Kagame, very smart and powerful president here in East Africa

Kagame, very smart and powerful president here in East Africa

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Kwa kile anachofanya huko Goma kwa kutumia M23 Kagame anapaswa kupongezwa sana. Nchi nyingi zimemshindwa. Zimeshindwa kumdhibiti. Huyu jamaa ni kigezo cha kupima tunapotaka chagua Rais.

Unamwona anapoongea anapotembea ana akili. Unaona tu ana kitu. Tunapaswa kuzingatia hili tunapoenda chagua Rais 2025. Safari hii tuangalie Rais mwenye akili na ufaham wa haya mambo kwa kina.

Hujiulizi yeye anafadhili tu hao M23. Angalia majeshi yanayopigana naye ni kutoka nchi ngapi ukanda huu na hata SA? Na bado wanaenda wanamgwaya. Jamaa wala haongei sana. Anatembeza tu kipigo. Inashangaza sana. Hivi haiwezekani kumchagua akaja kuwa Rais wa Tanzania kwa hata miaka 5?

Anahitajika Rais wa namna yake kwa kweli ambaye hatoangalia maslah yake binafsi na watu wake. Bali nchi yote.
 
Kagame, one of the most hopeless rulers Africa has have, under his ruthless and at times erratic rule the central African country of Rwanda has become a human abbatoir where only people who are likely to survive are those who adore and eulogize him.

In a situation where your views are deemed to be at variance with those held by the lanky Rwandese despot it's when it becomes obvious that you're living on a borrowed time.

Needless to say, Kagame is one of the handful of dictators who still remain on the African continent ruling with an iron fist and not tolerating even the slightest opposition to his rule.

The people of Rwanda are anxiously waiting for the miracle day to come when it will be known that Kagame is no more either dead or toppled and is when they will have a new lease of hope of achieving the Rwanda they profoundly want.
 
aisee dah uyo kagame nomaa imebidi mwenzenu nipo apa mpakani mtukula nimerelaxi kidogo , nataka nikojozwe chap na hawa mashangaz tukingoja mambo yatulie huko congoo....napiga show la kibabeee
View attachment 3215545
Baadaye ukipata ajali uje kulia kulia.......bebelea hizo nuksi uzilete kwa familia yako........muwe mnalipuka mapepo kama mabomu kwenye nyumba yako
 
Kwa kile anachofanya huko Goma kwa kutumia M23 Kagame anapaswa kupongezwa sana. Nchi nyingi zimemshindwa. Zimeshindwa kumdhibiti. Huyu jamaa ni kigezo cha kupima tunapotaka chagua Rais.

Unamwona anapoongea anapotembea ana akili. Unaona tu ana kitu. Tunapaswa kuzingatia hili tunapoenda chagua Rais 2025. Safari hii tuangalie Rais mwenye akili na ufaham wa haya mambo kwa kina.

Hujiulizi yeye anafadhili tu hao M23. Angalia majeshi yanayopigana naye ni kutoka nchi ngapi ukanda huu na hata SA? Na bado wanaenda wanamgwaya. Jamaa wala haongei sana. Anatembeza tu kipigo. Inashangaza sana. Hivi haiwezekani kumchagua akaja kuwa Rais wa Tanzania kwa hata miaka 5?

Anahitajika Rais wa namna yake kwa kweli ambaye hatoangalia maslah yake binafsi na watu wake. Bali nchi yote.
Mpuuzi tu,unawaumiza waafrika wenzio halafu kurwa kuwasema wazungu
 
Aliweza kukomesha mauaji ya kimbari dhidi ya jamii yake wakati UN ilikuwa mtazamaji tu.

Na sasa hivi anazuia Mauaji ya kimbari dhidi ya jamii za Kitutsi huko mashariki mwa Kongo.

Anastahili pongezi.
Mauaji ya kimbari yalisababishwa na kutunguliwa kwa ndege ya rais,na wote tunajua akina nani waliitungua,watu waliouawa Rwanda 1994 wanazidi idadi ya watutsi wsliokuwepo Rwanda kipindi hicho,so ni wazi waliouawa wengi ni wahutu,huko goma kinachofuatwa ni madini na si kuuawa watutsi
 
Mauaji ya kimbari yalisababishwa na kutunguliwa kwa ndege ya rais,na wote tunajua akina nani waliitungua,watu waliouawa Rwanda 1994 wanazidi idadi ya watutsi wsliokuwepo Rwanda kipindi hicho,so ni wazi waliouawa wengi ni wahutu,huko goma kinachofuatwa ni madini na si kuuawa watutsi
Weka ushahidi.
 
Aliweza kukomesha mauaji ya kimbari dhidi ya jamii yake wakati UN ilikuwa mtazamaji tu.

Na sasa hivi anazuia Mauaji ya kimbari dhidi ya jamii za Kitutsi huko mashariki mwa Kongo.

Anastahili pongezi.
Kama huko mashariki anazuia.. Na hawa vijana wetu wanaotumwa kwenda kulinda huko wanaenda kufanya nini
 
Kwa kile anachofanya huko Goma kwa kutumia M23 Kagame anapaswa kupongezwa sana. Nchi nyingi zimemshindwa. Zimeshindwa kumdhibiti. Huyu jamaa ni kigezo cha kupima tunapotaka chagua Rais.

Unamwona anapoongea anapotembea ana akili. Unaona tu ana kitu. Tunapaswa kuzingatia hili tunapoenda chagua Rais 2025. Safari hii tuangalie Rais mwenye akili na ufaham wa haya mambo kwa kina.

Hujiulizi yeye anafadhili tu hao M23. Angalia majeshi yanayopigana naye ni kutoka nchi ngapi ukanda huu na hata SA? Na bado wanaenda wanamgwaya. Jamaa wala haongei sana. Anatembeza tu kipigo. Inashangaza sana. Hivi haiwezekani kumchagua akaja kuwa Rais wa Tanzania kwa hata miaka 5?

Anahitajika Rais wa namna yake kwa kweli ambaye hatoangalia maslah yake binafsi na watu wake. Bali nchi yote.
Mimi naona kinyume chake. Ningemwoña jinsi umwonavyo endapo angetimiza malengo yake pasipo kumwaga damu.
 
Kwa kile anachofanya huko Goma kwa kutumia M23 Kagame anapaswa kupongezwa sana. Nchi nyingi zimemshindwa. Zimeshindwa kumdhibiti. Huyu jamaa ni kigezo cha kupima tunapotaka chagua Rais.

Unamwona anapoongea anapotembea ana akili. Unaona tu ana kitu. Tunapaswa kuzingatia hili tunapoenda chagua Rais 2025. Safari hii tuangalie Rais mwenye akili na ufaham wa haya mambo kwa kina.

Hujiulizi yeye anafadhili tu hao M23. Angalia majeshi yanayopigana naye ni kutoka nchi ngapi ukanda huu na hata SA? Na bado wanaenda wanamgwaya. Jamaa wala haongei sana. Anatembeza tu kipigo. Inashangaza sana. Hivi haiwezekani kumchagua akaja kuwa Rais wa Tanzania kwa hata miaka 5?

Anahitajika Rais wa namna yake kwa kweli ambaye hatoangalia maslah yake binafsi na watu wake. Bali nchi yote.
Watu wanauliwa kama kuku wewe unamuita mtu smart,ana usmart gani?
Enyi watanzania acheni mizaha ya ajabu,halafu Kuna hii mentality ya kitanzania ya kuwahusudu sana madiktator na kuwaona wapo smart..
Sioni usmart wowote ule wa Kagame katika hili only if he is involved.
Unakuwaje na amani kaona ndugu yako kwenye Jumuiya moja anapoteza nguvu Kazi,watoto na wamama Pamoja na binadamu wengine kwa just what you call kutanguliza maslahi mapana ya nchi Yako?
Ni aina gani ya ukristo alionao huyu jamaa,
 
Uyu jamaa hata silaha za jeshi lake ni hatari jamaa yuko seriouse sio kama wale wa Bus za Yutong zingine waka peleka kwa Chama
 
Back
Top Bottom