Kagame hafahamu kama wanajeshi wa Rwanda wako nchini DRC

Kagame hafahamu kama wanajeshi wa Rwanda wako nchini DRC

Marie Antoinette

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
426
Reaction score
412
Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema hajui kama wanajeshi wa nchi yake wako Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ambako mapigano kati ya kundi la waasi la M23 na wanajeshi wa Congo yanaendelea.

Sehemu kubwa ya Jumuiya ya Kimataifa inaamini kwamba Rwanda inaunga mkono waasi wa M23, ambao walidai kuuteka mji wa Goma Mashariki mwa Congo wiki iliyopita.

Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wanaamini kuwa takriban wanajeshi wa Rwanda 3,000 hadi 4,000 wanawasaidia wapiganaji wa M23 Mashariki mwa DRC, huku wakiwazidi idadi waasi hao.
 
Update ikoje Goma imekombolewa au Bado M23 wanaumiliki?
 
Update ikoje Goma imekombolewa au Bado M23 wanaumiliki?
Goma ipo mikononi mwa M23(au Rwanda kama inavyosemekana). Msafara wa vifaru ulikuwa ukielekea Bukavu; ila tangazo lililotolewa na M23, ni kwamba kuanzia tarehe 4 February, wamesitisha mapigano kuangalia kwanza maswala ya misaada kwa binadamu. Lakini, wakichokozwa, watajibu mapigo. La ziada ni wanawake waliokataa kuhama zilipokuwa kambi, kwa hofu ya kubakwa. Wanasema bora wabaki huko huko walipo na wana uhakika wa usalama, yaliyokuwa yakiwakuta yasije yakajirudia. Wameshaathirika kisaikolojia
 
Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema hafahamu kama wanajeshi wa nchi yake wako Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ambako mapigano kati ya kundi la waasi la M23 na wanajeshi wa Congo yanaendelea.

Sehemu kubwa ya Jumuiya ya Kimataifa inaamini kwamba Rwanda inaunga mkono waasi wa M23, ambao walidai kuuteka mji wa Goma Mashariki mwa Congo wiki iliyopita.

Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wanaamini kuwa takriban wanajeshi wa Rwanda 3,000 hadi 4,000 wanawasaidia wapiganaji wa M23 Mashariki mwa DRC, huku wakiwazidi idadi waasi hao.
Umepotosha, hakusema hivyo. Kasema hajui kama wanajeshi wake wapo huko au hawapo, yaani hajui kitu kuhusu location ya jeshi lake
 
Jana nimepata mshtuko WA gafla NKAONA nkaagixe barcadi ninywe

Kiukweli M23 n Rwanda na un WANAJUA na wametoa ripoti yao

Hawa ma bwana wametuulia WANAJESHI WETU watiifu

Wamaua WANAJESHI WA south Africa 20 Malawi 11

uhai haujawahii kuuzwa ama kurudishwa

Wale WANAJESHI Wana familia zilikuwa zinawategemea



Sasaa Jana nimeshtuka kusikia eti. RAISI kagamae na RAISI WA congo wamekubali kuja kutatua mzozo WA DRC nchini


Hivi inaingia akilini unatuulia WANAJESHI WETU alafu uje kwenye nchi yetu tukufu

Rwanda wanapata nguvu ipi kuingia congo

Na sheria zipi zinawatuhusu kuingia congo

Hawa MKIWACHEKEA watavamia EAC nzima sio WATU waziri kabisa

Mnaposema wanakuja kusuluhishwa wanasuluhishwa vipi

Unavamia nchi ya watu usuluhishweee??

Hawa WANAHITAJI kichapoo wasafishike kama hamas warudi walipotokea

Hawa n magaidii WA EAC hawatakiwi HATA robo kuendelea kuwa DUNIAN wakiwa pale congoo

USHAURI tu sijui wanasuluhishwa

Ila kama ikimpendeza Mungu mama Yetu waende Kenya ama Uganda wasikanyage kabisa Tanzania

Kama n WIZI WA madini ripoti ya UN Iko wazi

Tunasuluhishaje WEZI wanavamia nchi za watuuuu

Ni matumaini Yangu na maombi Yangu kwa Mungu huyoo Bwana WA M23 aambiwe Toka congo else kichapoo kinakusogelea

Msitoe HATA nusu dk kuongea naeee YAAN kanyaga gusa tukutane kwako simple

Kila la kheri congo yetu
 
Jana nimepata mshtuko WA gafla NKAONA nkaagixe barcadi ninywe

Kiukweli ?23 n Rwanda na in WANAJUA na wametoa ripoti yao

Hawa ma bwana wametuulia WANAJESHI WETU watiifu

Wamaua WANAJESHI WA south Africa 20

uhai haujawahii kuuzwa ama kurudishwa

Wale WANAJESHI Wana familia zilikuwa zinawategemea



Sasaa Jana nimeshtuka kusiskia eti. RAISI kagamae na RAISI WA congo wamekubali kuja kutatua mzozo WA DRC


Hivi inaingia akilini unatuulia WANAJESHI WETU alafu uje kwenye nchi yetu tukufu

Rwanda wanapata nguvu ipi kuingia congo

Na sheria zipi zinawatuhusu kuingia congo

Mnaposema wanakuja kusuluhishwa wanasuluhishwa vipi

Hawa WANAHITAJI kichapoo wasafishike kama hamas watudi walipotokea

Hawa n magaidii WA EAC hawatakiwi HATA robo kuendelea kuwa DUNIAN wakiwa pale congoo

USHAURI tu sijui wanasuluhishwa n. Ila kama ikimpendeza Mungu mama Yetu waende Kenya ama Uganda wasikanyage kabisa Tanzania

Kama n WIZI WA madini ripoti ya UN Iko wazi

Tunasuluhishaje WEZI wanavamia nchi za watuuuu

Ni matumaini Yangu na maombi Yangu kwa Mungu huyoo Bwana WA M23 aambiwe yokaaa congo else kichapoo kinakusogelea

Msitoe HATA nusu dk kuongea naeee YAAN kanyaga gusa tukutane kwako simple

Kila la kheri congo yetu
Tuliza Monkari.
Wacha Diplomacy ifanye kazi yake!!
 
Tubaki na wajina wangu
Tolu anafanya watu wembamba waonekane Wana roho mbaya sana kitu ambacho sio kweli....jamaa ni mkorofi....tunam miss mzee wa msoga...shuguli kama hii ndo ingemfaa kumrudisha tolu kwny mstari
 
Tolu anafanya watu wembamba waonekane Wana roho mbaya sana kitu ambacho sio kweli....jamaa ni mkorofi....tunam miss mzee wa msoga...shuguli kama hii ndo ingemfaa kumrudisha tolu kwny mstari
Mpaka najuta kutumia hili jina humu
 
Back
Top Bottom