Kagame, very smart and powerful president here in East Africa

Huyo ni kibaraka mtiifu wa US damu inamwagika kwa tamaa ya madaraka na afrika inaendelea kuwa maskini huku utajiri wake ukiendekea kutajirisha America.
 
Yaani kibaraka wa magharibi unamsifu. Ana haribu amani ya nje za wenziwe kwa maslahi ya mabeberu kwako ni mtu wa maana?
 
Muda utaamua, tuuachue muda. Muda utahukumu kwa haki hapo DRC.
 
Uyu jamaa hata silaha za jeshi lake ni hatari jamaa yuko seriouse sio kama wale wa Bus za Yutong zingine waka peleka kwa Chama
Overrated
Hana lolote
Anatumika na nchi za magharibi kuiba madini ya Congo
Rwanda is overrated as the so called Israel
 
Kuna dereva mmoja wa rwanda alikua ananiambia akija Tanzania huwa anapata faraja sana
yuko huru kuongelea siasa na uhuru wa kufanya mambo mengi ambayo rwanda hawezi yafanya
Huyo anajisemea tu, ajaribu kuiunga mkono Chadema aone ndio atajua nchi ya Afrika ni Afrika tu na waafrika walizaliwa na mama moja..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…