Kenya hapo mbona ndio inaongoza kuuza Madini ya Tanzanite wakati yanapatikana Tanzania tu hapo vipi?Sidhani kama mimi au mwingine anaweza kukupinga kwa reply yako.
Ila mimi nakupinga kwa hiki hapa; Hao watusi waliopo Kongo wanatumika vibaya na PK, yaani majeshi ya M23 yanaiba mali wakijifanya Watusi na kupeleka Kigari.
How come Kigari iwe moja ya nchi wauzazi wa madini ghari ambayo hawana na hawana ubia na nchi yoyote wa kuchimba na kuyarudufu, achilia mbali kuuza?.
Vurugu ya kikundi si sawa na all out war ya taifa na taifa.Vita siyo ukubwa wa nchi, vita ni intelejensia, kama jeshi la DRC wameshindwa kutokomeza waasi wa M23 ndo wataweza kumpiga Rwanda? Leo Israel yenye eneo kama mkoa wa Kilimanjaro inawajambisha mataifa ya kiarabu makubwa na yenye population kubwa. Vita ni mbinu, ubora wa jeshi na uzalendo, silaha, tumeona jeshi la Rwandan walivyoingia Mozambique waasi walinywea
Hiki cha mwisho ulichokisema ndio kinachompa kiburi. Kiufupi jamaa amelelewa na amekua katika mazingira ya "Survive for the fittest " na kwasababu mataifa ya ukanda wa Mashariki mwa Africa yamezubaa ndio kete anayoitumia kujiimarisha na kuitengeneza nchi yake. Tusimlaumu kwasababu sisi wengine hatuna viongozi/wanasiasa wenye visions za vizazi vyao vijavyo bali wanaangalia matumbo yao yatajaaje kipindi bado wapo madarakani. Kagame is a dictator for the good future of his countryPoor Africans! Badala ya kukaa vikao kujadili namna ya kuwahudumia wananchi wa mataifa yenu DUNI mnatambiana vita?
Hali ilivyo mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni mbaya sana! Kuna watu wanateseka hapa duniani na serikali Yao Ina msaada dhaifu sana.
Kagame asijipe kiburi Cha kukimbilia vita. Ni kitu hatari kwa nchi duni za ukanda huu wa Maziwa makuu.
Rwanda bado Haina nguvu ya kuhimili vita rasmi na taifa jingine ingawa Wana silaha kiasi za kisasa.
Unakijua unachokisema!?...Yaani rwanda iipige dr congo, kagame yuko serious au anatania?