hadi huku kwa Bus chakavu. Huko yanga itashinda hata 10 ili kuuza magazeti. najua mechi ya leo itamtesa sana Manji. maana ametumia pesa nyingi sana kusifia wachezaji na timu yake magazetini.. mechi ijayo tutashida yanga bila mushkeli. hizi timu zenye njaa tutazigonga sana kwa kutumia rushwa.
Dah, poleni sana wa kimataifa, wa mchangani wanasherekea leo.
Vv
HAHAHAHHHA ndala mpo? eti wa kimatifa kenya2 mmedunda
kwani yanga nayo timu ndugu yangu...ni upuuzi flani tu