A person is considered innocent until proven guilty.
Magufuli hatavunja katiba ili kuendelea kuwa rais.
Si kwa sababu anaipenda sana katiba. La hasha.
Magufuli ameshajua kwamba urais hauwezi. Ndiyo maana haishi kusema amechoka, kazi hii hakuitaka, muombeeni etc.
Huyu mtu angekuwa na uwezo wa kuacha urais bila aibu 2020 angeacha awe rais mstaafu.
Ni mtu ambaye maji yamemzidi kina. Ndiyo maana kika sikua anabwatuka maneno ambayo hayana staha za kirais.
Sasa mtu huyo ambaye kashachoka ndiye wa kuogooa kwamba atazidisha muda wake wa urais?
Kasema hatavunja katiba katika hili.
Mnataka afanye nini zaidi mkubali?
Kwa nini mnamhukumu kwa makisa ambayo hajayafanya bado, wakati ana makosa kibao ambayo kashayafanya?
You are losing focus.
You are not dealing with the real, you are dealing with the hypothetical.
Wewe tukikuhukumu kwa makosa tunayosema utayafanya mwaka 2025 utaona sawa?
Sent using
Jamii Forums mobile app