Kagame: Tupo Tayari kumpiga Tshisekedi

Kagame: Tupo Tayari kumpiga Tshisekedi

Kagame hawezi vita. Hakuna nchi inaeeza vita hasta Tanzania. War is expensive and has devastating effects
 
Hawezi Kongo Ina population ambayo ni five times ya Rwanda,ni ngumu sana
Mkuu, population inahusiana nini na Ushindi Katika Vita?

Kuwa na Jeshi kubwa na idadi kubwa ya watu haikupi guarantee ya Ushindi!

Japokuwa siwapendi wazayuni,lakini pamoja na udogo wao walizishinda Egypt,Jordan na Syria kwenye Vita ya siku 6 tu!

Hii kauli yake sio ya kupuuzwa.

Jeshi lao liko modern sana, mpaka wanaongea hivyo jua wamejipanga!

Ukiona Kobe yupo juu ya Mti ujue Kapandishwa huyo...!

Watu wako MACHO.
 
Poor Africans! Badala ya kukaa vikao kujadili namna ya kuwahudumia wananchi wa mataifa yenu DUNI mnatambiana vita?

Hali ilivyo mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni mbaya sana! Kuna watu wanateseka hapa duniani na serikali Yao Ina msaada dhaifu sana.
Kagame asijipe kiburi Cha kukimbilia vita. Ni kitu hatari kwa nchi duni za ukanda huu wa Maziwa makuu.

Rwanda bado Haina nguvu ya kuhimili vita rasmi na taifa jingine ingawa Wana silaha kiasi za kisasa.
Kwamba haina nguvu? Jichanganye. Ukweli kuna mambo ya ajabu,na huko kutambiana vita kunaathiri raia wa kawaida si viongozi.
 
Vita siyo ukubwa wa nchi, vita ni intelejensia, kama jeshi la DRC wameshindwa kutokomeza waasi wa M23 ndo wataweza kumpiga Rwanda? Leo Israel yenye eneo kama mkoa wa Kilimanjaro inawajambisha mataifa ya kiarabu makubwa na yenye population kubwa. Vita ni mbinu, ubora wa jeshi na uzalendo, silaha, tumeona jeshi la Rwandan walivyoingia Mozambique waasi walinywea
Nyoko waasi gani wa Msumbiji walinywea mwezako yuko Msumbiji kulinda eneo wanalochimba mafuta mfaransa sio unalopoka lopoka tu
 
View attachment 3022190
“We are ready to fight if necessary with the DR Congo, we are not afraid of anything….."

Anaendelea kusema
" Tshisekedi is using FDLR ideology against his own people , If you accuse other people of what you are guilty of, it is that something is wrong in your head"
Akithubutu tu atakuta watu wapo Kigali kitambo. Ngoja aendelee kujiaminisha kuwa ana Jeshi imara.
Hiyo nadharia aliyoiongea ndiyo mtego aliotegewa, ngoja auingie
 
Poor Africans! Badala ya kukaa vikao kujadili namna ya kuwahudumia wananchi wa mataifa yenu DUNI mnatambiana vita?

Hali ilivyo mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni mbaya sana! Kuna watu wanateseka hapa duniani na serikali Yao Ina msaada dhaifu sana.
Kagame asijipe kiburi Cha kukimbilia vita. Ni kitu hatari kwa nchi duni za ukanda huu wa Maziwa makuu.

Rwanda bado Haina nguvu ya kuhimili vita rasmi na taifa jingine ingawa Wana silaha kiasi za kisasa.
Pia Rwanda nchi dogo sana ni kama mkoa wa Mwanza
 
Kwamba haina nguvu? Jichanganye. Ukweli kuna mambo ya ajabu,na huko kutambiana vita kunaathiri raia wa kawaida si viongozi.
Nijichanganye wapi? Au unakaririshwa stori za vijiweni?
 
Museveni kamtoa Obote, rafiki wa Nyerere, huo msaada wa Tanzania kautoa wapi wakati miaka 80 nchi ilikuwa inapumulia machine.
Kagame alikuwa Chief Military Intelligence wa Museveni kuanzia msituni mpaka ndani ya serikali yake .
Walipigana wakitokea nchi gani?
 
Kwa East,central and southern Africa Rwanda ndie super power kwa sasa.

So anachosema Mr Paul habaatishi bali anamaanisha.

Nguvu na uwezo wa Rwanda kijeshi kwa sasa ukanda huu hakuna wa kumfikia!

Takwimu za uwanja wa mapmbno ambako RDF anashiriki zinajieleza wazi.

Huwezi kubeza nguvu ya jeshi kwa kigezo cha udogo wa nchi.

Chukulia mfano tu wa DRC. Rwanda ndie mwenye maamuzi ya nini kiendelee DRC , kwa muda gani na wkati gani
 
Vita ya Africa is all about number.



🤣 🤣 Asilewe sifa za kufananishwa na Israel.

Israel ana mabomu karibu 90 ya Nyuklia akiona vita inakuwa ngumu anatumia 1 Moja vita inaisha
 
View attachment 3022190
“We are ready to fight if necessary with the DR Congo, we are not afraid of anything….."

Anaendelea kusema
" Tshisekedi is using FDLR ideology against his own people , If you accuse other people of what you are guilty of, it is that something is wrong in your head"
Huyu Kagame anaongea nini sasa?

Hivi anadhani kuna mtu hajui kwamba muda wote amekuwa vitani na DRC?

Anadhani kuna mtu hajui kuwa yeye ndio M23?

A 'fight' DRC mara ngapi?

Yule mzee naona anazeeka sasa!
 
Israel ana mabomu karibu 90 ya Nyuklia akiona vita inakuwa ngumu anatumia 1 Moja vita inaisha
Aisee
mafundisho ya hawa mitume wa kilokole yanatakiwa kufungiwa kama Kagame alivyofanya, kama huna digrii ya upupu wa theologia hakuruhusu ufungue kanisa, sio huku bongo ndio kina mtume mwamposa wanawapembela na hizi intel za israel ambazo hata netanyau wamemficha.
 
Hako kapuuzi huwa kanajiona kenyewe kako juu ya kila kitu. Kisa tu kanatumiwa na Mabeberu kusababisha ukosefu wa amani huko Congo, ili raslimali ziporwe.
lakini wa ukae DRC si iko na machafuko toka PK anajikojolea kwenye nepi. DRC inavurugwa na watu wake wenyewe.
 
Back
Top Bottom