Kagera: Katibu Tawala aagiza uchunguzi wasababu ya Walimu wengi kuomba kustaafu kabla ya kufikisha miaka 60

Kagera: Katibu Tawala aagiza uchunguzi wasababu ya Walimu wengi kuomba kustaafu kabla ya kufikisha miaka 60

Bila shaka huyo Katibu Tawala amekosa shughuli ya kufanya. Kwani Sheria si inamruhusu Mtumishi kustaafu kwa hiyari yake mwenyewe afikishapo huo umri wa miaka 55!

Aache kuwapangia watu maisha yao.
Ni sawa; lakini mbona rate ya maombi ya retirement imeongezeka sana kuliko miaka ya nyuma? Lengo ni kujua sababu ya hiyo trend hata kama ni haki yao kisheria lakini ni abnormal.
 
Sasa Nani atataka kuwa na morali ya kufanya kazi katika mazingira haya yaliyojaaa Vitisho kudhalilishwa kunyanyaswa na Kudhulumiwa stahili zako kinguvu?? Mi niliamua kustaafu nikiwa na 37. Bora kidogo nachopata kwa Amani kuliko kikubwa Cha manyanyaso. Heko walimu mnaojitambua
Kazi gan tena????

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Sio hao tu waliotimiza miaka 55 ndo wanataka kustaafu...

Wapo wengi kina sisi wenye 30+ na 40+ tunaotaka kuondoka tukajaribu kwingine...

Hii ya kufanya kazi kwa vitisho na unyanyasaji nani anataka?

Prof. atulie, watu wamechoka mno ni vile hawana pa kusemea.
 
Ni kitu kizuri vijana wanalia ajira wanasema wazee hawataki kuondoka vijana waingie.Kama wanastaafu mapema wanapunguza tatizo la ajira pia ili wapishe vijana

serikali ihamasishe watu kustaafu mapema kupunguza tatizo la ajira
 
Hii ngoma hakuna kutema wala kumeza!

Ukistaaf kwa hiyari kosa, ukiacha kazi kwenda private kosa, ukifundisha tuition kosa, ukidai nyongeza kosa, ukidai promotion kosa!...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Matumiz mabaya ya rasilimali watu HUKO vyuo vikuu Kuna uhaba mkubwa wa wamaprof lakn huyu kawa katibu tawala wakat angeandaa vijana vyuon tupate wataalam wakutosha
Huyo alishakula keki yake Mzumbe.. Alishakuwa DVC kama sio VC!
 
Taaluma ipi inaathirika wakati Taaluma inapanda kila mwaka.Kiongozi wa ajabu kabisa,alipaswa kuishauri serikali kuajiri walimu wapya.yeye anataka mwalimu mzee aendelee kufundisha lengo lake nini huyu?
 
Wengine wamechoka, walirudisha miaka nyuma Sasa Wana 70 file linasoma 51!
Nakubaliana na wewe kwa hilo mkuu, wapo (wazee) wengi walioajiriwa miaka ya 90, walirudisha miaka nyuma...kwenye file ana 54 lakini uhalisia ana 70...so wengi wao wamechoka
 
Sio hao tu waliotimiza miaka 55 ndo wanataka kustaafu...

wapo wengi kina sisi wenye 30+ na 40+ tunaotaka kuondoka tukajaribu kwingine...

hii ya kufanya kazi kwa vitisho na unyanyasaji nani anataka?

prof atulie...,,watu wamechoka mno ni vile hawana pa kusemea
Natamani wangepunguza hiyo miaka kutoka 55 mpaka 45! Kazi yenyewe inadharauliwa hadi na wachimba mitaro! Si bora kustaafu tu mapema ili kujianzishia kajiduka au shughuli za ufugaji na kilimo!
 
Natamani wangepunguza hiyo miaka kutoka 55 mpaka 45! Kazi yenyewe inadharauliwa hadi na wachimba mitaro! Si bora kustaafu tu mapema ili kujianzishia kajiduka au shughuli za ufugaji na kilimo!
Mkuu hebu fikiria mtu ameajiriwa 2014 mpaka leo, hakuna nyongeza ya salary wala kupandishwa daraja.....

Hata hicho kidogo kilichokuwepo, Jiwe alikuja akakipunguza kwa kuongeza makato ya bodi ya mikopo...
Sasa moyo wa kazi unatoka wapi?
Kwa nn mtu usifikirie kuacha kazi ?
 
Ni kitu kizuri vijana wanalia ajira wanasema wazee hawataki kuondoka vijana waingie.Kama wanastaafu mapema wanapunguza tatizo la ajira pia ili wapishe vijana

serikali ihamasishe watu kustaafu mapema kupunguza tatizo la ajira
Serikali inayo pesa ya kutosha kulipa madai/madeni ya walimu wastaafu wote??

Kipi kina unafuu kwenye urahisi wa utekelezaji kati ya:-

Kuwalipa pesheni wastaafu + kuwalipa walimu wapya mishahara yao Au
Kuendelea kulipa mishahara ya walimu wanaoendelea na kazi wakikaribia kustaafu?
 
Mkuu hebu fikiria mtu ameajiriwa 2014 mpaka leo, hakuna nyongeza ya salary wala kupandishwa daraja.....

Hata hicho kidogo kilichokuwepo, Jiwe alikuja akakipunguza kwa kuongeza makato ya bodi ya mikopo...
Sasa moyo wa kazi unatoka wapi?
Kwa nn mtu usifikirie kuacha kazi ?
Wanasiasa nao waongo, Kuna mtu aliahidi kumleta balali Leo karudi kwa walewale waliomficha.
 
Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Prof. Faustine Kamuzora amewaagiza maofisa wa idara ya elimu katika mkoa huo kutathimini sababu zinazochangia wimbi kubwa la walimu wa shule za msingi na sekondari mkoani humo za kuchukua uamzi wa kuomba kustaafu kazi kabla ya kufikisha umri wa miaka 60 wakati hawana matatizo yoyote ya kiafya.....
Hata Mimi ningekuwa nimefikisha miaka 55 ningeomba kustaafu, maana si kwa vitisho hivi mpaka kazi imekuwa chungu, amani hakuna, maslahi mabovu, ukidai maslahi mazuri unaambiwa Kama vipi acha kazi!! Viongozi wengi wamekuwa watemi Sana na makatili Sana, inakatisha tamaa Sana kwa kweli.
 
Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Prof. Faustine Kamuzora amewaagiza maofisa wa idara ya elimu katika mkoa huo kutathimini sababu zinazochangia wimbi kubwa la walimu wa shule za msingi na sekondari mkoani humo za kuchukua uamzi wa kuomba kustaafu kazi kabla ya kufikisha umri wa miaka 60 wakati hawana matatizo yoyote ya kiafya...
Na mimi naagiza ufanyike utafiti kwa nini Professor hupo Kagera ofisini akiwa ni katibu tawala wakati kuna uhaba mkubwa wa maprofessor vyuo vikuu?

Ahojiwe anafanya nini Kagera badala ya kuwa darasani chuo kikuu akifundisha?

Nini kimemkimbiza chuo kikuu na kukimbilia ukatibu tawala?

Ufanyike uchunguzi kwa nini maprofessor na Madaktari wenye PhD na madaktari wa binadamu na mifugo na wanyama wengine wamejazana bungeni?
 
Back
Top Bottom