Kagasheki awaasa kiaina Watanzania kuhusu kauli ya ukomo wa Urais kwa kutumia mfano Paul Kagame 2012

Kagasheki awaasa kiaina Watanzania kuhusu kauli ya ukomo wa Urais kwa kutumia mfano Paul Kagame 2012

Hapa sisemi kuwa 100% ataongeza muda wake baada ya 2025, ninachosema ni kuwa uwezekano huo upo, ni na ni mkubwa kuliko awamu nyingine, sababu ya anayoyafanya sasa. Hii sio fact, ni speculation, na ku speculate kwani ni kosa?
Ni kama unavyosema kutokana na Liverpool anavyocheza sasa hivi May 2020 ndio atakayekabidhiwa kombe.
Unaposema kwamba Liverpool atakabidhiwa kombe, hapo speculatiin yako haina defamation. Haiichafui heshima ya Liverpool.

Unapo speculate kwamba fulani ataiba mwaka 2025, bila ushahidi, umemuwekea mtu mwenzako ushuhuda wa uongo kuhusu kitu kibaya.

Ni vizuri tuwe na tahadhari kuhusu wanasiasa, wote tu.

Ni vibaya kuwazushia madai specific ambayo hatuna ushahidi nayo.

Mimi sipendi kuzushiwa makosa ya uongo ambayo sijayafanya na nimesema sitayafanya.

Kama mimi nisivyopwnda kufanyiwa hilo, sipendi kufanya kwa wengine. Wakiwamo wanasiasa.

Fanya kama unavyotaka kufanyiwa.

Magufuli ana makosa mengibsana aliyoyafanya tayari. Hatuna ukame wa makosa ya Magufuli. Amepiga marufuku mikutano ya kisiasa, inayoruhusiwa na katiba.

Kwa nini watu hawamvalii njuga katika hili ambalo kashafanya, wanamtungia makosa atakayofanya mwaka 2025?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nadhani wote wanaozungumzia uchaguzi wa 2025 kabla ya uchaguzi wa 2020 sio wapinzani wa Rais Magufuli kwa hiyo hawana nia/haja ya kujipanga kumuondoa .
Hapana. Hujui wote wanadhani vipi.

Mimi kwa mfano ningwpenda Magufuli aondolewe hata kesho.

Lakini naona kumzushia kwamba anataka kuongeza muda wa urais mwaka 2025 ni ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania sio Rwanda,

1. Magufuli anatamani naye apate heshima wanayo pata wengine kama kina mkapa,

2. Wanao taka aongeze ni wale wanafaidika na uongozi wake kama kina bashite etc

3. Ni ngumu sana kubadili katiba , atawasha moto ambao hataweza kuuzima.

4. Umri wake pia umemtupa .. 2025 atakua na 60+ .

5. Hata kama anatamani nadhani uwezekano huo ni mdogo sana kwa mazingira ya chama chake na nchi pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Kuingia kwa uchaguzi au bunduki sio kila kitu, reference Alpha Conde wa Guinea. Aliingia kwa demokrasia, leo anang'ang'ana kubaki.

2. Utamaduni huwa unakwepo mpaka unapovunjwa. Hata Mkapa kuna watu walitaka aendelee, bila kujali utamaduni. Ila he was firm.

3. Kuhusu kushitakiwa, you never know. Again kumuangalia Magufuli kama yeye mwenyewe ni nusu ya story, kuna watu wengi wanaomzunguka ambao wanaona yeye ndio tumaini lao. Hao ndio wabaya zaidi. Wana mengi ya kupoteza kuliko yeye.
K7na watu wengi ndani ya CCM wanaumezea mate urais na hawataruhusu mtu mmoja awe rais kwa zaidi ya miaka 10.

Dunia ya leo ni vigumu sana watu kuendeshwa na mtu mmoja wakati washaonja uhuru wa kubadilisha marais.

Hata CCM wenyewe wanajua kwamba moja ya mbinu kubwa ya kuendeleza udikteta wao ni kuufanya kama demokrasia kwa kubadilisha marais wakati kikundi kinachotawala ni kile kile, oligarchy.

Hii style inaitwa "ukila na kipofu, usimshike mkono".

Sasa style inafanya kazi vizuri. Watanzania wamepumbazwa. Wanajiona wanapiga kura wanabadilisha marais.

Kwa nini CCM wabadilishe style hii inayofanya kazi vizuri?

Mimi napata tabu sana kumhukumu mtu kwa kosa anbalo anadaiwa atalitwnda mwaka 2025 na kashasema halitendi.

Tukienda kwa soeculatiins hivyo, hakuna atakayebaki salama.

Mtu anaweza kukuzushia utaiba mwaka 2025 akakufunga.

Itakuwa haki hiyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
K7na watu wengi ndani ya CCM wanaumezea mate urais na hawataruhusu mtu mmoja awe rais kwa zaidi ya miaka 10.

Dunia ya leo ni vigumu sana watu kuendeshwa na mtu mmoja wakati washaonja uhuru wa kubadilisha marais.

Hata CCM wenyewe wanajua kwamba moja ya mbinu kubwa ya kuendeleza udikteta wao ni kuufanya kama demokrasia kwa kubadilisha marais wakati kikundi kinachotawala ni kile kile, oligarchy.

Hii style inaitwa "ukila na kipofu, usimshike mkono".

Sasa style inafanya kazi vizuri. Watanzania wamepumbazwa. Wanajiona wanapiga kura wanabadilisha marais.

Kwa nini CCM wabadilishe style hii inayofanya kazi vizuri?

Mimi napata tabu sana kumhukumu mtu kwa kosa anbalo anadaiwa atalitwnda mwaka 2025 na kashasema halitendi.

Tukienda kwa soeculatiins hivyo, hakuna atakayebaki salama.

Mtu anaweza kukuzushia utaiba mwaka 2025 akakufunga.

Itakuwa haki hiyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
You are right, CCM wamejua kutengeneza "Party Dictactorship", badala ya mtu ni chama. Point kubwa ya Kagasheki nadhani ni tuwe macho na haya mambo. Far too often, complacency ndio inaleta tabu. Na tumekuwa complacent kwenye utawala huu
 
You are right, CCM wamejua kutengeneza "Party Dictactorship", badala ya mtu ni chama. Point kubwa ya Kagasheki nadhani ni tuwe macho na haya mambo. Far too often, complacency ndio inaleta tabu. Na tumekuwa complacent kwenye utawala huu
Kuwa macho ni wajibu.

Mfano.

Kuna uchaguzi unakuja 2020.

Wapinzani wa Magufuli wamejiandaa vipi wasiibiwe kura?

Mimi naona mtu anaye address wizi wa kura na tume huru ya uchaguzi ana a more relevant point kuliko habari za Magufuli ku violate term limits 2025.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa macho ni wajibu.

Mfano.

Kuna uchaguzi unakuja 2020.

Wapinzani wa Magufuli wamejiandaa vipi wasiibiwe kura?

Mimi naona mtu anaye address wizi wa kura na tume huru ya uchaguzi ana a more relevant point kuliko habari za Magufuli ku violate term limits 2025.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye hayo mimi naamini tusahau kwa sasa. Tatizo tunategemea wanasiasa wa upinzani kupambana kwa niaba yetu; sisi wenyewe tumetulia nyumbani. CCM hawawezi kuruhusu tume huru wala uchaguzi huru, it would akin to turkeys voting for chrismass. Mara zote wamejaribu hata kuachia kidogo taasis ya demokrasia zifanye kazi moto ulikuwa mkubwa.

Mpaka Watanzania watake mabadiliko, na wayadai tena kwa kuwa tayari kupoteza hata uhai wao, ndio tutaona mabadiliko.
 
Ni ujumbe unaoonekana wa kawaida kabisa kutoka kwa Dr Kagasheki. But timing yake inaufanya ujumbe huu ubebe uzito mkubwa na wa kipekee.

Ni ujumbe kwa Watanzania kuwa tusiamini kila kitu kitokacho vinywani mwa wanasiasa.

"Tafakarini kwa makini Watanzania" that seems to be the bold message from this distinguished doplomat.


Mungu mbariki Kagasheki
 
Wakemeeni hao watu.

Mizengo Pinda kashasema maneno ya kipambe kwenye hili. Mkemeeni.

Magufuli kaja kaweka wazi kwamba hana nia ya ku violate term limits.

Kumhukumu kwa hili si haki.

Kumshikia bango Magufuli kwenye hili ni kukosa focus



Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unaamini kama angesema toka moyoni kwamba "sitaki watu wanihusishe na kuongeza muda wa uongozi" wangeendelea? Hao wanaoendelea wanajua kwamba analipenda jambo hilo. Muda utasema.
 
Hivi unaamini kama angesema toka moyoni kwamba "sitaki watu wanihusishe na kuongeza muda wa uongozi" wangeendelea? Hao wanaoendelea wanajua kwamba analipenda jambo hilo. Muda utasema.
Sitaki kuamini. Nataka kujua.

Najua alichosema. Hiyo ni fact.

Hayo ya moyoni mwake kuna nini ni speculations. Unaeweza kumzushia lolote.

Let's talk about facts, not speculations.

Magufuli ana makosa mengi sana kafanya. Chagua kati ya aliyofanya umseme.

Usimseme kwa kosa la kutunga unaloamini atafanya mwaka 2025, muda ambao hata hatujui kama atakuwa hai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KAGASHEKI ndie mmojawapo wa WAUME wa mbunge CATHERINE KAGASHEKI GAMBO MAGIGE!!

NB: CCM MUNGU ANAWAONA!!!!
 
Back
Top Bottom