Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!

Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!

AZAM TO SEMI FINAL. https://jamii.app/JFUserGuide U PLUIJM https://jamii.app/JFUserGuide https://jamii.app/JFUserGuide https://jamii.app/JFUserGuide https://jamii.app/JFUserGuide https://jamii.app/JFUserGuide. THIS IS THE LAST TYM FOR ME KWENYE JUKWAA LA MICHEZO.

NAENDA KUSHINDA KWENYE UWANJA WA warumi JUKWAA LA CELEBRITY

Hehehehehehe mkuu usipanic mpira unadundaa mkuuu... Teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Nimesahau https://jamii.app/JFUserGuide https://jamii.app/JFUserGuide https://jamii.app/JFUserGuide U WAWA
 
Kuanzia leo hata nikisikiliza kipindi cha michezo au kutazama kwa tv nakuwa na amani,,,hawa jamàa walikuwa wanaleta maneno kuntu sana aiseee
 
Mimi namwagiwa maji hapa best lakini simu iko mkononi naendelea kutype.

pole sana . shushia na ice cream
Ice_Cream_dessert_02.jpg
 
Kocha kafanya makosa sana kumpa nafasi mchezaji mchanga kama yule ambaye haya ndio mashindano yake makubwa ya kwanza.

Usikute alionyesha uwezo mkubwa kwenye mazoezi best, mbona Mwashiuya kapiga vizuri tu wakati yeye ndo katokea huko sijui ligi daraja la pili.

Tukubali tu penati ni bahati bahati tu, mi siumiagi kivile timu yangu kutolewa kwa penati, tulipaswa kushinda ndani ya dk90 za mchezo lakini ndo hivy tena wenzetu nao walijiandaa vya kutosha
 
Back
Top Bottom