Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!

Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!

Subirin mech zijazo Yanga itakaponunua mechi kwa timu zisizo na uwezo wa kifedha kama ile ya Rwanda .

Kati ya APR na Gor Mahia nani ananunulika kirahisi..?

Kati ya timu hizo ipi ni Klabu yenye fedha....? Kama sio APR.

Kati ya timu hizo, nani amechangiwa fedha ya Team Accommodation kwa ajili ya michuano....?

Unachekesha sana! Aveva amesha waharibu.. Amewaharibia timu yenu ya mchangani hadi sasa mnachanganyikiwa hata mnashangilia timu za wenzenu.

Go goo goo go oooooohhh Yanga Fc.
😂😂😂😂
 
isee hii Nchi kweli imeuzwa.
Hivi mashindano makubwa kama haya Nchi ina Tv Stations kibaoo zenye uwezo mkubwa tu wanaenda kuwauzia mashindano wa South Africa?

TFF kweli wao ni Pesa tu na sio kuendeleza soka.
TFF ifaham kwamba Team Zetu zinawapenzi weengi saana mikoani,na wengine hata ukiwatajia DSTV ndio nini hawajui,wao wanajua Station za ndani tu.
Angalua wangeonyeshwa mechi hizi zingefunika machungu ya Team yetu kibonde ya Taifa.

TFF walivyo wanafiki ila kwenye hela wanakuwa waungwana.Kabla ya AZAM kudhamini Ligi Kuu,Supersport miaka mingi walikuwa wanaomba kuionyesha ila wakawa wanabania,na hii inaoneakana kwamba mkono wa AZAM ulikuwa unatambaa chinichini wanajua wao.

Leo hii Mechi hii inachezwa ndani ya Nchi na wananchi hao hao ndio Tunalipia Kodi TBC ili hadi vijijini watu waone mashindano makubwa kama haya eti wanawauzia Makaburu Supersport.
Na mbaya zaidi Supersport wakichukua haki miliki ni wao tu,wanapiga hela wanasepa.Halafu TFF mnasema mnataka kukuza Soka.

Maana vilabu imekuwa ni chaka na Watu kupiga hela,TFF nao kumeingia genge la wapiga helaa.

SIMBA OYEEEEE,bora mlivyojitoa,maana najua hao TFF na Super Sport walijua watapiga hela ndefu mkiwepo nyie
Subirini mechi zinazofuata kama wataona watu uwanjani

Hayo mashindano sio ligi kuu au kombe la mtani jembe. Hayo ni mashindano ya kimataifa, zaidi ya mpira kuwa burudani pia ni biashara. Asilimia 90% ya wachezaji wa kigeni Tanzania tumewaona kupitia TV za nje then tukawanunua.

Haki ya kuonyesha hayo mashindano kapewa Supersport sababu kwanza anapatikana katika nchi zote washiriki na pia kwa wasio washiriki jumlisha Dunia nzima. Huyo unayetaka kumpigia chapuo mwambie ajitanue asiishie tuu kwenye hizi nchi tatu bali afungue mipaka zaidi na si vibaya kama akianza kupatikana africa nzima. Maybe afakiriwa mashindano yajayo.
 
Tenda ilitangazwa Azam na DSTV waliishondania hiyo Tenda lakini DSTV walishinda, pesa ndefu wakatoa.

DSTV kapata hiyo tenda sababu anapatikana katika nchi zote washiriki. Azam TV mwisho kimbiji hicho ndicho kilichoinyima nafasi hata hivyo kwa mkwanja wote wababe tuu sioni tofauti kubwa
 
Yanga 1-2 Gor Mahia: Harun Shakava and Michael Olunga score as K'Ogalo fightback to floor hosts in Dar

Dn+sports+Kogalo+1705fss.JPG.jpg


Gor Mahia players celebrate a goal in a past Kenyan Premier League match. Gor beat Yanga of Tanzania 2-1 in the opening match of the Cecafa Club Championship in Dar es Salaam on July 18, 2015. PHOTO | CHRIS OMOLLO | NATION MEDIA GROUP

By CELLESTINE OLILO

In Summary




  • K'Ogalo overcame an early setback after the Kenyan Premier League leaders found themselves a goal down after five minutes after defender Dirkir Glay put the ball in his own net, to score twice through defender Harun Shakava and striker Michael Olunga in a thrilling match which the hosts finished with 10 men.


Kenyan champions Gor Mahia on Saturday rallied from a goal down to floor pre-tournament favourites and hosts Yanga SC 2-1 in their opening match of the Cecafa Club Championship tournament at the National Stadium in Dar es Salaam.


K'Ogalo overcame an early setback after defender Dirkir Glay put the ball in his own net, to score twice through Harun Shakava and striker Michael Olunga in a thrilling match which the hosts finished with 10 men.

Shakava scored the equaliser after heading past Yanga keeper Ally Mustafa from a Karim Nizigiyimana free-kick after Godfrey Walusimbi had been brought down on the left flank in the 18th minute before Olunga grabbed the headlines with the winner a minute after the breather.

“These are only three points. It doesn’t mean that we shall have the remaining group matches any easier. Playing with an extra man always has a psychological effect, but Yanga were tough opponents” K’Ogalo coach Frank Nuttall said after the match.

Yanga were heavy favourites coming into the match, but their casual approach to the match raised questions on whether they had claimed undue respect from their opponents.

TWEAKED LINE-UP


Coach Nuttall opted for a refreshed line-up that had Innocent Wafula and Dirkir Glay start ahead of Ali Abondo and the injured Collins Okoth, while Yanga had the reliable Andre Countinho and Godfrey Mwashiuya lying in wait on bench.

Yanga fans, who had filled one half of the stadium, were first to celebrate success after Glay slid in an own goal just five minutes into the match.

Glay had attempted to clear a dangerous cross from winger Donald Ngoma, but his mis-timed clearance ended up sending the ball over goalkeeper Boniface Oluoch.

It took the Kenyan champions 12 minutes of trying before Shakava delivered the equaliser by rising highest to head in Nizigiyimana pin-point delivery.

The game then took a significant turning point in the 23rd minute when Zambia winger Ngoma received a second yellow card for smacking Shakava, and he was subsequently escorted to the locker rooms by his team manager amid loud jeers from the Simba SC and Gor Mahia fans.

In the remaining 24 minutes of the first half, Yanga recorded only one shot on target, while Michael Olunga threatened consistently for his team on the other end.

In the 32nd minute, the 21-year-old found himself unmarked in front of Yanga's goal, and he almost doubled the advantage but his shot went over the bar.

Olunga was felled inside the box in the 37th minute, but referee Ssali Mashood waved off his penalty appeal.

The two teams went into the dugout to raucous applause from their respective supporters and barely a minute after resumption, Olunga nicked the ball from the opponent’s defenders and rushed homewards before rolling it calmly into the net to hand K'ogalo the lead.

Yanga coach Hans van der Plujim brought in Kpah Sherman for the tiring Simon Msuva in a bid to sharpen his front line but this proved unfruitful against the unrelenting K'Ogalo defence.

Yanga captain Nadur Haroub missed a penalty in the second half after Shakava had handled the ball in the box, with Oluoch picking his poorly taken "panenka" before releasing Olunga for an unfruitful counter attack on the opposite end.

K’Ogalo bring down Yanga in Cup opener - Football | Daily Nation

Hawa ndo waandishi wanaojotambua...kibongobongo tinaambiwa eti goli limefunhwa na ngoma
 
Haya wale watani wetu wapya wa jadi ndio wanashuka uwanjani leo kumenyana na KCCA. Jana timu ya wananchi kwa mbinde sana na kwakucheza pungufu tumechezea kichapo kutoka kwa Gor Mahia. Tuwaombee wawakilishi wengine wa Tanzania Azam FC a.k.a SHOGA YAKE NA SIMBA. ashinde hii gemu ili mwisho wa mashindano. Mshindi wa tatu awe KMKM, wa pili AZAM na BINGWA YOUNG AFRICAN SPORTS CLUB
 
ndetichia ushalihama chama nini au kukanda maandazi kumekushinda. Njoo mtupie update za chama lenu Azam.

HADI AIBU MIKIA IMEJAA UWANJANI UTAFIKIRI NA WAO WANASHIRIKI
 
Last edited by a moderator:
Sijakuona humu muda sana.Naona ligi kuu ikiisha nawe unapotea

Mkuu nifah nipo sana. Jana nilikuwa madhabahuni, nilipofungua uzi huu nikaona tumefungwa; nikajiuliza kwa nini Yanga huwa tunapoteza kila mechi ya ufunguzi ya mashindano haya? Niliumia sana lakini nikakumbuka kuwa hata mwaka 1993 kule Uganda tulichapwa na SC Villa mechi ya ufunguzi lakini fainali tulichukua kombe mbele ya hao hao SC Villa. Nikakumbuka kuwa mwaka 2012 tulichezea kichapo kutoka kwa Warundi akina Didier Kavumbagu na wenzake tena hapo hapo Dar, fainali tukawafunga Azam, mwisho nikakumbuka pia kuwa msimu uliopita wa VPL mechi ya ufunguzi tulifungwa na Mtibwa Sugar, mwishoni tukatangaza ubingwa hata kabla ya ligi kuisha.

Sijajua ni kwa nini Mungu anaruhusu tufungwe kila mechi ya ufunguzi! Lakini atukuzwe Mungu wetu kwa kutupatia ushindi katika fainali. Inawezekana fainali ya Kagame Cup 2015 ikawa kati ya Yanga na Gor Mahia, ni ombi langu kuwa historia ijirudie kwa kuchukua ubingwa tena, amina.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom