Kagasheki awaasa kiaina Watanzania kuhusu kauli ya ukomo wa Urais kwa kutumia mfano Paul Kagame 2012

Kagasheki awaasa kiaina Watanzania kuhusu kauli ya ukomo wa Urais kwa kutumia mfano Paul Kagame 2012

You're being carried away! Focus on how you deal with an untrustworthy person; someone whose word is as good as trash.
Sasa nakuuliza how do you deal with an untrustworthy person katika uchaguzi wa 2020.

Wewe unaniambia I am being carried away?

Sasa huyo untrustworthy person, whose word is as good as trash, mkimshinda kwenye uchaguzi akaiba kura mmejipanga vipi kumkabili?

Nikikuuliza hili swali utasemaje I am being carried away?

Kati yangu ninayewauliza kuhusu kuzuia wizi wa kura 2020, na nyie mnaoongelea violatiin ya term limits 2025, who is the one who is carried away here?

Between 2020 and 2025, which year is further away?

Yani kuangalia 2025 badala ya 2020 ndiyo ku focus? Kuangalia 2020 ndiyo kuwa carried away?

What kind of dilapidated logic is this?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini asilimia 99 na si 98, 97 au 49?

Kuwa specific, taja kauli gani, kaisema wapi, tuzichambue kwa kituo.

Ukisema kauli zake tu, watetezi wake watasema ameshasema hatavunja katiba, unataka aseme nini zaidi?
Tuanze tu na hivi juzi, waziri mkuu mstaafu Pinda alisema wazi wazi in effect, anatamani Magufuli aendelee. Pinda anaelewa uzito wa maneno yake, siamini kama aliyasema bure. Kuna siku Makonda katika sifa sifa zake akasema ana uhakika atachaguliwa tena 2020 na zaidi ya hapo. Unaweza sema aliteleza lakini, again sio mjinga asiyeelewa anachokisema.

Turudi kwake yeye mwenyewe, ameshatoa kauli tata mara kadhaa ikiwemo ya Sijui akiondoka kama kuna mtu anaweza endeleza anachofanya. Plus angalia mwenendo wake, he is the government and the government is him. Anajiona na watu waliopewa madaraka wakati huu wanamuona kama saviour wa nchi hii. hizo ndio dalili mbaya. Kwangu mimi kauli ya wanasiasa sio za maana, naangalia matendo yake na watu walio karibu nae, kila siku wanajaribu kum-Nyererefy.

I may be wrong, lakini naona kila dalili za Kagame and/or Museveni hapa. Na hii ni term ya kwanza, ikifika term ya pili around 2022-2023, tutaona mengi.
 
Haswa! Hili ndilo linalohusika hapa. Unataka kuhamisha goli sasa.
It has been said that small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.

We seem to be on the far different ends of that soectrum.

I am discussing ideas.

The importance of facts over speculations.

The primacy of the concept of presumption of innocence.

The seminal foundation of realization in legitimate accusation.

The fallacy of judging someone for wrongs not yet commited.

The absurdity of borrowing from fictitious crimes in judging one whonis richly endowed with factual felonies.

I could go on and on.

Whike you are consumed with myopic vitriol against one vastly incompetent and grotesquely ignoble man who does not even know what he wants to do with his presidency!

With opponents like you, it is no wonder he harangues one and all with all hullaballoo with neither shame nor repercussion.

His detractors are mostly disillusioned by the terror in the wake of his shadow, let alone his person. It is as if this terror paralyzes any attempt at logical thinking.

This thread exposes one big fact. Most Magufuli opponents have a challenge of clear thinking. They are so frustrated by Magufuli, they can't think clearly withoit letting emotions and reflexes get the better of them.

Political battles and ideological wars are won by strategiws, nit reflexes.

Until we clear this challenge, our predicament is precarious.

I asked about a strategy to ensure votes are not rigged in 2020.

None is forthcoming.

Yet people are busy speculating about term limits violation in 2025.

What a book of hilarious calumny!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuanze tu na hivi juzi, waziri mkuu mstaafu Pinda alisema wazi wazi in effect, anatamani Magufuli aendelee. Pinda anaelewa uzito wa maneno yake, siamini kama aliyasema bure. Kuna siku Makonda katika sifa sifa zake akasema ana uhakika atachaguliwa tena 2020 na zaidi ya hapo. Unaweza sema aliteleza lakini, again sio mjinga asiyeelewa anachokisema.

Turudi kwake yeye mwenyewe, ameshatoa kauli tata mara kadhaa ikiwemo ya Sijui akiondoka kama kuna mtu anaweza endeleza anachofanya. Plus angalia mwenendo wake, he is the government and the government is him. Anajiona na watu waliopewa madaraka wakati huu wanamuona kama saviour wa nchi hii. hizo ndio dalili mbaya. Kwangu mimi kauli ya wanasiasa sio za maana, naangalia matendo yake na watu walio karibu nae, kila siku wanajaribu kum-Nyererefy.

I may be wrong, lakini naona kila dalili za Kagame and/or Museveni hapa. Na hii ni term ya kwanza, ikifika term ya pili around 2022-2023, tutaona mengi.
Kauli za Pinda na Makonda zikemewe.

Hapi juu nimeandika kwamba naelewa kwa nini watu wana shaka kuhusu hili, kwa sababu Magufuli mwenyewe hajajiwekea rekodi ya kuaminika kwamba ataachia madaraka.

Tatizo Magufuli si mtu wa kuongea strategically, anajiongelea linalokuja kichwani kama hana breki ya mdomo.

Ukiona kuna kauli hizo zinazoonesha anataka kuvunja term limits, kuna nyingine nyingi zinazoonesha hatavunja. Amesema amechoka, amesema anataka miradi yake imalizike mapema, kwa sababu hana hakika kama rais ajaye ataiendeleza. Hii ni kauli ya mtu anayejiandaa kuondoka, si ya anayeng'ang'ania madaraka.

Magufuli atapata kipi cha zaidi kwa kuwa rais baada ya mwaka 2025 ambacho hawezi kukipata katika miaka hii sita iliyobakia ya urais?

Kumbukeni urais una stress nyingi sana na watu wanapokuwa wameukalia kwa muda hutamani sana kustaafu wafurahie maisha nje ya urais. Kikwete siku za mwisho alikuwa anasema kavmbisa "I can't wait to be an ex president".

Kama Magufuli ana tamaa ya pesa, kama anataka kufanya miradi yake etc, kuna kipi atapata kwa kung'ang'ania urais, atukanwe matusi yote haya kila siku, aoate stress zote hizi kika siku, ambacho hawezi kukifanya katika miaka hii sita iliyo ndani ya term limits kwake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It has been said that small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.
Just as I had predicted earlier on. You are moving this thing into a philosophical and general discussion rather than a specific one as originally presented.

I have no time for running into circles.
 
Just as I had predicted earlier on. You are moving this thing into a philosophical and general discussion rather than a specific one as originally presented.

I have no time for running into circles.
Huwezi kufanya specific discussion bila facts.

Kuongelea makosa ya 2025 ni speculations, sio fact.

Wewe unayeongelea speculations badala ya facts ndiye ambaye huna specificity.

Nimesema hapa, Magufuli ana makosa mengi sana, factually, specifically. Makosa aliyoyafanya tayari.

Hamuhitaji kutunga makosa ya 2025 ambayo hajayafanya bado.

Kwa nini mnamhukumu kwa makosa ya 2025 ambayo hajayafanya, wakati ana makosa mengi sana aliyokwishafanya hamjamuhukumu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa nini usianze wewe kupambana lakini nakushauri uache kazi hapo kwanza!
We need concerted efforts , not an induvidualistic approach! including you! Kesho ya watoto wako na wanaokuhusu and watanzania at large huijui
 
Huyu haya maangamizi anayoyafanya hawezi kuachia madaraka, jiandaeni kupambana naye kwa lolote

Sent using Jamii Forums mobile app
Joka likiingia chumbani unatumia njia ya kawaida kumtoa. Unapiga kelele, unamwaga mafuta ya taa au unachoma vitu vyenye harufu Kali.
Akigoma basi unaingia PLAN B, unawasha moto chumbani atatoka tuu lakini hasara itakuwepo kwa baadhi ya vitu kuungua.
Twende na Plan B ASAP.
 
Joka likiingia chumbani unatumia njia ya kawaida kumtoa. Unapiga kelele, unamwaga mafuta ya taa au unachoma vitu vyenye harufu Kali.
Akigoma basi unaingia PLAN B, unawasha moto chumbani atatoka tuu lakini hasara itakuwepo kwa baadhi ya vitu kuungua.
Twende na Plan B ASAP.
exactly, haya matamko ya EU, USA , UK hayasaidii! Huyu anahitaji plan B
 
Wanaoutaka urais ccm . bado wapo wengi.


Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanasema kama vile Magufuli anaweza kuwafunika wengine wengi wa CCM wanaotaka urais 2025.

Moja ya kanuni zinazoifanya CCM iendelee kuwepi madarakani ni "kula kwa kupokezana". Kuna wapiga debe wanapiga kwa kujua wanangoja zamu zao. Kuna wengine kina Pinda wanapiga debe kwa kujua washamaliza zamu zao.

Ukiindoq mfumi huo, CCM inakufa. Kwa sababu, CCM haina dira wala muelekeo katika itikadi. Imebaki kuangalua ulaji tu.

Sasa mtu anayewazibia wengine ulaji na kutaka kukaa yeye tu kwenye ulaji atawezaje kuwa rais kwa zaidi ya miaka 10?

CCM wamemuua Chinjachinja Dr. Omar Ali Juma, kwa kugombea urais, itakuwa Magufuli?

Kwa taarifa tu, Dr. Omar Ali Juma ndiye alikuwa chaguo la Mkapa kuwa rais baada yake. Hizi ni taarifa za kutoka ndani ya familia ya Mkapa nilipewa kipindi cha urais wa Mkapa. Huwa sitegemei vyombo vya habari, naenda kwa mtandao wa ndugu na marafiki ambao uko juu ya vyombo vya habari.

Watu wakamuomondoa Dr. Omar Ali Juma "Chinjachinja". Wakamchinja Chinjachinja.

Magufuli hajaweza kumaliza yaliyo ndani ya muda wa urais wake, washamzushia kuhusu yaliyo nje ya urais wake?

Oligarchy ya CCM inautazama urais kwa njaa kubwa. Itaruhusu vipi Magufuli ahodhi madaraka?

Magufuli is not that strong. Magufuli is not that smart. Watu wanaoogopa Magufuli ku violate term limits, wanaonesha weakness yao tu ya kuogopa kivuli cha mtu kabla hata mtu mwenyewe hajatokea.


Kumzushia mtu habari mbaya bila uhakika ni kitu kibaya sana.

Kuna mwaka nilikuwa nasoma Tambaza, Mwalimu mmoja alitaka kunizushia kesi ya uongo.

Nikamuwakia kama nataka kumpiga!

Nilimuwakia kwa Kiingereza ikawa kama nimesahau Kiswahili.

"You are wrongfully accusing me. You are falsely accusing me. What is the meaning of this provocation?".

Yani nilikuwa mbogo mpaka yule mwalimu, mwalimu mkali sana anaogopwa na wanafunzi wengi, ilibidi awe mpole kwangu.

Nguvu hizo nilizipata wapi?

Nilizipata kwa kuwa sikujali huyu Mwalimu mkali

Nilijali haki yangu ya kutoshutumiwa kwa uongo.

Shutuma ya uongo ni kitu kibaya sana.

Yani mtu muovu anaweza kufanya uovu mwingi, halafu, ukimpa shutuma ya uongo, anaweza kutumia shutuma ya uongo kujisafisha.

Inakuwa a case of crying wolf. Kelele zako za shituma za uongo, zinafanya shutuma nyingine zozote utakazotoa zionekane ni za uongo, hata kama ni za kweli.

Watu wanaojua trial law nawanajua hilo. This becomes a matter of credibility. Wanaomsema Magufuli, kwa kuanza kumhukumu kwa makosa atakayoyafanya mwaka 2025, wanaharibu credibility yao. Wanaonekana ni wapinzani wa kisiasa tu ambao Magufuli amewashinda mchezo wa chess katika siasa, sasa wanaamua kumchafua tu. Kitu ambacho si kweli. Hili linaumuza sana kwetu sisi ambao tunaona Magufuli ana matatizo mengi sana ya kweli ambayo kashayafanya, hayahitaji kupiga ramli za 2025.

Kumshutumu Magufuli kwa habari za speculations za 2025 ni kumfanyia favor.

Ni kuiambia dunia kwamba Magufuli hana makosa ya maana aliyoyatenda mpaka leo.

Kwamba hatuna cha kumshutumu na kumhukumu Magufuli ambacho amefanya mpaka leo.

Inatubidi tuanze kutunga makosa ambayo atayafanya mwaka 2025 ili kumhukumu.

Ni ujinga. Ni kukosa kufikiri kimantiki.

Kwa nini tumshutumu na kumhukumu Magufuli kwa makosa ambayo tunasema atayafanya mwaka 2025, wakati ana makosa mengi sana ambayo kashayafanya mpaka leo?

Tunawapa watetezi wake msemo tu, waseme " Wapinzani wa Magufuli hawana hoja. Wanapiga ramli kwamba Magufuli atafanya makosa mwaka 2025".

Sitaki kamwe kujiunga katika ujinga huu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe na Retired nawaona mnakoelekea na hiyo plan B yenu itawaponza very soon.
Plan B ni ipi? Maandamano si inaweza kuwa Plan B. International commuity invlvement inaweza kuwa plan B, usifikiria vita au uasi wa jeshi! Huko bado..... Jeshi kuna homeboy au vipi?
Magu 2016, ndiyo maana watu wanasema ukiwakataza watu kusema, unawapeleka kwenye mawazo mabaya! Sio mimi na chakaza peke yetu, the whole mass of tanzania wako discontented. Waruhus watu waongee kero zao...
 
Hivi huyu kagasheki anadhani ya kwake hatuyajui? Muda woote mtandaoni! Yeye na Zito ni sawa japo kavaa koti la kijani! Hawa ndo mafisadi wa underground enzi kwa enzi wamejaa udini, unyonyaji na watetezi wa mabeberu
Kama kweli ama uwongo ila Kagasheki ameongea kauli ya PK sasa tujibu hoja na hayo mengine tuachie Mamlaka
 
Watu wanasema kama vile Magufuli anaweza kuwafunika wengine wengi wa CCM wanaotaka urais 2025.

Moja ya kanuni zinazoifanya CCM iendelee kuwepi madarakani ni "kula kwa kupokezana". Kuna wapiga debe wanapiga kwa kujua wanangoja zamu zao. Kuna wengine kina Pinda wanapiga debe kwa kujua washamaliza zamu zao.

Ukiindoq mfumi huo, CCM inakufa. Kwa sababu, CCM haina dira wala muelekeo katika itikadi. Imebaki kuangalua ulaji tu.

Sasa mtu anayewazibia wengine ulaji na kutaka kukaa yeye tu kwenye ulaji atawezaje kuwa rais kwa zaidi ya miaka 10?

CCM wamemuua Chinjachinja Dr. Omar Ali Juma, kwa kugombea urais, itakuwa Magufuli?

Kwa taarifa tu, Dr. Omar Ali Juma ndiye alikuwa chaguo la Mkapa kuwa rais baada yake. Hizi ni taarifa za kutoka ndani ya familia ya Mkapa nilipewa kipindi cha urais wa Mkapa. Huwa sitegemei vyombo vya habari, naenda kwa mtandao wa ndugu na marafiki ambao uko juu ya vyombo vya habari.

Watu wakamuomondoa Dr. Omar Ali Juma "Chinjachinja". Wakamchinja Chinjachinja.

Magufuli hajaweza kumaliza yaliyo ndani ya muda wa urais wake, washamzushia kuhusu yaliyo nje ya urais wake?

Oligarchy ya CCM inautazama urais kwa njaa kubwa. Itaruhusu vipi Magufuli ahodhi madaraka?

Magufuli is not that strong. Magufuli is not that smart. Watu wanaoogopa Magufuli ku violate term limits, wanaonesha weakness yao tu ya kuogopa kivuli cha mtu kabla hata mtu mwenyewe hajatokea.


Kumzushia mtu habari mbaya bila uhakika ni kitu kibaya sana.

Kuna mwaka nilikuwa nasoma Tambaza, Mwalimu mmoja alitaka kunizushia kesi ya uongo.

Nikamuwakia kama nataka kumpiga!

Nilimuwakia kwa Kiingereza ikawa kama nimesahau Kiswahili.

"You are wrongfully accusing me. You are falsely accusing me. What is the meaning of this provocation?".

Yani nilikuwa mbogo mpaka yule mwalimu, mwalimu mkali sana anaogopwa na wanafunzi wengi, ilibidi awe mpole kwangu.

Nguvu hizo nilizipata wapi?

Nilizipata kwa kuwa sikujali huyu Mwalimu mkali

Nilijali haki yangu ya kutoshutumiwa kwa uongo.

Shutuma ya uongo ni kitu kibaya sana.

Yani mtu muovu anaweza kufanya uovu mwingi, halafu, ukimpa shutuma ya uongo, anaweza kutumia shutuma ya uongo kujisafisha.

Inakuwa a case of crying wolf. Kelele zako za shituma za uongo, zinafanya shutuma nyingine zozote utakazotoa zionekane ni za uongo, hata kama ni za kweli.

Watu wanaojua trial law nawanajua hilo. This becomes a matter of credibility. Wanaomsema Magufuli, kwa kuanza kumhukumu kwa makosa atakayoyafanya mwaka 2025, wanaharibu credibility yao. Wanaonekana ni wapinzani wa kisiasa tu ambao Magufuli amewashinda mchezo wa chess katika siasa, sasa wanaamua kumchafua tu. Kitu ambacho si kweli. Hili linaumuza sana kwetu sisi ambao tunaona Magufuli ana matatizo mengi sana ya kweli ambayo kashayafanya, hayahitaji kupiga ramli za 2025.

Kumshutumu Magufuli kwa habari za speculations za 2025 ni kumfanyia favor.

Ni kuiambia dunia kwamba Magufuli hana makosa ya maana aliyoyatenda mpaka leo.

Kwamba hatuna cha kumshutumu na kumhukumu Magufuli ambacho amefanya mpaka leo.

Inatubidi tuanze kutunga makosa ambayo atayafanya mwaka 2025 ili kumhukumu.

Ni ujinga. Ni kukosa kufikiri kimantiki.

Kwa nini tumshutumu na kumhukumu Magufuli kwa makosa ambayo tunasema atayafanya mwaka 2025, wakati ana makosa mengi sana ambayo kashayafanya mpaka leo?

Tunawapa watetezi wake msemo tu, waseme " Wapinzani wa Magufuli hawana hoja. Wanapiga ramli kwamba Magufuli atafanya makosa mwaka 2025".

Sitaki kamwe kujiunga katika ujinga huu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mzee baba kama umecheza draft siunajuwa kete mbili zikibak una anaanza tafasiri nani mshind. Kiuhalisia Magu draft ameshacheza mchezo una ashiria hayo watu wanasema. Spika yupo chato... Wana discus nn? Maana bunge ndio kitisho
 
Ila mzee baba kama umecheza draft siunajuwa kete mbili zikibak una anaanza tafasiri nani mshind. Kiuhalisia Magu draft ameshacheza mchezo una ashiria hayo watu wanasema. Spika yupo chato... Wana discus nn? Maana bunge ndio kitisho
Magu hajashinda draft.

Magu kapewa uhuru wa kutunga sheria za draft lake.

Kuna tofauti kubwa hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi huyu kagasheki anadhani ya kwake hatuyajui? Muda woote mtandaoni! Yeye na Zito ni sawa japo kavaa koti la kijani! Hawa ndo mafisadi wa underground enzi kwa enzi wamejaa udini, unyonyaji na watetezi wa mabeberu
Na huu ndo ujinga wenu, kwamba ni fisadi na aendelee kuwa fisadi ilimradi hawasumbui????..........mtoto aliyedokoa mboga alipo onwa na mdogo wake , alimwambia ukimwambia mama nami nitamwambia kuwa juzi ulilamba sukari.
 
Kauli za Pinda na Makonda zikemewe.

Hapi juu nimeandika kwamba naelewa kwa nini watu wana shaka kuhusu hili, kwa sababu Magufuli mwenyewe hajajiwekea rekodi ya kuaminika kwamba ataachia madaraka.

Tatizo Magufuli si mtu wa kuongea strategically, anajiongelea linalokuja kichwani kama hana breki ya mdomo.

Ukiona kuna kauli hizo zinazoonesha anataka kuvunja term limits, kuna nyingine nyingi zinazoonesha hatavunja. Amesema amechoka, amesema anataka miradi yake imalizike mapema, kwa sababu hana hakika kama rais ajaye ataiendeleza. Hii ni kauli ya mtu anayejiandaa kuondoka, si ya anayeng'ang'ania madaraka.

Magufuli atapata kipi cha zaidi kwa kuwa rais baada ya mwaka 2025 ambacho hawezi kukipata katika miaka hii sita iliyobakia ya urais?

Kumbukeni urais una stress nyingi sana na watu wanapokuwa wameukalia kwa muda hutamani sana kustaafu wafurahie maisha nje ya urais. Kikwete siku za mwisho alikuwa anasema kavmbisa "I can't wait to be an ex president".

Kama Magufuli ana tamaa ya pesa, kama anataka kufanya miradi yake etc, kuna kipi atapata kwa kung'ang'ania urais, atukanwe matusi yote haya kila siku, aoate stress zote hizi kika siku, ambacho hawezi kukifanya katika miaka hii sita iliyo ndani ya term limits kwake?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe kuwa kwenye mdomo huyu mzee hana breki, ndio maana nikasema 99%, naacha 1% kwenye being unpredictable.

Kuhusu kauli za kuchoka, inawezekana kweli kachoka. Lakini tukiangalia hata kwa majirani zetu Kagame ambaye interview yake ndio base ya hii tweet; alikuwa akitoa kauli kama hizo sana, granted sijawahi kusikia akisema amechoka. Lakini ashawahi kusema, akishindwa kupata mrithi mwaka 2012 itakuwa personal failure. Huwa wanakuja na same excuse, nilikuwa nimechoka lakini Vox Populi Vox Dei.

“For me, I was ready to wind up and finish my second term by 2017,” Kagame said. “And all of a sudden, there was mobilization.”

The president said he “went back and forth” on the question of whether to remain in office. The election outcome, he said, was a near certainty given the popular demand that he remain in office.

“I think for us in Rwanda, we saw it coming, that it could have been 100 percent [for Kagame], because this election … came on the basis of a demand that I actually stand again,” he said.

Kagame discusses third term

Tuwaangalie sana watu wake wa karibu + chama chake cha CCM. Kwenye mtizamo wa Democracy sisi wengine tunaona tumerudi nyuma. Lakini kwa CCM huyu ndio rais wa ndoto zao, anabana wapinzani kila kona, amerudisha chama kwenye nafasi yake ya asili i.e juu ya kila kitu. Naamini kwao kama ataendelea kubaki itakuwa faida zaidi ya hasara.

“The problem of Africa in general and Uganda in particular, is not the people, but leaders who want to overstay in power.” Museveni 1986
 
Nakubaliana na wewe kuwa kwenye mdomo huyu mzee hana breki, ndio maana nikasema 99%, naacha 1% kwenye being unpredictable.

Kuhusu kauli za kuchoka, inawezekana kweli kachoka. Lakini tukiangalia hata kwa majirani zetu Kagame ambaye interview yake ndio base ya hii tweet; alikuwa akitoa kauli kama hizo sana, granted sijawahi kusikia akisema amechoka. Lakini ashawahi kusema, akishindwa kupata mrithi mwaka 2012 itakuwa personal failure. Huwa wanakuja na same excuse, nilikuwa nimechoka lakini Vox Populi Vox Dei.



Kagame discusses third term

Tuwaangalie sana watu wake wa karibu + chama chake cha CCM. Kwenye mtizamo wa Democracy sisi wengine tunaona tumerudi nyuma. Lakini kwa CCM huyu ndio rais wa ndoto zao, anabana wapinzani kila kona, amerudisha chama kwenye nafasi yake ya asili i.e juu ya kila kitu. Naamini kwao kama ataendelea kubaki itakuwa faida zaidi ya hasara.
Kagame anatofautiana na Magufuli katika haya.

1. Ameingia kwenye urais kwa mtutu wa bunduki na vita, si kwa uchaguzi.

2. Ni rais wa nchi ambayo haina utamaduni wa marais kupokezana urais kwa uchaguzi.

3. Ana maswali mengi sana kuhusu kustaafu kwake. Akistaafu atashitakuwa? Atauawa? Atataifishwa mali zake? Maswali yote hayo Magufuli hana.

Magufuli hana maswali hayo.

Hajaingia madarakani kwa mtutu. Tanzania ina utamaduni wa marais kupokezana madaraka tayari, hana hofu ya kufungwa au kuuawa akistaafu.

Kumlinganisha Magufuli na Kagame ni kutojua historia za Tanzania na Rwanda na zinavyopishana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom