M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
Ni ujumbe unaoonekana wa kawaida kabisa kutoka kwa Dr Kagasheki. But timing yake inaufanya ujumbe huu ubebe uzito mkubwa na wa kipekee.
Ni ujumbe kwa Watanzania kuwa tusiamini kila kitu kitokacho vinywani mwa wanasiasa.
"Tafakarini kwa makini Watanzania" that seems to be the bold message from this distinguished doplomat.
Ni ujumbe kwa Watanzania kuwa tusiamini kila kitu kitokacho vinywani mwa wanasiasa.
"Tafakarini kwa makini Watanzania" that seems to be the bold message from this distinguished doplomat.