TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
- Thread starter
- #61
Rwanda inaendesha uchumi wake kwa malighafi kutoka DRC.Huyu Kagame anaongea nini sasa?
Hivi anadhani kuna mtu hajui kwamba muda wote amekuwa vitani na DRC?
Anadhani kuna mtu hajui kuwa yeye ndio M23?
A 'fight' DRC mara ngapi?
Yule mzee naona anazeeka sasa!
PK anaona kabisa mipango yake ya kuijenga Kigari ita_fail baada ya M23 kufurushwa, so anataka vita ili wanaompa msaada wampushi kuiharibu Kinshasa.