SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,027
- 5,344
Jumamosi hiiHivi "Uto" pale kileleni wanapisha lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jumamosi hiiHivi "Uto" pale kileleni wanapisha lini?
Kafungwa na timu ganiNamungo kapotea goli 3 afu dakika ya 43
Raja CasablancaKafungwa na timu gan
CasablancaKafungwa na timu gan
Kijana yuko vizuri, mtulivuKuna huyu defender wa Kagera Abdallah Mfuko ni mchezaji mzuri sana huyu kipaji kinaonekana.
Hahahah hamieni huku, naona jana kocha flani kajimix mbele ya mic anaropoka Simba wakati yupo kwenye mahojiano na wana wa matopeni 😝😝😝😝Timu linapiga mpira mpaka kero yaani
Haka ka uwanja kadogoWakirudi kipindi cha pili Manura aende bench hakuna haja ya kipa
Waarabu hawataki utani...hawa Namungo wanaweza maliza mechi sita zote wamepigwaCasablanca
Kabisa yani japo anapambana na watu hatari sana lakini amejitahidi sana atakuja kuwa beki bora sana Kama akiendelea hiviKijana yuko vzuri, mtulivu
Kiboko yao ni simba, ingekua ni sisi tungekua tushawakamulia limao machoniWaarabu hawataki utani...hawa namungo wanaweza maliza mechi sita zote wamepigwa
Jumamosi Gwambina anakula kichapo tunachukua usukani. J2 Azam anatoa droo na Yanga safari yao inaishia hapoHivi "Uto" pale kileleni wanapisha lini?
Mambo ya kihistoria huwa hayaonekani mitaani! Inabidi MTU aende kwenye jumba la makumbusho! Utopolo mpo?Mambo ya kusema Simba huwa hatoki Kaitaba tunawaachia wazee wa mabingwa wa kihistoria
We hata huwa haunipi rahiii nayoipata Simba aiseeeUmeamua kunianika mitandaoni kabisa!
Shauri yake akinipa talaka nitaolewa na moAnakuon mwenyewe