Kagame na Uhuru watunukiwa kama viongozi bora Afrika na Mashariki ya Kati

Hakuna demokrasia et!! vizuri sheria ile haina lolote na wala haipo ktk vichwavyetu, tunakamaua live hakuna la sheria hapa ongelea mengine kenyatta kupewa tuzo lipi kafanya upuzi tu
 
Nilitoka kumwambia mwenzako muda si mrefu kwamba hao Mabibi ni zawadi kwenu...! Tena haswa kwenu nyinyi WAKIKUYU ambao mmechoka na ile kauli ya Kenyan Mamaz wanayosema "UKIMALIZA NIFUNIKE".
Du! umelala na gogo!!
 
Haaa! Rwanda anatunyima usingizi sie kivipi? unajua usidharau ukapindukia rwanda!!! Vituko ungelea mada hapo tuache hayo
 
Tukumbuke yaliyopita!
 

Which issue do we need evening classes to discuss?

Vinginevyo nitakurushia lugha isiyofaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…