Kagasheki awaasa kiaina Watanzania kuhusu kauli ya ukomo wa Urais kwa kutumia mfano Paul Kagame 2012

Kagasheki awaasa kiaina Watanzania kuhusu kauli ya ukomo wa Urais kwa kutumia mfano Paul Kagame 2012

Yani hata kama nimekosea kuona Magufuli amechoka, tuseme nimekosea hilo.

Tuseme mara zote Magufuli anaposema hakuitaka kazi (kaona maji marefu, kazi nzito (hakujiandaa), tumuombee (anahitaji divine intervention), anatamani angekuwa IGP (anatamani wengine wangekuwa juu yake wanampa amri badala ya yeye kuongoza nchi) etc, hajachoka.

Tuseme Magufuli ana uwezo sana wa kuwa rais, ndiye rais mwenye uwezo kuliko marais wote waliompita na ana tamaa sana ya kuendelea kuwa rais hata baada ya 2025.

Huko kote nakuruhusu wewe uwe sawa, mimi ndiye niwe nimekosea.

Baada ya yote hayo.

Hoja ya msingi zaidi ni kwamba, hatutakiwi kumhukumu mtu kwa kosa ambalo hajalifanya, na kakana kutaka kulifanya, tunasema atalifanya mwaka 2025.

Twende kwa facts, si kwa speculations.

Tukianza kwenda kwa speculations, yeyote anaweza kutunga lolote kuhusu yeyote mwingine na kumbambikia kesi.

Nitasema wewe unataka kuniibia mwaka 2025.Tukufunge.

Itakuwa sawa hiyo?
Mzee watu ambao ni walafi wa madaraka hutumia kauli kama za magufuli ili ku fool watu
Ni kama anavyosema maendeleo hayana chama kila mara, huku akionyesha ubaguzi wa kivyama bila aibu kuliko hata Kikwete ambaye alikuwa hasemi hilo
Ila tuliache hili kama ulivyosema

Hii sio mahakama, hatujamkumu kumpa adhabu kwa kuwazia tu, bali watu wana wasiwasi kutokana na mwenendo wake wa sasa
Ni kama mtu aseme uchuguzi wa 2020 serikali itahujumu wapinzani kuliko ilivyowahi kutokea, sababu amecheki yakiyotokea 2019 uchaguzi wa mitaa, huyu utasema hafanyi fair sababu anaihukumu serikali kwa kosa ambalo haijalitenda?
 
Na juzi tarehe 18/12/2019 PK ameulizwa tena vipi utagombea tena? akajibu:

"Most likely no. I want to have some breathing spaceand how they have been in the past, I have made up my

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye nyanja za taaluma ya "Digital Electronics" kuna topic inayo elimisha kuhusu masuala ya Fuzzy Logic - majibu ya PK yanashabiana sana na truth table za fuzzy logic ambazo hazikupi jibu la ndio au hapana, true or false badala yake unaishia kupata majibu ambayo ni highly unpredictable yasiyo
 
Mzee watu ambao ni walafi wa madaraka hutumia kauli kama za magufuli ili ku fool watu
Ni kama anavyosema maendeleo hayana chama kila mara, huku akionyesha ubaguzi wa kivyama bila aibu kuliko hata Kikwete ambaye alikuwa hasemi hilo
Ila tuliache hili kama ulivyosema

Hii sio mahakama, hatujamkumu kumpa adhabu kwa kuwazia tu, bali watu wana wasiwasi kutokana na mwenendo wake wa sasa
Ni kama mtu aseme uchuguzi wa 2020 serikali itahujumu wapinzani kuliko ilivyowahi kutokea, sababu amecheki yakiyotokea 2019 uchaguzi wa mitaa, huyu utasema hafanyi fair sababu anaihukumu serikali kwa kosa ambalo haijalitenda?
Magufuli ana makosa mengi, siko hapa kumtetea.

Hilo nataka kuliweka wazi.

Ila.

Mnapokuwa mnafanya mambo kama mke anayemuonea wivu mume wake, na kufikiri mume ana wanawake wengine, wakati mume kasema hana wanawake wengine, kitu cha muhimu ni ushahidi.

Magufuli tushakubali hana breki ya mdomo. Anasema lolote, na mengi anayosema yanajipinga yenyewe

Huku anasema anapiga vita rushwa. Huku anasema kuwapa trafiki hela za kubrashi viatu si rushwa.

Kifupi, kwa maneno haeleweki.

Twende kwa vitendo. Alivyofanya, si anavyoshukiwa kwamba atafanya.

Kuna vitendo gani amefqnya vya kumfanya aonekane anapanga mpango na mkakati kwa kubaki madarakani baada ya mwaka 2025?

Naomba tujadili kwa fact, si kwa speculation.

Ukiweza kunipa mkakati huu, nitampandisha Magufuli katika uwezo wake wa strategy.

Maana mpaka sasa namdharau na kumuona kama mtu asiye na strategy.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli ana makosa mengi, siko hapa kumtetea.

Hilo nataka kuliweka wazi.

Ila.

Mnapokuwa mnafanya mambo kama mke anayemuonea wivu mume wake, na kufikiri mume ana wanawake wengine, wakati mume kasema hana wanawake wengine, kitu cha muhimu ni ushahidi.

Magufuli tushakubali hana breki ya mdomo. Anasema lolote, na mengi anayosema yanajipinga yenyewe

Huku anasema anapiga vita rushwa. Huku anasema kuwapa trafiki hela za kubrashi viatu si rushwa.

Kifupi, kwa maneno haeleweki.

Twende kwa vitendo. Alivyofanya, si anavyoshukiwa kwamba atafanya.

Kuna vitendo gani amefqnya vya kumfanya aonekane anapanga mpango na mkakati kwa kubaki madarakani baada ya mwaka 2025?

Naomba tujadili kwa fact, si kwa speculation.

Ukiweza kunipa mkakati huu, nitampandisha Magufuli katika uwezo wake wa strategy.

Maana mpaka sasa namdharau na kumuona kama mtu asiye na strategy.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa sisemi kuwa 100% ataongeza muda wake baada ya 2025, ninachosema ni kuwa uwezekano huo upo, ni na ni mkubwa kuliko awamu nyingine, sababu ya anayoyafanya sasa. Hii sio fact, ni speculation, na ku speculate kwani ni kosa?
Ni kama unavyosema kutokana na Liverpool anavyocheza sasa hivi May 2020 ndio atakayekabidhiwa kombe.
 
Katiba ya Inchi imetoa utaratibu wa kumtoa Rais madarakani kabla ya kipindi chake hakijaisha lakini hakuna mahali pameonyesha dalili ya kumwongezea Rais aliyeko madarakani muda wa kuendelea kuongoza Inchi.
Tatizo kubwa tulilo nalo sisi watu wa Dunia ya tatu ni kukosa matunzo mazuri na malezi bora.
Tukiingia madarakani hatutofautishi kati ya malezi bora na matunzo mazuri.
Tunawaharibu watoto wetu na rafiki zetu kwa kuwapa matunzo mazuri badala ya malezi bora kiasi cha wao kutamani tuendelee kutawala pamoja na kuwa sharia au katiba hairuhusu.
Matunzo mazuri kwetu sisi ni kula chakula cha kifahari, mavazi ya kifahari na sehemu za kulala za kifahari bila kufanya kazi. Pia tunakuwa na pesa nyingi za kufanya starehe kama uzinzi, ulevi, mziki na utalii wa sehemu mbali mbali Duniani bila kujali madhara yake kiuchumi.
Malezo bora kwa watoto wetu na rafiki zetu ni kuwafundisha kazi na kuwaellimisha kuhusu kutoa na si kupokea tu. Kuwafundisha kumwogopa na kumwabudu Mungu, kujiepusha na anasa nk.
 
Sasa mbona unafananisha vitu tofauti?

Hiyo molestation imeshafanyika, unataka kuifananisha na habari za 2025 ambazo hazijafanyika?

Swali langu ni dogo tu.

Inafaa kumhukumu mtu kwa makosa ambayo unafikiri atayafanya, lakini hajayafanya?

Kama hatuna hoja Leo,hata ikifika 2025 tutakuwa hatuna hoja ya kuweza kushitaki
 
Uchaguzi kutokuwa wa haki au huru Tanzania si kitu cha kuniambia wewe leo hii.

Mimi nakaa na wakuu wa usalama wa Tanzania wananieleza jinsi chaguzi zilivyopinduliwa tangu enzi ya chama kimoja, mfano Zanzibar uchaguzi wa Idris Abdul Wakil kuwa rais Zanzibar, Wakil hakupata kura za kutosha, ingawa uchaguzi ulikuwa wa "Ndiyo/ Hapana". Mtu kashindanishwa na kivuli, halafu akashindwa uchaguzi.

Matokeo yakafika mpaka vyombo vya habari vya serikali. Wakubwa wa Daily News waliyapata matokeo halisi. Idris Abdul Wakil kashindwa uchaguzi Zanzibar, wakaambiwa subirini msiyachapishe matokeo. Serikali ikafanya sarakasi, matokeo yakabadilishwa. Idris Abdul Wakil akawa rais.

Kwa aibu Mzee Wakil aligombea term moja tu, kisha hapo hakutaka kuwa rais tena.

Watu wengi wanapoongelea wizi wa kura, wanaongelea katika zama za vyama vingi tu, wizi huu una mizizi tangu enzi za chama kimoja.

Sasa hutaniambia jipya kuhusu wizi wa kura Tanzania, nimeanza kuzunguka corridors za Ikulu Tanzania tangu nikiwa tumboni mwa mama yangu. Tangu enzi za Mwalimu Nyerere na Mama Joan Wicken Ikulu.

Kura zinaibiwa, but that's not the point.

The point is, unafanya nini kubadili hilo?

Kulialia kwamba Magufuli ata violate term limits ndiyo kutasaidia kura zisiibiwe 2020?

Mimi nafikiri mngejipanga kuhakikisha kura haziibiwi 2020, mkapiga kampeni ya nguvu kuelimisha watu ubaya wa Magufuli, mkanadi sera zenu nzuri, pengine huyo Magufuli asingeweza hata kushinda uchaguzi hiyo 2020. Habari ya ku violate term limits 2025 iwe moot.

Moot. Unaelewa?

Kwa nini mnapoteza muda wenu kushabikia hypothetical problems kuhusu term limits 2025 wakati mna real problems za uchaguzi wa 2020?

Uchaguzi wa 2020 mmejipanga vipi kumuondoa Magufuli? Au mshakubali tu kwamba atawashinda by hooks and crooks?

Mimi nadhani wote wanaozungumzia uchaguzi wa 2025 kabla ya uchaguzi wa 2020 sio wapinzani wa Rais Magufuli kwa hiyo hawana nia/haja ya kujipanga kumuondoa .
 
Rais wa Kizalendo wa Jamhuri ya Muungano wa Puetorica atapumzika 2025

Msuko suko wa ndani ya Chama cha PNP kutoka kwa Wazee wa Chama ni Mkubwa sana kiasi kwamba kutuliza hali ya hewa imebidi atolee ufafanuzi kutuliza hali

Raia wa Nchi hiyo wanapaswa kuamini asemacho Rais wao
Huweziyaamini maneno ya mwanasiasa hata wakati utimie.Mkulima son,Nkamia,mkulima sio wajinga wale ni kiashiria
 
Ndo shida ya Africa badala ya kutengeneza taasisi imara hata asipokuwepo mtu mwingine uendeleza tunakazania mtu.Ni rahisi kwa rwanda kurudi walipotoka if pk as human nature called by God sababu ajatengeneza mfumo utakaodumu hata asipokuwapo
 
Na juzi tarehe 18/12/2019 PK ameulizwa tena vipi utagombea tena? akajibu:

"Most likely no. I want to have some breathing space but given how things are and how they have been in the past, I have made up my mind where I am personally concerned, that it is not going to happen next time.”

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida si kwamba awapendi kutoka walishanyea kambi wataishije na jamii waliyoitupia mawe hali nao wataishii nyumba hizo hizo za vioo,salama yao ni kufia madarakani ambayo nafasi hio huwa awaipati asilani.Hakuna dikteta aliyewahi fia madarakani kwa uzee duniani.
 
Kutokana na mazingira ya siasa ya nchi hataweza kung'ang'ania madaraka yeye mwenyewe analijua hilo anajisemea ukweli atapumzika
 
Kagame anatofautiana na Magufuli katika haya.

1. Ameingia kwenye urais kwa mtutu wa bunduki na vita, si kwa uchaguzi.

2. Ni rais wa nchi ambayo haina utamaduni wa marais kupokezana urais kwa uchaguzi.

3. Ana maswali mengi sana kuhusu kustaafu kwake. Akistaafu atashitakuwa? Atauawa? Atataifishwa mali zake? Maswali yote hayo Magufuli hana.

Magufuli hana maswali hayo.

Hajaingia madarakani kwa mtutu. Tanzania ina utamaduni wa marais kupokezana madaraka tayari, hana hofu ya kufungwa au kuuawa akistaafu.

Kumlinganisha Magufuli na Kagame ni kutojua historia za Tanzania na Rwanda na zinavyopishana.

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Kuingia kwa uchaguzi au bunduki sio kila kitu, reference Alpha Conde wa Guinea. Aliingia kwa demokrasia, leo anang'ang'ana kubaki.

2. Utamaduni huwa unakwepo mpaka unapovunjwa. Hata Mkapa kuna watu walitaka aendelee, bila kujali utamaduni. Ila he was firm.

3. Kuhusu kushitakiwa, you never know. Again kumuangalia Magufuli kama yeye mwenyewe ni nusu ya story, kuna watu wengi wanaomzunguka ambao wanaona yeye ndio tumaini lao. Hao ndio wabaya zaidi. Wana mengi ya kupoteza kuliko yeye.
 
Mwanasiasa ni mzuri akiwa kaburini hasemi uongo
Madikteta wote ninaowafahamu... Kwa kusoma au kwa kuwashuhudia moja kwa moja....
Mara zote hawakubali moja kwa moja kuwa watang'ang'ania madaraka...
Ila mienendo ya wapambe wao na maneno ya vinywa vyao ni ishara mojawapo kuwa nia yao ni thabiti...
Enyi ndugu wenye macho na akili...
Hamjashuhudia dalili zozote hadi sasa??
07h00 p


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamisi Swedi Kagasheki ana hasira tu za kukosa uteuzi
Wananchi ndio tutaamua Magufuli aendelee au la,na akikataa tutamlazimisha
 
Hamisi Swedi Kagasheki ana hasira tu za kukosa uteuzi
Wananchi ndio tutaamua Magufuli aendelee au la,na akikataa tutamlazimisha

Sorry hao wananchi unaowasemea ni wale wale wenye uzoefu wakugombania takrima (rushwa) wakati wa kufanya maamuzi muhimu na nyeti??
 
Tz na kenya zina mazingira tofauti sana kisiasa na nchi za rwanda,,burundi na uganda na hii ipo kwenye nguvu ya vyama vya siasa na si mtu mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app

Hivi hujaona dalili kuwa kuanzia mwaka 2016 kuna "kinyago" kimejitokeza kina nguvu sana kuliko wachongaji wake??
Usikariri ndugu... Angalia picha hata kama hujui kusoma alama za nyakati..!
Mambo yashabadilika... Usiwe kipofu kiasi hiki!
 
Back
Top Bottom