Kagasheki awaasa kiaina Watanzania kuhusu kauli ya ukomo wa Urais kwa kutumia mfano Paul Kagame 2012

Kagasheki awaasa kiaina Watanzania kuhusu kauli ya ukomo wa Urais kwa kutumia mfano Paul Kagame 2012

Ni ujumbe unaoonekana wa kawaida kabisa kutoka kwa Dr Kagasheki. But timing yake inaufanya ujumbe huu ubebe uzito mkubwa sana.

Ni ujumbe kwa Watanzania kuwa tusiamini kila kitu kitokacho vinywani mwa wanasiasa.

"Tafakarini kwa makini Watanzania" that seems to be the bold message from this distinguished doplomat.


Unamsahau Museveni. Kabadili hadi ukomo wa umri wa kubaki kwenye madaraka.

Hawa watu hawana chembe ya aibu hata ndogo. Hasa huyu, angalia mengi ambayo amekwishayakiuka ndio utajua hana nia ya kuondoka kwa hiari yake. Na akilazimishwa, damu zitatiririka.
 
Ni kitu kibaya sana kumhukumu mtu kabla hajatenda kosa.

Ni ujinga kumhukumu mtu mwenye makosa mengi, kwa kuacha makosa aliyoyatenda, na kutumia makosa mnayofikiri atayatenda.

Mimi si mtetezi wa Magufuli. La hasha. Nimemsema sana hapa.

Lakini, katika hili la term limits, amesema hatavunja katiba. Haikuwa lazima aseme hilo, lakini amesema.

Kumzonga kwa hilo, ni kukosa heshima, kukosa adabu, kukosa umakini na kukosa hoja.

Kwa sababu, kila siku Magufuli anafanya makosa. Kwa maneno na matendo.

Amefanya makosa makubwa mengi. Kuanzia kuapisha watu kuwa mawaziri kabla hawajaapishwa ubunge mpaka kukataza mikutano ya hadhara ya kisiasa inayoruhusiwa na katiba.

Kuanzia kusema atapiga mpaka shangazi za wapinzani mpaka kuingilia biashara ya korosho na kuangusha mapato ya bidhaa za kilimo kwa asilimia 55 ndani ya mwaka mmoja.

Sasa mtu ambaye akifungua mdomo tu inatoka harufu ya ujinga, kwa nini mnamhukumu kwa makosa ambayo atayafanya 2025, wakati kuna makosa mengi kafanya ndani ya miaka minne iliyopita?

Mnawapa msemo wanaosema wapinzani wa Magufuli wanapinga tu, bila hoja.

Ukizushiwa kwamba utaiba mwaka 2025 na kuhukumiwa kwa kosa hilo ambalo hujalifanya bado, utaona hilo ni sawa?

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.

Kingine, wapinzani wa Magufuli wanapoongelea kwamba atavunja katiba na kuendelea kuwa rais baada ya term limits kuisha, hilo lina maana kwamba 2020 wameshakubali Magufuli atashinda?

Kama hawamkubali Magufuli, kwa nini wasipige kampeni aondolewe 2020?

Ukilalamikia uchaguzi wa 2025 wakati wa 2020 hatujafanya, ni kama umekubali tayari Magufuli kashinda 2020.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tz na kenya zina mazingira tofauti sana kisiasa na nchi za rwanda,,burundi na uganda na hii ipo kwenye nguvu ya vyama vya siasa na si mtu mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu anamfananisha Magufuli ambaye kaingia urais kwa kuchaguliwa na watu na Kagame au Museveni ambaye kaingia kuwa rais kwa mtutu.

Totally different scenarios.

I am not a Magufuli fan. But, lets be fair to Magufuli.

Tumhukumu kwa mambo ambayo yameshapita, si tunayofikiri atafanya huko mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tz na kenya zina mazingira tofauti sana kisiasa na nchi za rwanda,,burundi na uganda na hii ipo kwenye nguvu ya vyama vya siasa na si mtu mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
"Nguvu ya vyama"? Vyama gani!

CCM sasa hivi ni mali ya mtu mmoja, atakachoamua ndicho kinachofanyika, lakini wewe bado unaota 'nguvu ya vyama'?

Kenya kuna vyama gani vyenye nguvu..., KANU ilikufa na Moi, Uhuru kajiundia Jubilee ili awe madarakani. Ruto atakapotoswa hutaiona tena Jubilee.
Raila na ODM, hebu kahesabu vyama anavyounda kila panapokaribia kuwa na chaguzi! Hizo ndizo "Nguvu za Vyama"?

Naona huelewi unachoandika hapa!
 
Kama hawamkubali Magufuli, kwa nini wasipigw kampeni aondolewe 2020?
I hardly believe the entire posting is from you!

Mstari huo tu nilioweka hapo unaonyesha kwamba mwandishi mwenye jina lililowekwa hapo juu sio mhusika. Labda awe 'under duress'.
 
Japo spelling nyingi umekosea ujumbe nimeupata barabara
Ni kitu kibaya sana kumhukumu mtubkabla hajatenda kosa.

Ni uj8nga kumhukumu mtu mwenye makosa mengi, kwa kuacha makosa aliyoyatenda, na kutumia makosa mnayofikiri atayatenda.

Mimi si mtetezi wa Magufuli. La hasha. Nimemsema sana hapa.

Lakini, katika hili la twrm limits, aneaema hatavunja katiba. Haikuwa lazima aseme hilo, lakini amesema.

Kumzonga kwa hilo, ni kukosa heshima, kukisa adabu, kukisa umakini na kukosa hoja.

Kwa sababu, kila siku Magufuki anafanya makosa. Kwa maneno na matendo.

Amefanya makosa makubwa mengi. Kuanzia kuapisha watu kuwa mawaziri kabla hawajaapishwa ubunge mpaka kukataza m8kutano ya hadhara ya kisiasa inayoruhusiwa na katiba.

Kuanzia kusema atapiga mpaka shangazi za wapinzani mpaka kuingikia biashara ya korosho na kuangusha mapato ya bidhaa za kilimo kwa asilimia 55 ndani ya mwaka mmoja.

Sasa mtu ambaye akifungua mdomo tu inatoka harufu ya ujinga, kwa nini mnamhukumu kwa makosa ambayo atayafanya 2025, wakati kuna makosa mengi kafanya ndani ya miaka minne iliyopita?

Mnawapa msemo wanaosema wapinzani wa Magufuli wanapinga tu, bila hoja.

Ukizushiwa jwamba utaiba mwaka 2025 na kuhukumiwa kwa kisa hilo ambalo hujalifanya bado, utaona hilo ni sawa?

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.

Kingine, wapinzani wa Magufuki wanapoongelea kwamba atavunja katiba na kuendelea kuwa rais baada ya term limits kuisha, hilo lina maana kwamba 2020 wameshakubali Magufuli atashinda?

Kama hawamkubali Magufuli, kwa nini wasipigw kampeni aondolewe 2020?

Ukilalamikia uchaguzi wa 2025 wakati wa 2020 hatujafanya, ni kama umekubali tayari Magufuli kashinda 2020.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Nguvu ya vyama"? Vyama gani!

CCM sasa hivi ni mali ya mtu mmoja, atakachoamua ndicho kinachofanyika, lakini wewe bado unaota 'nguvu ya vyama'?

Kenya kuna vyama gani vyenye nguvu..., KANU ilikufa na Moi, Uhuru kajiundia Jubilee ili awe madarakani. Ruto atakapotoswa hutaiona tena Jubilee.
Raila na ODM, hebu kahesabu vyama anavyounda kila panapokaribia kuwa na chaguzi! Hizo ndizo "Nguvu za Vyama"?

Naona huelewi unachoandika hapa!
Mimi tatizo langu ni hii dhana nzima ya kumhukumu mtu kabla hajafanya kosa.

Magufuli ana makosa kibao kashayafanya.

Mhukumuni kwa makosa ambayo kashayafanya.

Si kwa makosa ambayo mnafikiri atafanya.

Tukihalalisha hukumu kwa makosa yanayokuja baadaye, kila mtu anaweza kumtungia kila mtu mwingine makosa na kumhukumu.

It is a ridiculous concept that shows weakness.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajukuu wenu watakaa na kulima wapi ?nyie wana Kagera hamujaenda na nyinyi mukagawiwa hata kakipande kadogo huko Missenyi/Karagwe?
 
Ni kitu kibaya sana kumhukumu mtubkabla hajatenda kosa.

Ni uj8nga kumhukumu mtu mwenye makosa mengi, kwa kuacha makosa aliyoyatenda, na kutumia makosa mnayofikiri atayatenda.

Mimi si mtetezi wa Magufuli. La hasha. Nimemsema sana hapa.

Lakini, katika hili la twrm limits, aneaema hatavunja katiba. Haikuwa lazima aseme hilo, lakini amesema.

Kumzonga kwa hilo, ni kukosa heshima, kukisa adabu, kukisa umakini na kukosa hoja.

Kwa sababu, kila siku Magufuki anafanya makosa. Kwa maneno na matendo.

Amefanya makosa makubwa mengi. Kuanzia kuapisha watu kuwa mawaziri kabla hawajaapishwa ubunge mpaka kukataza m8kutano ya hadhara ya kisiasa inayoruhusiwa na katiba.

Kuanzia kusema atapiga mpaka shangazi za wapinzani mpaka kuingikia biashara ya korosho na kuangusha mapato ya bidhaa za kilimo kwa asilimia 55 ndani ya mwaka mmoja.

Sasa mtu ambaye akifungua mdomo tu inatoka harufu ya ujinga, kwa nini mnamhukumu kwa makosa ambayo atayafanya 2025, wakati kuna makosa mengi kafanya ndani ya miaka minne iliyopita?

Mnawapa msemo wanaosema wapinzani wa Magufuli wanapinga tu, bila hoja.

Ukizushiwa jwamba utaiba mwaka 2025 na kuhukumiwa kwa kisa hilo ambalo hujalifanya bado, utaona hilo ni sawa?

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.

Kingine, wapinzani wa Magufuki wanapoongelea kwamba atavunja katiba na kuendelea kuwa rais baada ya term limits kuisha, hilo lina maana kwamba 2020 wameshakubali Magufuli atashinda?

Kama hawamkubali Magufuli, kwa nini wasipigw kampeni aondolewe 2020?

Ukilalamikia uchaguzi wa 2025 wakati wa 2020 hatujafanya, ni kama umekubali tayari Magufuli kashinda 2020.

Sent using Jamii Forums mobile app
wandugu, tusiwe naive.

we make it sound like the monster before us is some innocent saint.

mi simo!
 
Mimi tatizo langu ni hii dhana nzima ya kumhukumu mtu kabla hajafanya kisa.

Magufuli ana makosa kibao kashayafanya.

Mhukumuni kwa makosa ambayo kashayafanya.

Si kwa makosa ambayo mnafikiri atafanya.

Tukihalalisha hukumu kwa makosa yanayokuja baadaye, kila mtu anaweza kumtungia kila mtu mwingine makosa na kumhukumu.

It is a ridiculous concept that shows weakness.

Sent using Jamii Forums mobile app
I know. We can stretch this under the disguise of 'philosophical' reasoning, and we can spend the entire day on that.

Mtu anayejulikana kwa vitendo vyake vya ujambazi, usiku mmoja anakugongea mlango, na unajua wazi ndiye yeye. Unafungua mlango ukamsikilize shida iliyomleta kwako ni ipi!
 
wandugu, tusiwe naive.

we make it sound like the monster before us is some innocent saint.

mi simo!
A person is considered innocent until proven guilty.

Magufuli hatavunja katiba ili kuendelea kuwa rais.

Si kwa sababu anaipenda sana katiba. La hasha.

Magufuli ameshajua kwamba urais hauwezi. Ndiyo maana haishi kusema amechoka, kazi hii hakuitaka, muombeeni etc.

Huyu mtu angekuwa na uwezo wa kuacha urais bila aibu 2020 angeacha awe rais mstaafu.

Ni mtu ambaye maji yamemzidi kina. Ndiyo maana kika sikua anabwatuka maneno ambayo hayana staha za kirais.

Sasa mtu huyo ambaye kashachoka ndiye wa kuogooa kwamba atazidisha muda wake wa urais?

Kasema hatavunja katiba katika hili.

Mnataka afanye nini zaidi mkubali?

Kwa nini mnamhukumu kwa makisa ambayo hajayafanya bado, wakati ana makosa kibao ambayo kashayafanya?

You are losing focus.

You are not dealing with the real, you are dealing with the hypothetical.

Wewe tukikuhukumu kwa makosa tunayosema utayafanya mwaka 2025 utaona sawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I know. We can stretch this under the disguise of 'philosophical' reasoning, and we can spend the entire day on that.

Mtu anayejulikana kwa vitendo vyake vya ujambazi, usiku mmoja anakugongea mlango, na unajua wazi ndiye yeye. Unafungua mlango ukamsikilize shida iliyomleta kwako ni ipi!
Hapana. Unafananisha vitu viwili tofauti.

Unafananisha kumhukumu jambazi anayekugongea mlango leo, na kumhukumu mtu kwa ujambazi wa kinadharia unaosema ataufanya mwaka 2025.

Hivi tukikuhukumu kwa ujambazi ambao tunasema utaufanya mwaka 2025 utaona sawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kagasheki nae atulie wametuibia sana kipindi chao, wakiendelea fyoko fyoko tutayafukua makaburi

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuanze na hili kwanza
tapatalk_1574798379404.jpg
 
Kumhukumu Magufuli kwa makosa ya kinadharia anayodaiwa kuwa atayafanya mwaka 2025 ni ujinga.

Hususan ikiwa Magufuli tayari ana makosa mengi sana ambayo kayafanya tayari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana. Unafananisha vitu viwili tofauti.

Unafananisha kumhukumu jambazi anayekugongea mlango leo, na kumhukumu mtu kwa ujambazi wa kinadharia unaosema ataufanya mwaka 2025.

Hivi tukikuhukumu kwa ujambazi ambao tunasema utaufanya mwaka 2025 utaona sawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wewe unajulikana ni jambazi sugu, na mitaani unajulikana pasi shaka hiyo ndio sifa yako inayokupambanua; tutajuaje kuwa kati ya leo hadi hiyo 2025 utabadilika?

Nitakuwa naiweka familia yangu hatarini nisipokutolea gobole nikikuona unazongea mlangoni pangu.
 
Kumhukumu Magufuli kwa makosa ya kinadharia anayodaiwa kuwa atayafanya mwaka 2025 ni ujinga.

Hususan ikiwa Magufuli tayari ana makisa mengi sana ambayo kayafanya tayari.

Sent using Jamii Forums mobile app
nadhani pia si sahihi kwako kutuhukumu/tuhumu - whatever - tunaosema ni naivety kuamini eti hatang'ang'ania madarakani kipindi chake kikiisha (be it 2020 or 2025).

hakuna anaye draw conclusion yoyote hapa but tunasema uwezekano huo upo hata kwa kuangalia tu behaviours za peers wake anao rub shoulders nao (remember birds of the same feathers.......?). this is where am coming from.

so, hatumhukumu but tuna kila sababu ya kuwa na mashaka kwa kuangalia circumstances.
 
Kama wewe unajulikana ni jambazi sugu, na mitaani unajulikana pasi shaka hiyo ndio sifa yako inayokupambanua; tutajuaje kuwa kati ya leo hadi hiyo 2025 utabadilika?

Nitakuwa naiweka familia yangu hatarini nisipokutolea gobole nikikuona unazongea mlangoni pangu.
Kama mtu ni jambazi, anahukumiwa kwa ujambazi alioufanya au anaotuhumiwa kwamba ataufanya 2025?

Kwa nini unamuona jambazi, anayejulikana, kafanya ujambazi huu na huu kuanzia 2015 mpaka sasa, halafu unamhukumu kwa ujambazi unaosema ataufanya 2025, na kuacha ujambazi ambao tayari kashaufanya?
 
Back
Top Bottom