Kagame na Kenyatta kuongoza mkutano wa kibiashara EAC

Kagame na Kenyatta kuongoza mkutano wa kibiashara EAC

Tunasubiri wanyanyue kichwa tu ndo watajua how is small Rwanda- Yaan umekaa nakuwaza ktk kichwa chako umeona hivyo hayo maneno mnawaeleza warundi au watanzania? jaribu kua na akir walau kidogo jaman KWAMBA RWANDA NAYE ANAWEKA MKWALA KWA TZ!!!
 
Kenya officially middle income country, Tanzania ya JK na CHECHEMEA filthy poor of the poorest, na JK is on record hajui kwa nini Tz ni maskini licha ya nchi kuwa na raslimali nyingi! Shame upon him.

Tanzania haina biggest slum in the world kama ilivyo kenya.Nani maskini zaidi hapo? Kibera slum in nairobi is among the top five biggest slums in the world.Hivi wale mamilioni ya watu wa kibera na mathare kwenye jiji la nairobi nao wako kwenye kundi la middle income? UMELEWA statistics koko za wazungu.

CHECK kenya ilivyo kwenye rekodi ya slums duniani
5 Biggest Slums in the World
 
lazima una matatizo ya kufikiri. soma hapa.
Tanzania to grant citizenship to 200,000 Burundi refugees

....only TZ can do this in the world. Rwanda hata wahutu si mnawafukuza kuwa ni magaidi

Tanzania ilifukuza wahamiaji haramu hao maelfu waliopewa uraia walikuwa ni wahamiaji halali wa burundi.Tofautisha mhamiaji halali na haramu.Hao wa burundi tanzania hatukuwa na matatizo nao tofauti na wale wengine ambao walikuwa wakiishi kitapeli kwa kujificha na kulaghai mara wasingizie kabila la watu wajiite wahangaza sijui wa nini.
 
Tunasubiri wanyanyue kichwa tu ndo watajua how is small Rwanda- Yaan umekaa nakuwaza ktk kichwa chako umeona hivyo hayo maneno mnawaeleza warundi au watanzania? jaribu kua na akir walau kidogo jaman KWAMBA RWANDA NAYE ANAWEKA MKWALA KWA TZ!!!

yoyote yule atakaye lianzisha bila maadili ajuye kaisha na si mkwara hata kidogo hilo jeshunalosifia ni ipindi cha Nyerere(RIP) hv washakuwa maskout ndugu yangu! kiongozi mwenyewe msanii unafikiri nguvu zakumobilize zitatoka wapi? hv mnafikiri vita ni mchezo? usitishike na ile show waliyocheza na M23 kutokana mkwanja wa UN na Paris ukafikiri ile ndio picha halisi! ila naona mnahamu na vita kweli, usiwe na wasi nasikia dhaifu, Nkrunziza wako na vidili vya aina hiyo, dogo Kabila kawaambia mziki huo nshaucheza naujua naomba muwachukue muwapeleke Burundi mkauchezee huko.
ndio maana umeanza kusikia mambo ya mto Rweru maana chinja chinja huwahawachelewi lkn kama kawaida yetu UN uwa tunaitahadhari lkn hatusubiri maji yazidi kikombe kama 94 na hilo wanalijua vema sasa nyie subilini kidoooogo sana mtume scout wenu ndio mtajua electronic music sio sindimba
 
Na wote wakiwa huku wanamchukia sana, hata watus wenzake. Wanasema kapitiliza kwa ubaguzi hata ndani ya watusi, anapendelea ukoo wake tu. Ambao wengi walikuwa uganda

kwa kuongezea tu mkuu. Kama mwalimu alivyosema ukianza ubaguzi utaendelea tu. watutsi wana makundi matatu: abanyiginya, abega halafu watutsi wa kawaida (commoners). Hayo makundi mawili ya mwanzo ndio wale watutsi typical kama kina kagame au madam rita, ambao ukiwaona tu urefu na makomwe unawajua mara moja wana damu za kitutsi toka kwa baba au mama, hawa commoners ambao ndio walio wengi kwa hivi sasa mpaka uambiwe kuwa ni watutsi, maana wengi wako kawaida kawaida hawana tofauti na wahutu au hata wabongo for that matter.
Wafalme huwa LAZIMA watoke ukoo wa Abanyiginya, lakini malkia LAZIMA watoke ukoo wa Abega. Kagame anatokea Abega na hata malkia wa mwisho Rwanda ni mama yake mkubwa kagame! Miaka ya 1800 huko malkia mmoja wa Abega alifanya mapinduzi akaweka mtu wa Abega awe mfalme. Tangu hapo koo hizi mbili za Abega na Abanyiginya zikawa na ugomvi mzito wa kugombania madaraka. Hivyo hata ukikusanya watutsi pamoja, wataanza kupangana hapo hapo kulingana na nani abega nani abanyiginya na nani ----- (commoners). Wahutu walivyopindua, waliobaki ambao ndio wengi ni wale commoners ambao hawakuwa na shida sana na wahutu kwani ingawa walipendelewa lakini bado hali zao hazikuwa tofauti sana na wahutu. Ila waliokimbia wengi walikuwa ni hizi koo mbili za wale wafalme, ndio maana hata ukiangalia "waasi" wa DRC utajua tu kina Nkunda, kina ntaganda, kina makenga ni watutsi dizaini gani. hawa walikimbia kutawaliwa na wahutu zaidi kuliko kunyanyaswa kama wanavyodai. Ndio maana majority ya watutsi waliendelea kubaki Rwanda muda wote.
Sasa hicho unachokisema ni kweli kabisa na ubaguzi ulianzia toka uganda huko. Inasemekana hata yule kamanda wa mwanzo wa RPF Fred Rwigema aliuawa kwa ugomvi huu wa abega vs abanyiginya kugombania kuongoza RPF. Hata ugomvi ulitokea pale Museveni alipomsifia Rwigema kuwa yeye ndie alifanya kazi kubwa RPF cheki hapa: The Observer - Museveni stirs anger in Rwanda.
Na ndio sababu kubwa kwa nini wafalme wa Rwanda hawataki kurudi Rwanda ili hali nao ni watutsi! Imagine hata prince Rwigemera wa ukoo wa mfalme Ndahindurwa alikufa akiwa dereva tax ubelgiji! King kigeli bado yu hai anaishi nyumba za watu maskini marekani, anatumia food stamps (msaada wa chakula)! Wakati huku nyumbani kagame ameuza mali za mfalme na hata yale majumba ya mfalme anayabomoa! eti anaboresha kigali! Hii yote ni kwa sababu ya chuki dhidi ya abanyiginya clan, kwani mfalme akirudi ingawa hatakuwa rais, ile tu kuwapo kutafanya watutsi wamheshimu kuliko kagame ambaye anatokea ukoo wa malkia!je kwa nini koo za wafalme wa Rwanda hawataki kurudi Rwanda, wakati wao ni watutsi au na wao FDLR? Hili swali ukiwauliza hawa "jamaa" humu sijui watajibuje....

so you are very right, vyeo vya Rwanda vinaenda kwa watutsi hawa wa koo hizi mbili, wakati hawa french speakers ambao most of them ni commoners na ndio majority wanatengwa au wanapewa vyeo visivyo na uzito, vyeo vikubwa vyenye maamuzi mazito lazima uwe abega au Abanyiginya. kwa hiyo mtiririko ni: abega/abanyiginya from uganda, abega/abanyiginya from Rwanda, common tutsis, halafu unamalizia na Hutu. Ila kwenye mambo mazito kama jeshi, urais n.k hapo tunarudi tena kwenye Abega vs Abanyiginya.
 
Wacha waendelee bana. Sisi tujifariji na u sleeping giant wetu kila siku kujivunia milima,mito, mbuga, gesi sijui nini wakati wenzetu wanajipanga. Si tunajigamba na rasilimali lakini kutwa kuomba misaada.
Wenzetu wanaamua kujikwamua kwa nguvu zao sisi tunategemea za nje sababu hatuwezi na tunajiwekea vikwazo kuwa wawekezaji wakubwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
Tunaendelea kujidanganya EAC haiwezi bila sisi, wakati sisi ndio waoga kufa kujiunga kwa sababu tunajijua mapungufu yetu ila hatuyakubali na hivyo kamwe hatuwezi kuyarekebisha.
Utasikia oo mbona makampuni ya nje yanaajiri wakenya tu sana sana. Ooo tukikubali EAC watakuja wakenya na warwanda kuvamia ardhi yetu! Sasa kama sisi tunashindwa kujiendeleza si ndio itakua matokeo yenyewe hayo.
Tunaendekeza siasa wenzetu wanakomalia elimu na maendeleo ya kiuchumi. Sisi tunaleta div 5, kufaulisha ambao hata hawapo darasani achana na ambao hawajui kusoma.

Badala ya kuona na kukubali mapungufu ili tujipange kama taifa tunafikiri kwa kukataa tu kwa nguvu basi itakua kweli. Dah nchi yangu aisee.
Rwanda huyo katoka juzi tu kwenye vita ila sasa hivi mrwanda atakua mtu wa maana na kuheshimika duniani kuliko mtanzania. Ila haina shida, kwanza hawana mbuga, gesi, mafuta mito na mabonde kama sisi!

Wewe unaisoma Rwanda kwenye magazeti na internet. Na wenzako wengi humu JF. Tuko huku mguu ndani mwingine nje. Hiyo ipo kama kama haipo. Kagame akiondoka hakuna Rwanda mzee
 
hello Jumali been looking for you all day long! didn't know you brought your poison this side? anyway back to your obvious questions/suggestions, those fellows were in Tanzania long time ago, they ddn't know what was happening in Rwanda just like your relatives in the jungle of Congo but now they are enjoying a national cake, mark my words you will never see them in Tanzania again may be for business reasons! next time ntakutumia picha zao uwezi kuamini walivyonawili lkn hata hivyo we mbona ni bingwa wakugoogle uwe unachekicheki basi n nyuzi za home sio kushinda unatafuta sumu tu labda unaweza kubadili mawazo nakurudi home au unamsubili msanii alivyowaahidi kurudi nyumbani kwa malidhiano? kwa taarifa yako huyo msanii watanzania walishachoka nae atabiriki usije kushangaa akiwageuka eti ooh mnakimavi mbona kila akijaribu eti mambo hayakubali hizo pesa za wafaransa bora mzichukue wenyewe maana zikisha isha ndio mtamjua na membe wake.
Real tanzania were at the time of Nyerere(RIP) when he supported revolutionaries in Africa by conviction and not corruption like dhaifu

Another, KOBA, MAHORO and MURUTONGORE, jisifieni kwa ujinga wenu, eti Rwanda wanapata wanachotaka ni Rwanda ipi unayoizungumzia, ya Kagame?
 
Tanzania ilifukuza wahamiaji haramu hao maelfu waliopewa uraia walikuwa ni wahamiaji halali wa burundi.Tofautisha mhamiaji halali na haramu.Hao wa burundi tanzania hatukuwa na matatizo nao tofauti na wale wengine ambao walikuwa wakiishi kitapeli kwa kujificha na kulaghai mara wasingizie kabila la watu wajiite wahangaza sijui wa nini.

Mkuu wasipokuelewa hapo hawatokuelewa tena
 
Tanzania haina biggest slum in the world kama ilivyo kenya.Nani maskini zaidi hapo? Kibera slum in nairobi is among the top five biggest slums in the world.Hivi wale mamilioni ya watu wa kibera na mathare kwenye jiji la nairobi nao wako kwenye kundi la middle income? UMELEWA statistics koko za wazungu.

CHECK kenya ilivyo kwenye rekodi ya slums duniani
5 Biggest Slums in the World


Jielimishe - https://www.jamiiforums.com/the-lounge/744229-just-how-big-is-kibera.html#post10919269
 
Back
Top Bottom