Kagame, very smart and powerful president here in East Africa

Kagame, very smart and powerful president here in East Africa

Kwa kile anachofanya huko Goma kwa kutumia M23 Kagame anapaswa kupongezwa sana. Nchi nyingi zimemshindwa. Zimeshindwa kumdhibiti. Huyu jamaa ni kigezo cha kupima tunapotaka chagua Rais.

Unamwona anapoongea anapotembea ana akili. Unaona tu ana kitu. Tunapaswa kuzingatia hili tunapoenda chagua Rais 2025. Safari hii tuangalie Rais mwenye akili na ufaham wa haya mambo kwa kina.

Hujiulizi yeye anafadhili tu hao M23. Angalia majeshi yanayopigana naye ni kutoka nchi ngapi ukanda huu na hata SA? Na bado wanaenda wanamgwaya. Jamaa wala haongei sana. Anatembeza tu kipigo. Inashangaza sana. Hivi haiwezekani kumchagua akaja kuwa Rais wa Tanzania kwa hata miaka 5?

Anahitajika Rais wa namna yake kwa kweli ambaye hatoangalia maslah yake binafsi na watu wake. Bali nchi yote.
ALIKUWEPO MKAMUUA
 
Huyo Kagame hapo anatumika tu na wakubwa, siku wakimchoka watatupa kule mbali
Wala hakuna wakubwa wanaomtumia Kagame, hivyo ni visingizio tu vya waafrika kwani wao kila tatizo lao lazima atafutwe mchawi na ndio maana bara la Afrika limebaki kichekesho duniani.

Bara kama la Asia miaka ya nyuma baada ya kugundua walipokuwa wanakosea walikubali kufanya masahihisho na leo sio wenzetu tena.

Sasa ili Afrika ije ifikie hatua hiyo ya Asia, itabidi watu wenye fikra za kijinga kama nyie kizazi chenu kwanza kitoweke na kije kile chenye kuweza kukaa na kubadili ile mindset yao basi ndipo Afrika itaanza safari ya maendeleo.
 
Huyu ni mmoja wa Viongozi wabaya kabisa kutokea katika bara la Afrika.
Huyu ni jambazi,gaidi,mwizi,mkabila, mpenda madaraka, dictator, fascist na muuaji.
Hana tofauti na akina Bokassa,Botha,Mobutu,Iddi na Boko Haram.
 
kagame anajiweza achokoze TANZANIA aone atakavyochapika
Usijidanganye, elewa kwamba hii TPDF ya sasa sio ile iliyopigana vita na Idi Amin wala iliyokuwa ikishiriki katika zile vuguvugu za ukombozi kusini mwa Afrika.

Baada ya kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi vya kisiasa hili jeshi limekuwa politicized sana na kuifanya iathirike sana in terms of patriotism, skills and on the levels of professionalism which definitely means a clear victory in a battle with any dedicated opponent can surely hang in balance.
 
Wala hakuna wakubwa wanaomtumia Kagame, hivyo ni visingizio tu vya waafrika kwani wao kila tatizo lao lazima atafutwe mchawi na ndio maana bara la Afrika limebaki kichekesho duniani.

Bara kama la Asia miaka ya nyuma baada ya kugundua walipokuwa wanakosea walikubali kufanya masahihisho na leo sio wenzetu tena.

Sasa ili Afrika ije ifikie hatua hiyo ya Asia, itabidi watu wenye fikra za kijinga kama nyie kizazi chenu kwanza kitoweke na kije kile chenye kuweza kukaa na kubadili ile mindset yao basi ndipo Afrika itaanza safari ya maendeleo.
sawa mwenye akili
 
Hakuna jambo lolote lisilo na ukomo. Mwisho wake utafika tu na yeye.
 
Rwanda Iko overrated ni kaeneo kadogo tu, Si alipishana Na Mkwere uyo Ikaja mpaka Operation Kibunga 2014 mbona Hakuna Kitu alijaribu kufanya
 
Ushahidi wa kipi?!..1994 palikua na watutsi laki nane tu Rwanda,watu waliouawa milioni na zaidi,watusi bado wapo Rwanda,maana yake hawakuuawa wote,so wengi waliouawa ni wahutu
Ninekuuliza source ya madai yako.acha kubwabwaja.
 
wa kile anachofanya huko Goma kwa kutumia M23 Kagame anapaswa kupongezwa sana. Nchi nyingi zimemshindwa. Zimeshindwa kumdhibiti. Huyu jamaa ni kigezo cha kupima tunapotaka chagua Rais.

Unamwona anapoongea anapotembea ana akili. Unaona tu ana kitu. Tunapaswa kuzingatia hili tunapoenda chagua Rais 2025. Safari hii tuangalie Rais mwenye akili na ufaham wa haya mambo kwa kina.

Hujiulizi yeye anafadhili tu hao M23. Angalia majeshi yanayopigana naye ni kutoka nchi ngapi ukanda huu na hata SA? Na bado wanaenda wanamgwaya. Jamaa wala haongei sana. Anatembeza tu kipigo. Inashangaza sana. Hivi haiwezekani kumchagua akaja kuwa Rais wa Tanzania kwa hata miaka 5?

Anahitajika Rais wa namna yake kwa kweli ambaye hatoangalia maslah yake binafsi na watu wake. Bali nchi yote.
we kwl ni banyamulenge, huna ht haya
 
Kagame, one of the most hopeless rulers Africa has have, under his ruthless and at times erratic rule the central African country of Rwanda has become a human abbatoir where only people who are likely to survive are those who adore and eulogize him.

In a situation where your views are deemed to be at variance with those held by the lanky Rwandese despot it's when it becomes obvious that you're living on a borrowed time.

Needless to say, Kagame is one of the handful of dictators who still remain on the African continent ruling with an iron fist and not tolerating even the slightest opposition to his rule.

The people of Rwanda are anxiously waiting for the miracle day to come when it will be known that Kagame is no more either dead or toppled and is when they will have a new lease of hope of achieving the Rwanda they profoundly want.
Kuna dereva mmoja wa rwanda alikua ananiambia akija Tanzania huwa anapata faraja sana
yuko huru kuongelea siasa na uhuru wa kufanya mambo mengi ambayo rwanda hawezi yafanya
 
Back
Top Bottom