Kagame: Tupo Tayari kumpiga Tshisekedi

Kagame: Tupo Tayari kumpiga Tshisekedi

Sidhani kama mimi au mwingine anaweza kukupinga kwa reply yako.

Ila mimi nakupinga kwa hiki hapa; Hao watusi waliopo Kongo wanatumika vibaya na PK, yaani majeshi ya M23 yanaiba mali wakijifanya Watusi na kupeleka Kigari.

How come Kigari iwe moja ya nchi wauzazi wa madini ghari ambayo hawana na hawana ubia na nchi yoyote wa kuchimba na kuyarudufu, achilia mbali kuuza?.
Kenya hapo mbona ndio inaongoza kuuza Madini ya Tanzanite wakati yanapatikana Tanzania tu hapo vipi?
 
Vita siyo ukubwa wa nchi, vita ni intelejensia, kama jeshi la DRC wameshindwa kutokomeza waasi wa M23 ndo wataweza kumpiga Rwanda? Leo Israel yenye eneo kama mkoa wa Kilimanjaro inawajambisha mataifa ya kiarabu makubwa na yenye population kubwa. Vita ni mbinu, ubora wa jeshi na uzalendo, silaha, tumeona jeshi la Rwandan walivyoingia Mozambique waasi walinywea
Vurugu ya kikundi si sawa na all out war ya taifa na taifa.
DRC ikisema itumie military personnel wake wote na resources zake zote RWANDA haitaweza kupona.
Hiyo Israel unayoisemea unafadhiliwa na USA na UK.
Yenyewe kama yenyewe haina ubavu,na ishaishiwa askari imeanza kulazimisha raia wawe wanajeshi kilazima.
Juzi imetoa waraka Jews Ultra Orthodox nao wajumuishwe katika jeshi kwa kutoa vijana kama 30k,
Orthodox wakaandamana.
Kifupi usifananishe vita ya kikundi cha kiasi na jeshi kwa jeshi.
 
Kenya hapo mbona ndio inaongoza kuuza Madini ya Tanzanite wakati yanapatikana Tanzania tu hapo vipi?
Sijui kama tunajadili huku unaelewa tunachojadiliana..?

Je, hao wakenya wana uhasama, uvamizi wowote kwa tz?
 
Poor Africans! Badala ya kukaa vikao kujadili namna ya kuwahudumia wananchi wa mataifa yenu DUNI mnatambiana vita?

Hali ilivyo mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni mbaya sana! Kuna watu wanateseka hapa duniani na serikali Yao Ina msaada dhaifu sana.
Kagame asijipe kiburi Cha kukimbilia vita. Ni kitu hatari kwa nchi duni za ukanda huu wa Maziwa makuu.

Rwanda bado Haina nguvu ya kuhimili vita rasmi na taifa jingine ingawa Wana silaha kiasi za kisasa.
Hiki cha mwisho ulichokisema ndio kinachompa kiburi. Kiufupi jamaa amelelewa na amekua katika mazingira ya "Survive for the fittest " na kwasababu mataifa ya ukanda wa Mashariki mwa Africa yamezubaa ndio kete anayoitumia kujiimarisha na kuitengeneza nchi yake. Tusimlaumu kwasababu sisi wengine hatuna viongozi/wanasiasa wenye visions za vizazi vyao vijavyo bali wanaangalia matumbo yao yatajaaje kipindi bado wapo madarakani. Kagame is a dictator for the good future of his country
 
Yaani rwanda iipige dr congo, kagame yuko serious au anatania?
Unakijua unachokisema!?...

Unaijua intelligencia ya Rwanda!?... Rwanda aipige mara ngapi DRC!?....

Na kila siku ni Rwanda huyohuyo anampiga DRC mashariki ya Congo!?

Rwanda ndie anaefanya Congo kila siku iko vitani.
 
Back
Top Bottom