Huyo atanitoa kizazi sio kwa mashooot hayoHapana we tunakukabidhi kwa Luis atuachie mbegu ya kipaji cha soka biryani
Usiogope jitoe muhanga hili ni jukumu la kitaifa tunakukabidhiUyo atanitoa kizazi sio kwa mashooot hayo
Wale platu...nilipenda game management yao na ndio unavyotakiwa cheza ukiwa away.Wanigeria gani?
Tuliocheza nao audio afu wakafa kimoko?
Ha ha haa, usihofu, hawa wafupi huwa ni wafupi kwenye kila kituUyo atanitoa kizazi sio kwa mashooot hayo
Na sio mimi tenaShauri yake akinipa talaka nitaolewa na mo
Chama madoido mengiKagere kwake Chamaaa loooooo. Simba wanakosa nafasi ya kufunga ambapo golikipa anatoa nje na kuwa ambayo haikuzaa matunda
Mnyama mnyamani kwenye ubora wake90+4' Naaaam mpira umekwishaaa ambapo Simba SC wameibuka na ushindi wa mabao mawili kwa bila dhidi ya Kagera Sugar
FT, VPL; Kagera Sugar 0-2 Simba SC